Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).
Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama...
Miradi ya Meli, SGR na Maji yakwama Mwanza, pesa zinapigwa na Serikali yagoma kupeleka pesa
Miradi mikubwa mitatu ya kimkakati iliyopo jijini Mwanza iliyoanzishwa na Serikali ya awamu ya tano...
Nimekuwa nikifuatilia utekelezaji wa miradi na kuona kama inasuasua kwenye maeneo kadhaa mikoani. Ninaishauri serikali na vyombo vyake kusaini mikataba isainiwe baada ya fedha kutengwa.
Kwa...
Bado Mungu anaendelea kuipigania nchi hata kama watanzania wengi wamekata tamaa.
Nape alitumbuliwa na Magufuli, ikawa nongwa na mashambulizi yakaanza hadi wazee wenye heshima zao wakaingia kwenye...
Tanzania na Visiwa vya Comoro zimesaini Hati nne za Makubaliano kwenye kilele cha Mkutano wa Kwanza wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Comoro uliofanyika tarehe 24 Julai...
Hivi hii Nchi imefikia hatua kiongozi kuumwa ni jambo la Siri?
Mbona Kikwete alipoumwa Tezi Dume ilikuwa ni wazi na Kila mtu alijua?
Kuna watu mnawatengenezea umaarufu bila hata sababu ya...
Kila tangazo la ajira ofisi husika inajinasibu kuwa inatoa fursa sawa kwa wote, lakini si kweli. Ajira yoyote ndani ya taasisi ya umma utaweza kuipata endapo mabosi wa taasisi hiyo, watoto wao...
Huo ndio ukweli Elimu ya Tanzania hutolewa kimkakati sana hivyo siyo rahisi kupata Vijana wa kubeba maono ya Gen Z kama ilivyo Kenya na sasa Nigeria
Gen Z ya Kenya imesheheni Wasomi wa Sheria na...
Viongozi wa CCM hawaachiani maji wala msosi mezani. Ukienda kuongea na simu ukaacha maji aidha colorless water or maji ya dhahabu basi sharti uyamwage maana lolote laweza kutokea.
Haya matamshi...
Mnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda...
Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo...
Hii nukuu ya Mzee Kikwete nimeikuta huko ukurasani X
" Dhamana ya Uongozi haikufanyi uwe na Haki zaidi kuliko Mtu mwingine asiye Kiongozi. Kujishusha hakukufanyi Usiwe Kiongozi"
Credit: Elimika...
Ndugu zangu,
Kwenye vyombo vya habari kumekuwa na taarifa zinazochanganya juu ya kinachomsibu Dk. Mwakyembe.
Na kama utangulizi ufuatao nitauzungumza kama hotuba fupi mbele ya watu...
Nadhani hii kauli ilikuwa na kaukweli Kwa mbali ila wahusika walitafutiwa TU timing.
Pia soma
Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Lema...
Taarifa zinaonyesha kwamba wakati Mangula akipoteza fahamu kutokana na kulishwa sumu , ndani ya ofisi ile kulikuwa na viongozi watatu tu wa CCM, Bila shaka viongozi wale walimjua mtu aliyempa sumu...
Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha Wanawake Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Semuguruka maarufu "Twiga" amewataka wazazi kuwa karibu na watoto wao na kuwalea katika maadili ya Kitanzania ili wawe...
Ninayoenda kuyaandika hapa yanaweza kuchukuliwa kama masihara au kukosa uelewa wa siasa za nchi hii lakini ni ukweli usiopingika mtu mwenye kariba, mtazamo na uwezo kama wa JPM wa kupambana na...
Chama cha ACT Wazalendo kimechukizwa na ugumu wa maisha unaowakabili wananchi kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa, utitiri wa kodi, tozo, ushuru na mazingira magumu ya kujipatia kipato...
Habari zenu wana JF wenzang
Baada ya tumbua tumbua iliyofanyika jana, na kupelekea vijana wawili (maadui wa taifa) kutumbuliwa na mwenye nchi yake, inasemekana na kuonekana kabisa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.