Ni wakati muafaka sasa kwa CCM kufanya wajibu wake muhimu sana, dhidi ya wenye kiburi, waongo, wabishi na wenye tamaa waliobakiza mioyo yao ccm, lakini akili zao zikiwa kwa walio watuma.
Wakati...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amewaambia wazazi wa Manyoni Kuwa Watoto wao waliopo Vyuo vikuu hawapewi Mikopo wanaenda kujiuza
"Ukienda DSM muda wa Usiku utawakuta mabinti wa Vyuo...
Kwa jicho la kuona mbali ni wakati sahihi wa bwana Mpina aondoke CCM.
Ni wazi mfumo wa Serikali ya sasa umemkataa kwa sababu moja tu nayo ni wenzake wanapiga ilhali yeye hafanyi hivyo.
Suluhu na...
Bado kuna baadhi ya tofauti kubwa kati ya Tanzania ya Magufuli na Tanzania ya Rais Samia Suluhu.
Hapa ni baadhi ya mambo muhimu:
1. Uongozi na Mtazamo: Rais Magufuli alikuwa na mtazamo tofauti...
Kwa chanzo nyeti chama kongwe ni kuwa wapiga kura October 2025, yakadiriwa kufika million 33. Hali hii yawatisha wenye chama.
Chanzo hicho kimeniambia ujio ya wapiga kura watoto kama alivyosema...
Mh. Spika, kwa nini unataka kumlinda mwizi kwa kumfunga aliyetoa taarifa za wizi?
Watanzania wa sasa wana akili na wanaelewa unachotaka kukifanya.
Tunataka kwanza hoja za Mpina zijibiwe barabara...
Kwa mujibu wa sheria ya ardhi ya Kijiji, (The Village Land Act, Cap 114) na kanuni zake, serikali ya Kijiji hairuhusiwi kugawa ardhi ambayo inazidi ekari 50.
Mpina amegawiwa ekari 1000, kubwa...
Tundu Antipas Lisu na mh Mpina wanadai uhaba wa sukari/ sugar ulitengenezwa
Swali la msingi ni nani aliyetengeneza huu uhaba wa sukari ikiwa wazalishaji wa sukari ni sekta binafsi?
Sidhani kama...
Hali inatisha inaogofya hakuna tena wa kumuamini, kiti cha spika kimevutwa na sumaku na kuelemea upande wenye najisi uongo wizi na ufisadi. Iliyobaki kila mwananchi ajitetee kivyake ifikapo 2025...
Nimekusikia ukichangia kuhusu mpango wa taifa wa maendeleo,huna point bali umechagua kutumikia upande unaokulipa,
Ushahidi alioutoa Luhaga Mpana unakuzidi uwezo huwezi uchambua kwa hiyo akili...
Hayo ni Maneno kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, alipohutubia Wananchi kwenye Jimbo la Mwigulu huko Iramba mara baada ya kushuhudia dhiki ya kutisha inayowakabili wananchi...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari, leo Jumatano Juni 12, 2024 kwenye Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya majadiliano kuhusu...
Mojawapo ya vigezo, tunu na utamaduni muhimu wa demokrasia ni ushindani wa haki wa wagombea kupitia sanduku la kura. Kunapokosekana huo ushindani demokrasia inakuwa imekanyagwa na kusiginwa. Kwa...
Naomba tutafakari nani genius kati ya hawa;
Mh. Mpina vs Mh. Bashe
Au kati ya;
Mh. Tulia vs Mh. Mpina.
Uwanja upo wazi. Pesa mbaya!
====
Pia soma:
Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina...
Mbunge wa Viti Maalum mh Neema Lugangira amewashukuru Sana Waislamu wa Manispaa ya Bukoba kwa kumualika Kuwa Mgeni Rasmi Baraza la Eid Al Adha
Neema amemshukuru Sana Mungu wa Mbinguni akisema...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ametua kwa kishindo na salama kabisa Nchini Afrika kusini,ambako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.