Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakati wa Magufuli niliwahi andika hapa kama Magufuli anao watu wa kumwambia ukweli na akawasikiliza, nilitoa mfano wa Fidel Castro alivyokuwa anaogopwa na watu wengi sana lakini walikuwepo watu...
70 Reactions
126 Replies
4K Views
Gen Z movement zilianzia Kenya, zinaelekea Uganda na sasa zimebisha hodi Nigeria. Yapo mafanikio kadhaa yameanza kuonekana kama: 1. Marais kusitisha safari zao nje ya bara la Afrika kwenda kuomba...
4 Reactions
11 Replies
815 Views
Hapo ndipo tunapojikuta tunataabika na kuokota Magarasa na kuyapa uongozi. Uongozi ni Karama kutoka kwa Mungu, haujawahi kuwa urithi wa Ukoo, sasa hapa ndipo ambapo Mamlaka za Uteuzi zinapoboronga
10 Reactions
61 Replies
2K Views
Napata picha namna Makamanda wa Chadema watakavyotembea Vifua mbele 😂😂 Ruto amefungua njia huko nchi jirani Ili kuwaridhisha Gen Z Mlale Unono Makamanda 😀 PIA SOMA - President William Ruto...
1 Reactions
4 Replies
235 Views
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali 1. Je ni ushindani ndani ya chama 2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 24 Julai, 2024 amehitimisha ziara yake ya kikazi nchini India kwa...
1 Reactions
1 Replies
341 Views
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa...
15 Reactions
1K Replies
259K Views
Taarifa kwa Umma kuhusu uapisho wa Mbunge Mteule Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb). Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), atamuapisha Mbunge Mteule Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
Wakuu msichoke , hata kama kuna kesi ya Mbowe inayopora karibu kila sikio la mtu , au labda uchaguzi wa Spika , lakini kuna mambo mengine ni kama madogo hivi , lakini ni lazima yajadiliwe. Iweje...
26 Reactions
211 Replies
14K Views
Vumbi analotimua huyu Katibu mwenezi wa CCM komredi Makonda kuna mila dalili ya kutimia kwa Unabii wa Mzee Lowasa aliyesema "Chadema tusiposhinda Urais Mwaka huu 2015 itatulazimu tusubiri kwa...
0 Reactions
13 Replies
540 Views
Nilishauri wakati alipotenguliwa Makonda kuwa nafasi hiyo inamfaa sana Nape. Bado nashauri tena baada ya kuondolewa kwenye Uwaziri, Nape anafiti sana kwenye nafasi ya Katibu Muenezi. 1. Ana...
0 Reactions
16 Replies
677 Views
CHADEMA NI UNDER DOG WA CCM MIAKA NENDA RUDI Hivi karibu tumeona na kushuhudia matendo ya ajabu sana ndani ya Chadema, chama ambacho kilijitanabaisha kama mbadala wa CCM, kwamba kimefikia hadhi...
7 Reactions
54 Replies
2K Views
Ulibadilisha Sheria ya Habari na ukafungia Magazeti pamoja na kusitisha matangazo ya Bunge live sasa umeanza kujirekebisha basi malizia na kuturejeshea Bunge letu live. Pia soma Nape: Si uamuzi...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano, Mh. January Makamba katika mahojiano maalum na Kwanza TV ameeleza kuhusu uamuzi wake wa 'kupotea' kwenye mitandao ya kijamii mara...
1 Reactions
118 Replies
14K Views
Kuna mnyukano wa hoja huko X kati ya wafuasi wa Mwigulu na Wafuasi wa John Pambalu Pambalu anadai alichukua cash akaenda airport akiwa anasafiri akategemea anaweza kupata dola lakini alipofika...
2 Reactions
18 Replies
692 Views
Barack Obama aliwahi kusema hivi: "The best way to not feel hopeless is to get up and do something. Don't wait for good things to happen to you. If you go out and make some good things happen...
2 Reactions
1 Replies
265 Views
Hili vuguvugu la harakati za Gen Z lililoanzia Kenya kisha kuhamia Uganda hivi karibuni. Ni kiashiria cha mahitaji ya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yenye kupiganiwa na vijana. Kwa vile...
1 Reactions
18 Replies
603 Views
Salaam, Shalom!!! Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza Hasa alikotoka!! Nimewahi kuishi mikoa Fulani kijana anapata shida kidogo tu ya pesa...
16 Reactions
124 Replies
2K Views
Akizindua maghala ya kuhifadhia chakula mjini Mpanda Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Kuhusu Hassan amesema Nchi Sasa inahama kutoka kwenye Kilimo Cha Mazoea Cha kulima.kwa.ajili ya...
4 Reactions
70 Replies
2K Views
Ili umpe kipigo cha mbwa koko mtoto wa kambo pasipo lawama, basi anza kwa kumfinya mwanao wa kumzaa. Anapoanza kulia mtoto pendwa ndipo unanza kushusha kipondo cha kuvunja mikono kwa mtoto wa...
15 Reactions
48 Replies
5K Views
Back
Top Bottom