Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Watanzania mkiambiwa katiba mpya inatakiwa ikiwemo kifungu cha raia binafsi kumiliki ardhi badala ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuvishwa joho la kifalme / malkia kuwa ni mdhamini wa...
0 Reactions
1 Replies
408 Views
Bongo sidhani kama kuna msanii au wanasanii wanao weza kusimama na Wananchi, hawa ni ndio watu wanaingoza kwa uchawa nchi hii na still bado huwa tuna wapapatikia mbaya mno.kiwango cha uchawa wa...
1 Reactions
5 Replies
359 Views
Nampongeza Mhe. Rais kwa kuunda kamati ya kufanya mapitio ya mfumo wa kodi nchini. Natambua wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda, migodi na maeneo mengine ya uwekezaji watakuwa respondent...
2 Reactions
2 Replies
272 Views
Ukiwa Rais wa Tanzania hasa kama umetokea Zanzibar..kuna changamoto kubwa mno ya kuyajua makundi ya fitina ya watanganyika na namna ya kupambana na fitna zao.. Rais Mwinyi alikuwa 'victim'...
63 Reactions
207 Replies
17K Views
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso waziri mwenyeji wa umoja wa nchi tatu zinazonufaika na Mto Ruvuma Tanzania, Malawi na Mozambique ameongeza Mkutano na Hafla ya utiaji saini hati ya makubaliano ya...
2 Reactions
10 Replies
715 Views
Nadhani Nyerere Foundation ina cha kujifunza kwa Benjamin Mkapa Foundation. Nyerere Foundation ilitarajiwa iwe ndio kioo cha Foundation za viongozi kwa kutatua matatizo na ku-shape sera za nchi...
1 Reactions
0 Replies
347 Views
Kuna hii ‘narrative’ inayoendelea sasa hivi kuwa Rais Samia anashauriwa vibaya. Kila jambo linaloonekana kwenda mrama, lawama wanapewa hao washauri wake! Yeye hakosei [kwa maneno yake mwenyewe...
36 Reactions
129 Replies
12K Views
Naona kuna mambo yanaendelea ndani Ya inchi bila watu kujua lililo nje Ya pazia Someone is hunting it for real by hooks and crooks! Mi ni miongoni mwa watu wanaokataa jambo lolote la kujinga...
28 Reactions
49 Replies
5K Views
Mbunge wa Jimbo la Busokelo amefika kijiji cha Ndala Kata ya Kandete ikiwa ni muendelezo wa ziara ya kijiji kwa kijiji anayoifanya Jimboni. Akiwa Kijiji cha Ndala Mheshimiwa Mbunge amepokea kero...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Kusema ukweli kama unafikiria kiuchumi na kimkakati huwezi fanya maamuzi ya kuchagua vipaombele kama hivyo ambavyo Kwa maoni yangu ni vipaombele vya hovyo kabisa. Kwamba Tumetukia Trilioni 3.6...
12 Reactions
125 Replies
5K Views
Wenye nyumba maeneo ya Masaki/Mikocheni n k wengi bado wanashinikiza malipo ya Dola (US $) Wakati nchi haina udhibiti tena wa sarafu hii. Bei ya Dola inazidi kupanda na haitabiliki kesho itakuwa...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Hakika nyie Ni maalum haswa nchini, 1. Jafo, 2. Mchengerwa, 3. Ulega, 4. Ridhiwani, 5. Kipanga.
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanueli Nchimbi Ametua kusini Rasmi kuanza na kuendelea na ziara yake ya kichama kama ambavyo niliwajuzeni humu jukwaani. Ambapo ameambatana na...
3 Reactions
101 Replies
4K Views
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, Chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu...
6 Reactions
74 Replies
2K Views
Habairini za kazi ndugu Watanzania, Ni maoni au mapendekezo yangu na baadhi ya Watanzania wachache pia ambao tupo advanced kimawazo, hakika ningefurahi zaidi Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka 2025...
3 Reactions
4 Replies
328 Views
CCM wakiongozwa na Mwenyekiti Mama Samia wameanza kukonga mioyo ya wafuasi wa hayati Magufuli kundi ambalo ni kundi kubwa kuliko yote ndani ya CCM na nje ya CCM - mitaani. Ushauri kama Upinzani...
2 Reactions
17 Replies
640 Views
𝙈𝘼𝙅𝘼𝙎𝙐𝙎𝙄 𝙒𝘼 𝙍𝙒𝘼𝙉𝘿𝘼 𝙆𝙐𝙄𝙉𝙂𝙄𝘼 𝙉𝘾𝙃𝙄𝙉𝙄 𝙉𝘼 𝙆𝙐𝙈𝙏𝙀𝙆𝘼 𝙋𝙖𝙪𝙡 𝙈𝙖𝙣𝙯𝙞 𝘽𝙮𝙖𝙗𝙖𝙜𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙍𝘼𝙄𝘼 𝙒𝘼 𝙍𝙒𝘼𝙉𝘿𝘼 𝘼𝙇𝙄𝙔𝙀𝙆𝙐𝙒𝘼 𝘼𝙉𝘼𝙄𝙎𝙃𝙄 𝙉𝘾𝙃𝙄 𝘽𝘼𝘼𝘿𝘼 𝙔𝘼 𝙆𝙐𝙋𝘼𝙏𝘼 𝙃𝙄𝙁𝘼𝘿𝙃𝙄 𝙔𝘼 𝙐𝙆𝙄𝙈𝘽𝙄𝙕𝙄 𝙒𝘼 𝙆𝙄𝙎𝙄𝘼𝙎𝘼 𝙉𝙄 𝙐𝙕𝙀𝙈𝘽𝙀 𝙒𝘼 𝙑𝙔𝙊𝙈𝘽𝙊 𝙑𝙔𝙀𝙏𝙐 𝙑𝙔𝘼 𝙐𝙇𝙄𝙉𝙕𝙄 𝘼𝙐 𝙆𝙐𝙉𝘼...
53 Reactions
311 Replies
33K Views
Chuo hiki kina migogoro mikubwa ya ardhi na wananchi, ni lazima sasa ifanyiwe kazi, mkoa utulie, kila mahala SUA ilipo karibu kuna mgogoro, sasa Wizara ya Elimu, Ardhi, wapige kambi hapo...
2 Reactions
5 Replies
452 Views
Tunapohoji sana haya masuala tunaitwa Wapinga kila kitu, Sasa nyie mnaokubali kila kitu Tuambieni hapa mmeelewa nini? Je ni kweli kwamba Abiria hawakujua na walifika wanapokwenda kwa wakati?
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Huwa sielewe kwa kweli. Hasa nikiangazia teuzi za mawaziri. Unakuta leo waziri yupo wizara hii, kesho kateuliwa kule na keshokutwa kaletwa huku. Na kila unapomwona kwenye wizara mpya anaongea kama...
11 Reactions
51 Replies
2K Views
Back
Top Bottom