Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Megati 222 = trilion 1.4?( bwawa la makamba) Vs Megawat 2225 =trilion 6( bwawa la magufuli) Hata mwenye akili ndogo ameelewa huu upigaji Waziri wa Nishati, January Makamba amefika kwenye...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaomba Wakazi wa Ukonga kumshika Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia ni Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Jerry Silaa kwakuwa ni Waziri...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa...
10 Reactions
38 Replies
3K Views
Kampuni ya Indiana ilipewa lesesi ya kutafuta madini na kuanzisha mgodi. Ikafanya hivyo kwa gharama zake tena gharama kubwa. Tanzania kama taifa tukatumia Resource nationalism bullying...
8 Reactions
46 Replies
1K Views
Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja. Ila naona awamu hii wamefika...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Jimbo linahitaji Kiongozi mwenye maono. Nawe Ni mtu sahihi NB: Victor Tesha ni makamu Rais wa Federation of Miners Association of Tanzania maarufu kama FEMATA na pia ni Managing Director wa Isale...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Tunaomba Rais atembelee maeneo yaliyotajwa hapo juu. Maeneo hayo wananchi Wana umri wa miaka 60, hawajawahi kuona sura ya lami. Maswali ni mengi kuliko majibu.
3 Reactions
13 Replies
675 Views
Maana kulizuka mambo ya ooh sijui ataweza mara mwanamke mara sijui nini na ujinga mwingine mwingi kama huo. Lakini Samia alilijua Hilo mapema na aliwahi kuongea hususani wakati anatoa mada kule...
0 Reactions
1 Replies
197 Views
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana. Sababu zinazotajwa ni kutokana na...
22 Reactions
75 Replies
6K Views
Kutoka Sumbawanga Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko ameweka Jiwe la Msingi la mradi mkubwa wa umeme unaojulikana kama TAZA. Mradi huo ukikamilika Itaunganisha Mkoa wa Rukwa...
1 Reactions
4 Replies
460 Views
Akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa chama hicho unaofanyika leo, Alhamisi Agosti 01.2024, jijini Dodoma, Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Wakili Harold Sungusia amesema...
0 Reactions
2 Replies
441 Views
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) nchini Tanzania ina majukumu muhimu katika usimamizi na utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Majukumu yake ni pamoja na: Utoaji wa Mikopo...
0 Reactions
0 Replies
322 Views
Mawakili wa Luhaga Mpina wanazungumza na waandishi wa habari muda huu. https://www.youtube.com/watch?v=a5iWi_n2I8M Pamoja na nambo mengine, mawakili hao wamesema mojawapo ya kesi zilizofunguliwa...
42 Reactions
298 Replies
9K Views
TAARIFA YA UFAFANUZI YA MHE. LUHAGA JOELSON MPINA (MB) KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU SINTOFAHAMU INAYOENDELEA JUU YA SAKATA LA UTOAJI WA VIBALI VYA KUINGIZA SUKARI KUTOKA NJE YA NCHI NA HATMA YA...
2 Reactions
8 Replies
911 Views
Ukweli huu Kuna kundi la watu Huwa hawataki Asante sana JK Kwa kuweka mambo hadharani 👇👇 https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1818568426115260588?t=D2CN2fHPvVBoX3HjF4w7KA&s=19 Rais...
6 Reactions
138 Replies
4K Views
Wanabodi, Hili ni bandiko kuhusu kitu very serious kuhusu mustakabali wa taifa letu na vipaumbele vyetu ambapo CAG Prof. Mussa Asad amekisema!. Kama hii ni kweli, then, this is not right at all...
59 Reactions
403 Replies
48K Views
Wengi wanaoteliwa na Rais, ndio mfumo tulionao. Hiki kitu siyo kibaya, tatizo linalotokea ni watu kufanya kazi kwa uoga na hofu. Anaamka asubuhi anakwenda ofisini hajui jioni kama atakuwa ana hiyo...
1 Reactions
1 Replies
260 Views
Rais Samia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku sita mkoani Morogoro mwanzoni mwa mwezi Agosti mwaka huu. Akitoa taarifa ya ziara ya Rais Samia, Mkuu wa Mkoa wa...
1 Reactions
4 Replies
645 Views
Kupitia kada wake mwandamizi ndugu Ntobi, CHADEMA imewakaribisha wanaCCM waliotumbuliwa kujiunga na chama chao wapige kazi. ========= Kupitia ukurasa wake wa X (Zamani Twitter) kada huyo wa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom