Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mpaka ifike 2020 watanzania watatambua magufuli ni nani, tujuao magufuli si mwanasiasa na yupo kiutendaji na kibaya zaidi anaamini alichokiamini hakina mapungufu ,ushahidi mwingi upo wakati...
7 Reactions
116 Replies
14K Views
Ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba...
11 Reactions
49 Replies
1K Views
Habari zinasema kuwa baada ya kumaliza ziara mkoani Mwanza Rais yupo likizo kijijini kwao.
17 Reactions
181 Replies
35K Views
AHADI - ALIITOA AKIWA WAPI... Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini Tabora kutumia maji ya Ziwa...
16 Reactions
848 Replies
91K Views
Zitto Kabwe, ambaye ameweka wazi kuwa anataka kuwa Rais wa Tanzania anasema kuwa Jakaya Kikwete amemwambia yeye na Mbunge wa NCCR Mageuzi, David Kafulila, kuwa anapendelea Rais wa 2015 awe kijana...
4 Reactions
597 Replies
51K Views
Jana mzee Mkapa alimwaga radhi, CCM nayo ikamwaga radhi. Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, alipopata wasaa wa kuhutubia maelfu ya wanachama wa CCM waliokuwa uwanjani wa Jangwani, alirusha...
26 Reactions
827 Replies
88K Views
Nimetafakari, nikaona nipate pia mawazo wanafikra weledi juu ya baadhi ya kauli zenye utata za viongozi kwa wananchi Je, huu ni uungwana kweli? Kauli tata za vingozi wa Tanzania Mtakula nyasi...
15 Reactions
2K Replies
222K Views
Ili kupunguza makali kwa wanzazibari Rais Samia kwa kushirikiana na Mwinyi jengeni bara ya lami kuunganisha Unguja na Bara. Hii itasaidia maroli na vyakula kutoka bara kwenda kuingia kwa urahisi...
1 Reactions
12 Replies
621 Views
Kuna mambo Mwendazake alituachia inabidi tuyaenzi kwa manufaa ya Taifa letu. Kwa bahati mbaya Sana Siasa za ndani na nje ya CCM zinataka kutupofusha tusione mambo ya Msingi ambayo yanabeba...
22 Reactions
94 Replies
7K Views
Tanzania inatarajia kufanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 2024, je, utashiriki katika Kupiga Kura? Kama ndiyo/hapana kwanini? JamiiForums inakukaribisha kushiriki katika Mjadala...
2 Reactions
9 Replies
403 Views
Mwaka jana serikali iliifuta hifadhi ya Kigosi na kufanya kuwa makazi ya watu. Hakukuwa na kelele, badala yake watu wa makundi yote walishangilia...
0 Reactions
2 Replies
151 Views
Kuna mambo yanastaajabisha sana. Huyu ni waziri anayepaswa kusimamia majukumu ya OR-TAMISEMI ambapo Majukumu ya OR-TAMISEMI yanatekelezwa katika ngazi ya Makao Makuu, Mikoa na Mamlaka za Serikali...
4 Reactions
13 Replies
752 Views
Mara kwa mara Shujaa Magufuli alikuwa akisema amejitoa Sadaka Nchi ipone kwani ilikuwa imechezewa sana Chadema wakamfanyia kila hila wakisaidiwa na Zitto Kabwe Lakini sasa tunakula Matunda ya...
1 Reactions
12 Replies
302 Views
Kutumia risasi za moto kutuliza vurugu si sawa. Hasa kwa chombo ambacho wananchi wanadhani kimeundwa kuwalinda na kuwaonyesha njia ya amani. Hakika damu haiendi bure, roho zinazotolewa kabla ya...
1 Reactions
9 Replies
193 Views
Inabidi tuanze kujifikirisha tena kidogo kwa fikra yakinifu dhidi ya Faida na Hasara za Uhusiano wa kidplomasia na Mataifa yenye Migogoro ili tusije kuingia kwenye kaburi ya Halaiki lililochimbwa...
3 Reactions
54 Replies
6K Views
Baada ya mwanaharakati na mtungeneza maudhui Fortunatus Buyobe kudai kuwa SSP Fatuma Kidongo ndio anayetajwa kama afande na wabakaji wakati sio kweli mwanasheria wa familia amedai kuwa mteja wake...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Hivi Watanzania wanaelewa mifumo ya uongozi? Kama hawaelewi huko shuleni wanajifunza nini? Kila Jambo hata Mambo madogo ya kifamilia utasikia mtu anamlilia Rais. Mtu akitembea na mke wa mtu...
2 Reactions
26 Replies
463 Views
Nimelia sana, nilipoiona hii taarifa. --- Kuna upotoshaji umeenea kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi ndiyo ina wajibu wa kuendesha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ukisoma Katiba ya Jamhuri ya...
7 Reactions
51 Replies
3K Views
Kwa mara ya Kwanza baada ya Uhuru Tanzania imepata Rais Samia apewe maua yake. Serikali ya Rais Samia imeandika Historia nyingine ya ubunifu kwa kusaini kuanza ujenzi wa barabara za kuu za lami...
37 Reactions
491 Replies
31K Views
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema wakati wowote kutoka Sasa Serikali Kupitia TanRoads itasaini mikataba 15 ya Ujenzi wa Barabara na madaraja Nchi nzima tukio ambalo Litashuhudiwa na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom