Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Baba mwenye nyumba ukianza kulala na wapangaji na Vijana wako wakajua, utapata wapi nguvu za kukemea watoto wako wa kiume wakilala na wafanyakazi wa ndani na wa kike watakapolala na wapangaji wa...
20 Reactions
47 Replies
1K Views
Nimeona Clip moja huko nyumbani kwetu Kizimkazi Bw.Ismail Jussa, kumbuka huyu ni mwanasheria, akilalamika jukwaani na kuwafanya watu majuha kuwa serikali ieleze sababu za kuwakamua watu kodi...
0 Reactions
4 Replies
378 Views
Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa Chadema kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana. Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema. Lissu ni...
4 Reactions
27 Replies
858 Views
Naona wandugu hapa kwetu bongo siasa zinaelekea kuwashinda watatwala wetu kwani sasa hawajibu hoja badala yake wanajibu vioja. Pili nimeshangazwa na CCM kujibu tamko lililoelekezwa kwa rais na...
1 Reactions
206 Replies
21K Views
Tuache ushabiki pembeni, mtangazaji wa ITV alijipanga vyema sana katika kufyatua maswali ya msingi yenye kumuweka kwenye kona Lissu, na Lissu aliweza vizuri sana kukabiliana nayo moja kwa moja...
34 Reactions
84 Replies
4K Views
Polisi Iringa imezuia mkutano wa mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa uliokuwa ufanyike leo mkoani humo- Katibu Chadema Iringa, Jackson Mnyawami amethibitisha Polisi wamesema wamepata...
3 Reactions
49 Replies
8K Views
Ndugu waandishi wa Habari, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa kufika mahali hapa baada ya kupewa taarifa ya uwepo wa mkutano huu, tumewaiteni hapa ili tuweze kuuambia umma juu ya mambo...
30 Reactions
85 Replies
13K Views
Je, Ni kosa kuwa mfuasi wa Chadema na au kuwa upinzani? Ni dhambi kutoka chama kimoja na kwenda kuwa mfuasi wa Chadema na vyama vingine? Ni kweli kabisa wanaohusika mara nyingi kuwatesa na saa...
5 Reactions
10 Replies
425 Views
wakuu wasalaam Mh, Peter Msigwa (Mbunge wa Iringa Mjini) asherekea Pasaka Mkoani Njombe kwa kupeleka Ujumbe wa CCM ni HATARI kwa Usalama wa Taifa sasa hivi hapa njombe kumewaka moto...
0 Reactions
48 Replies
13K Views
Anasema eti CHADEMA ni sahihi kukosea kwa sababu siyo Mungu bali binadamu. Sasa mtu atajiuliza kwamba kwanini wanataka CCM isikosee? Kwani CCM kinaongozwa na Mungu? CHADEMA muwe mnaacha mihemko...
0 Reactions
41 Replies
832 Views
Moja kwa moja kwenye hoja,ipo hivi leo kesi ya uvunjaji wa nyumba zaidi ya 400 imesikilizwa kwa mara ya kwanza katika mahakama kuu kitengo cha ardhi kati ya wananchi wa Kibaha kiwanja namba 34...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=ZL2V3hUw5Hg Akihojiwa na Katika Kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema “Sikuwahi kufuatwa na Mtu akaniambia anipe hela...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Baada ya kulisema hili nimekubali kuwa Tundu Antipas Lisu ni Mtu mkweli, mwenye Weledi wa kutosha na mtafiti Ni kweli Kabisa Mwenyekiti wa CCM huchaguliwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Serikali kwa...
1 Reactions
1 Replies
302 Views
Unadhani falsafa hii inamaanisha nini? Mathalani, inasemekana wafia chama wa CUF wanapambana kuhakikisha mgombea Urasi wake anakua ni Profesa pekee, na anapata nafasi hiyo bila changamoto kwa...
3 Reactions
34 Replies
823 Views
Kauli nzito sana hii Taifa la Vipofu kwa sababu Rushwa ndio inayoabudiwa kama mungu au sanamu ya kuchonga inayoabudiwa Kiukweli Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas ameongea Kitu Cha...
4 Reactions
2 Replies
283 Views
Bi. Samia Suluhu Hassan (Rais wa JMT) ni mwanamke. Alizaliwa tarehe 27/1/1960 Umri wake Sasa ni miaka 64.............. Tundu A. M. Lissu (Makamu M/Kiti CHADEMA Taifa Upande wa Tanganyika na...
8 Reactions
76 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lisu amesema ukisoma sheria ya Vyama vya Siasa utagundua Msajili wa Vyama vya Siasa hana nguvu yoyote ya kuishughulikia CCM kwa sababu haikusajiliwa na...
1 Reactions
16 Replies
836 Views
Maadui wa taifa letu wameongezeka wamekuwa wengi na possibly wamejipanga kwelikweli, lengo ni ukate tamaa, uwaachie Dodo, tena uliachie kwa watu wasio sahihi, waungwana na wazalendo wa ukweli...
8 Reactions
103 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika...
22 Reactions
62 Replies
2K Views
Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu. Damu ya mtu sio maji ya kunywa, juice, soda ama pombe. === Mwanajeshi mmoja nchini...
10 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom