Ndugu zangu Watanzania,
Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi...
Taarifa zikufikie Popote ulipo kwamba Shehe Kadogoo ametia mguu kwenye kinyang'anyiro cha Umakamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, atachuana na Watia nia wengine, Hii ni kwa sababu Chadema...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuaminiwa na watanzania kutokana na historia yake, uwezo wake wa kupatanisha itikadi za kisiasa, uimara wa miundombinu yake ya chama, Uongozi, na udhaifu wa...
Katibu wa Siasa na Uenezi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga amesema chama hicho kupitia jumuiya yake ya vijana (UVCCM) wamejipanga kujibu mapigo dhidi ya mtu yeyote...
Barua kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Septemba 4, 2024
Mheshimiwa Dr. Samia Suluhu Hassan,
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dodoma,
Tanzania.
Yah: Pendekezo la...
Kama mimi ningekuwa katika nafasi hiyo ya kuongoza taifa.
Kitu pekee namba moja ningewaomba wachina katika ziara yangu mimi na jopo langu basi si kingine zaidi ya washauri wa masuala ya uchumi...
Miezi 14 baada ya kuvuliwa uanachama, mwanadiplomasia, Balozi Ali Karume ameendelea kusisitiza kwamba yeye ni mwanachama halali wa Chama cha Mapundizi (CCM) na hawezi kuvuliwa uanachama na...
Inadaiwa miamba hawa wataongozana na Kiongozi mmoja wa juu wa Chadema kujiunga ACT Wazalendo
Baadhi ya Viongozi wa Dini wameshatabiri ACT Wazalendo kufanya maajabu mwakani kwenye Uchaguzi mkuu...
Kule Kinondoni kulitokea ubishi mkuu wa kutunishiana misuli kati ya Meya kamarada mh.Songoro Mnyonge(diwani kata ya Kinondoni kama sikosei) na aliyekuwa DED wa Kinondoni mh.Sipora Pangani.
Zogo...
Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA
=======
Kwenye jambo hili...
Jana niliamua kuangalia tena filamu maarufu ya Sarafina. Filamu hii niliiangalia utotoni na ilikua ikiniburidisha, hasa kwa zile nyimbo zake.
Hata hivyo, jana nimeiangalia nikiwa mtu mzima na...
Habari wakuu,
Mimi nimefuatilia kwa muda idadi ya watu wanaopotea nchini nikabaini mambo matatu. Kuna masuala inabidi Wizara ya Mambo ya ndani isimame na kuanzisha kitengo ambacho kitasafisha...
Ikiwa bado hujajiunga na CCM, basi fanya hivyo mapema sasa, hujachelewa bado, na mara moja pamoja na wanachama wengine wazalendo, uanze kazi za kuwajibikia ujenzi wa Taifa lako, lakini pia uanze...
Salaam shalom!!
Tulipopata Uhuru wa Nchi yetu, hatukuwa na wawekezaji wengi wa kuwekeza kwenye migodi, Serikali ilihodhi vitega Uchumi vyote na kusimamia, Hawa wawekezaji wa sasa, nionavyo Si...
Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Athuman Diwani (Kushoto) akiwa amesimama na Rais John Magufuli (Kulia)
Usuli
Tarehe 03 Machi 2021, akiwa anatekeleza majukumu yake kama Katibu Mkuu wa Baraza...
Zanzibar pasingetokea mapinduzi ambayo yaliyoasisiwa Tanganyika na wakubwa na kumfanya Rais Amani Karume akubali Muungano kwa shingo upande, basi leo hii Zanzibar ingekuwa na uchumi mkubwa pamoja...
Miaka ile ya 1980s nakumbuka wakati wazamiaji wakirudi walikuwa wakiitwa Mabaharia lakini Mzee Kambangwa alisema hawa siyo Mabaharia ila ni Makuli wa Melini
Sasa sisi Wabishi tulitaka Ufafanuzi...
Kwako Rais wetu mpendwa. Nina ombi langu kwako moja tu nalo ni kuendelea kumuamini na kumteua Majaliwa Kassim pindi utakapochaguliwa 2025.
Sababu yangu kuomba hilo ni kwa kuwa Bwana Huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.