Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Vitisho vya aina yoyote ile na Lobbying yoyote ile kwenye Media kuelekea Press conference ya Mhe. Freeman Mbowe @freemanmbowetz havina nafasi kwenye Uhuru wa Habari. Kwani Freeman Mbowe hapaswi...
26 Reactions
88 Replies
3K Views
Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa, halijapiga marufuku kufanya mikutano ya nje ya hadhara na ile ya ndani ili mradi inafuata matakwa ya sheria za nchi. Pia soma: Uzi Maalum wa Matukio...
3 Reactions
51 Replies
3K Views
Mimi ni MZAZI, Mimi ni mlezi, Mimi ni mhanga mkubwa wa ukatili unaoendelea dhidi ya watoto wa kike. Nina hakika kupitia hapa wasomaji wa Jamii forums mtakumbuka kisa kimoja nilikileta hapa nacho...
27 Reactions
46 Replies
4K Views
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, tarehe 26 Julai, 2024 alitoa...
2 Reactions
4 Replies
400 Views
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Florent Kyombo ameongoza kikao cha kamati hiyo kilichopokea Maelezo ya Waziri wa Katiba na Sheria kuhusu Muswada...
0 Reactions
0 Replies
430 Views
Wenzao wamechakazwa kwa kipigo. Lakini wao wamo humu ndani JF wakitiririka kwa comment za kihuni. Makada wa CHADEMA acheni uoga basi.
3 Reactions
11 Replies
372 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, atazungumza na Dunia kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika 14/08/2024 kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam...
17 Reactions
72 Replies
3K Views
Naomba nipate ufafanuzi wa kisheria hivi mtu kutoka Tanzania bara yaani Mtanganyika anaweza kwenda kugombea urais Zanzibar?
2 Reactions
41 Replies
959 Views
Habari! Nami leo nimeona nitie neno juu ya Paul Makonda. Huyu jamaa Mimi simwiti mheshimiwa. Hata kama atakuwa Rais kwa mifumo yetu bado nitamwita Rais Makonda sitaweka neno Mh. Makonda akiwa...
17 Reactions
57 Replies
3K Views
Unaanzaje kukataa 3bn kwenye nchi ambayo mabepari wanapambana ili kuzidiana katika Upigaji. Wewe ni sio mzalendo wewe ni mshamba mpaka kesho, Ona leo wanakuita muhamiaji haramu. Hiyo pesa...
12 Reactions
114 Replies
5K Views
Wanabodi Kama kawa, kila nipatapo fursa hushuka na kwa maslahi ya taifa ambazo huwa na swali, jibu utatoa mwenyewe. Swali la leo ni kuhusu kuijua katiba yetu. Je wajua kuwa kila kura...
4 Reactions
4 Replies
347 Views
"Ninaona na ninaamini mchakato ule wa maridhiano umetekwa, siwezi kusema Rais ndiye ameuteka kwa sababu yeye ndiye aliyeuanzisha ila ninahisi kuna nguvu nyingine tusiyoiona ambayo imeteka mchakato...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Ni suala la muda tu, mahangaiko yatarejea tena kama ilivyokuwa hapo jana kwa mwamba. Mbinu na mitego yote ipasayo kumnasa, i mikononi mwao na inangojea mtegwa anase. Chiba juzi asingenasuliwa na...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Hiyo miamba sijui inacheka nini Ila awamu ya Tano walikataliwa kwa lipi na awamu ya sita wamekubalika kwa lipi kwa Taifa letu Tanzania?
9 Reactions
172 Replies
6K Views
Askofu ambaye kimsingi hanaga uoga wala kujipendekeza ametema nyongo. Amesema anawashangaa watawala kuiogopa sana CHADEMA kwa kuwakamata wanachama na viongozi wa Chama hicho ambao walikuwa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Tanzania ni nchi ya amani na kila mtu anaitamani. Sasa hawa jamaa wanapokuja kucheza mpira hapa, Maisha ya hapa yanawavutia mno. Wamebuni mbinu ya kuzaa hapa. Mali zao wanasajili kwa majina...
4 Reactions
58 Replies
3K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanyau teuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi kama ifuatavyo: i) Amemteua Mhe. Deogratius John...
33 Reactions
611 Replies
50K Views
Katika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI...
104 Reactions
232 Replies
22K Views
Hakuna binadamu aliye mkamilifu hata mmoja isipokuwa Mola peke yake. Rais wangu John Joseph Pombe Magufuli, katika kipindi cha miaka mitatu umefanya mengi mazuri na mabaya, ili kukamilisha ndoto...
13 Reactions
33 Replies
4K Views
Hii si sawa na lazima isemwe. Mhe.Rais samia ameendelea kuwa mwenye nia njema sana ya kuondosha malalmiko ya jamii hususani katika muktadha wa kisiasa. Baada ya tuhuma za uongo na zilizosukwa na...
1 Reactions
14 Replies
574 Views
Back
Top Bottom