Mh Rais , bila shaka utakuwa unaifahamu vizuri historia ya Farao
Mh Rais nakusalimu .
Ni usiku wa manane wakati naanza kuandika waraka huu , nimetoka kuangalia historia ya maisha...
Wanabodi,
Leo ni siku ya Jumapili ambayo ni siku ya ibada kwa Wakristu.
Naomba kutoa somo la "The Role of Yuda Iskariote kwenye Ukombozi wa Dunia hii!". Jee Yuda Alaumiwe?, Alaaniwe?, au...
Kama Una kiingereza kidogo hebu pata points mbili TATU hapo, majirani wameshaanza kutuTolea case study....
Hapa wanamkaanga Ruto, huku Sisi tunampigia Makofi Samia kwa Utekaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao...
Hiyi nchi sio kwamba viongozi walio chini ya uongozi mkuu hawawezi wajibika hapana isipokuwa mamlaka aliyopewa Raisi ni makubwa kuliko uhalisia au uwezo halisi.
Mimi naamini tuna viongozi bora...
Waziri Mkuu mh Kassim Majaliwa ameliambia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwamba Tanzania katika Uchaguzi Mkuu ujao itaheshimu demokrasia Kudumisha 4R za Mpendwa wetu mh Rais Samia
Waziri Mkuu mh...
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,
Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya...
Ng'ang'ana, simamia na kuongoza wizara, mamlaka au taasisi ulopewa kuisimamia kwa weledi, maarifa, bidii na ujasiri mkubwa, bila kubabaika, wala kuzingatia shinikizo ambazo hazina umuhimu wowote...
BALOZI YAKUBU ATEMBELEA BANDARI YA MUTSAMUDU, ATETA NA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA BANDARI COMORO
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Saidi Yakubu ametembelea Bandari ya Kimataifa ya...
Maelezo ya mkopo huo mkubwa kuwahi kutokea kwa Zanzibar yapo mwisho kabisa mwa uzi huu.
Hoja yangu kubwa ni uhitaji wa kujenga kiwanja kikubwa cha kimataifa katika kisiwa cha Pemba wakati tayari...
Lucas Mwashambwa na UVCCM Wenzako tumieni muda na Maarifa yenu kukitetea Chama pamoja na Mwenyekiti wetu wa taifa pale anaposhambuliwa na Vijana wa Upinzani
Achaneni na Uchawa kwa Watu Wadogo...
Kuna muda ukiwafikiria kina Faizafoxy, Adimisago au Malaria 2 kuna picha inakujia kuhusu changamoto wanazokutana nazo waisrael .
Hawa watu wako rigid, ni wagumu kuwabadilisha hata kama msimamo...
Hii ni kauli ya kiungwana iliyotolewa na Mwenyekiti wa zamani wa ccm aliyekuwa pia Rais wa Tanzania , Jakaya Kikwete .
Ilikuwa ni katika vikao vya chama chake , pale alipokuwa anawaelekeza...
Wasimamizi wa miradi yote ni watumishi wa umma, lakini watumishi wa umma hawapewi shukrani na sifa. Sifa zote njema kwenye miradi ya maendeleo hupewa Rais.
Tumeona attempts za utekaji magari ya...
Millicom International Cellular has finalized the sale of its Tanzanian division, completing its multi-year divestment strategy from Africa to focus exclusively on Latin American markets.
The...
Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu.
Nchi yeyote duniani huhitaji machawa lakini wenye hoja nzito kwenye huo uchawa
Tanzania kwa sasa kuna machawa wa aina mbili kuna wale ambao kutwa kusifia watu binafsi au wao wenyewe kujisifia...
Mkuu wa mkoa wa DSM Albert Chalamila amewataka wananchi wa DSM kujilinda wao na familia zao dhidi ya matukio yoyote yanayoweza kuhatarisha Amani na Usalama wao
RC Chalamila amesema SI HAKI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.