Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika. Maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa muda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikuwa zikisubiriwa zikamilike...
15 Reactions
166 Replies
5K Views
Asalam Aleykum wapenzi wana JF, Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika...
8 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari za jioni wana jamii leo nimekaa na kuwaza kuhusu nchi yetu ya Tanzania kwa kina na kwa upana sikuwa na budi bali kuandika haya mambo kwa sisi watanzania wote Tanzania ni nchi ambayo imekaa...
9 Reactions
77 Replies
2K Views
Ni mjinga tu anayeamini CCM inaweza kuondolewa madarakani katika Mazingira ya Katiba ya sasa Waziri aliyesema Ni lazima CCM ishinde yuko sahihi kwa 100% CCM ni Chama Dola ndio sababu kiiko...
7 Reactions
40 Replies
1K Views
Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo...
10 Reactions
70 Replies
3K Views
Fikiria jinsi Mchungaji Msigwa alivyoaminiwa na Chadema pamoja na Wanachama wote Kumbe ni Fursa ya Vyeo na kupata Fedha ndio ilimuweka Chadema lakini hakuwa na Mapenzi yoyote na kile Chama...
0 Reactions
2 Replies
253 Views
Za jioni wadau Utakuta kijana anasimama juu jukwaa la chama cha watz ,chama pendwa cha waliowengi halafu anawaponda wapinzani na kuwatishia. akienda nyumbani anajisifu kwamba wapinzani...
4 Reactions
10 Replies
338 Views
Nikiri kuna changamoto kwenye vyama vya siasa, mimi sipendi kuumauma maneno kwa sababu mimi kweli ni wakili, lakini mimi ni mwanasiasa ninavijua hivi vyama, vina changamoto kubwa, vinaumiza na...
7 Reactions
20 Replies
792 Views
Midahalo ya kisiasa ni fursa muhimu kwa vyama vya siasa kuwasilisha sera zao na kuwavutia wananchi. Kwanza, midahalo inavipa vyama nafasi ya kujadili masuala muhimu yanayoikumba nchi, na hivyo...
2 Reactions
18 Replies
823 Views
https://www.youtube.com/live/ie3dUDq4evE Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza. Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha...
33 Reactions
687 Replies
27K Views
Freeman Mbowe:Freeman Mbowe, mwenyekiti wa CHADEMA, amepongeza baadhi ya hatua zilizochukuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, hasa katika kufungua anga la kisiasa na kuruhusu mazungumzo ya kitaifa...
0 Reactions
6 Replies
614 Views
Jinai haiozi. Ipo siku waliompiga Tundu Lissu risasi, kumpoteza Ben Saanane watahukumiwa kama ambavyo leo Mahakama ya kijeshi Burkina Faso imemhumkumu Rais wa zamani wa nchi hiyo Blaise Compaoré...
24 Reactions
98 Replies
5K Views
Baada ya DC wa Longido kutoa kauli kama ya Nape Nnauye kamati ya uteuzi kuandaa jina la kuchukua nafasi huku Lucas Mwashambwa na Josephaty chawa mkuu kukosa uteuzi huo. Taja jina la mrithi wa DC...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na...
5 Reactions
88 Replies
3K Views
Sijui mahakama yetu huwa inashindwaje kuelewa hoja rahisi kama hii? Au kuwa msomi maana yake ni kuwa mtu usiyefuata mantiki? Unaikumbuka ile kesi ya kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi. Na si...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Imeelezwa katika Mdahalo wa Wagombea Urais wa TLS kwamba Mchungaji Mtikila rip alikuwa Mwanachama wa Heshima wa TLS Mchungaji Msigwa alipambania Kesi ya Mgombea Binafsi hadi Mahakama Africa na...
1 Reactions
6 Replies
465 Views
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo. Kwa kauli alizotoa nape hivi...
9 Reactions
42 Replies
1K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu kutoshiriki kwa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenye mdahalo ulioandaliwa na Kituo cha Televisheni cha Star Tv...
14 Reactions
215 Replies
7K Views
Bwana yule alipingwa na kuandamwa hasa na daraja la juu(elites) la ndani na nje kwa pamoja kwa sababu hakuwa polished, alikuwa mtu blunt. Mawazo yake yawe mabaya au mazuri alikuwa akiyasema kwa...
13 Reactions
79 Replies
2K Views
Kama unadhani video ya DC wa Longindo ilikuja kwa Bahati mbaya utakuwa unakosea sana. Kulikuwa na Wazalendo kadhaa ndani ya kikao kile waliomrekodi DC na kumleta mitandaoni ili kuuthibitishia...
17 Reactions
50 Replies
2K Views
Back
Top Bottom