Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tamthilia: Uchaguzi wa Urais mwaka 2025, Mwenge wa Demokrasia Wahusika Wakuu 1.Amani Chawote- Mgombea urais wa chama cha Demokrasia kwa Kila Mtu (DKM) 2.Salama Mwita - Mgombea urais wa chama cha...
2 Reactions
4 Replies
262 Views
Ni kazi kuamini:- * Kelele za CHADEMA kuhusu barabara ya Nyakanazi - Kigoma CCM imezimaliza. Sasa hii si hoja tena kwao; * Umeme si hoja tena. REA imefanya kazi kubwa kuleta maendeleo ya nishati...
2 Reactions
5 Replies
382 Views
A LETTER FROM THE GRAVE A MUST READ ! _The story of LEE KUAN YEW (Ex Prime Minister of Singapore for 31 years) His OPEN LETTER TO MALAYSIAN LEADERS_ Dear Malaysian leaders, I want to...
1 Reactions
7 Replies
663 Views
"Tukiangazia suala la msamaha ya kodi tunaona kuwa baadhi ya makampuni yamesamehewa kodi ya 'Import Duty' 35% na VAT 18% kwa sukari inayoagizwa kutoka nje ya nchi tani 410,000 wakati viwanda vya...
0 Reactions
1 Replies
145 Views
Ili dira ya maendeleo ya Taifa iwe reality inahitajika. i, Competent leaders ii, Kuwa makini wakati wote iii, Kufanya kazi kwa bidii sana iv, Wote kuwa na lengo moja katika siasa za nchi( muhimu...
2 Reactions
5 Replies
287 Views
Mimi kwa uzoefu wangu wa kesi za jinai na madai, naona kuna vitu vya kisheria vitajitokeza au kuibuliwa kabla ya kesi ya msingi maana hatujui Kabendera atafungua Shauri la kudai fidia la aina...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
* RC Makonda alisikika akisema kuwa watu wanamfuatilia, * Balozi Polepole akitokea Arusha siku moja alikuta nyumbani kwake kaporwa nyaraka, * Mhe Ole Sendeka majuzi kakoswakoswa kuuawa kwa...
2 Reactions
5 Replies
306 Views
Hivi karibuni vimeongezeka visa vingi vya uzembe, utovu wa nidhamu kazini, kunakofanywa na baadhi ya watendaji wa kata zilizopo Arusha. KERO kuu ya kwanza kabisa, ni kuchelewa kufika ofisini bila...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwa nini mikopo chechefu? mikopo chechefu inaanzaje anzaje, inaanzia kwa nani hadi iitwe chechefu. Tutafakari tusaidie taifa? Mabenki yamekuwa yanatangaza faida kubwa kuwa wamevuka lengo kumbe ni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Sijajua kama ni shida ya Watanzania au shida iko kwenye bajeti zenyewe. Ama Watanzania wamesusa baada ya kuona hazina maana sana kwao au ni ujinga tu wanahitaji kuelimishwa. Zamani tukiwa...
7 Reactions
79 Replies
2K Views
Nimekuwa nafuatilia mikutano ya vyama mbali mbali vya kisiasa. Kuna siku nikakuta wana CCM wanafanya vikao vyao kwa njia ya aibu sana. Ktk hali ya ulevi na mambo ya hovyo kama mnavyotazama...
0 Reactions
6 Replies
319 Views
Kama nchi tunatakiwa tujisimamie sisi wenyewe katika utekelezaji wa miradi inayotekelezwa katika nchi hii. Karibu zaidi ya asilimia 90 ya miradi yote inayotekelezwa katika nchi yetu ni fedha za...
0 Reactions
4 Replies
200 Views
Bibie Claudia Sheinbaum anatarajia kishinda Uchaguzi wa Mexico baada ya matokeoa ya Uchaguzi kuonesha akiongiza Kwa asilimia 60% Dhidi ya Mpinzani wake Mwanaume. Huyu atakuwa ni Rais wa Kwanza...
3 Reactions
74 Replies
3K Views
Tangu July, 2015 wakati wa utawala wa Rais Kikwete kima cha chini cha Pensheni za wastaafu hakijawahi kuongezwa kutoka Tsh. 100,000/=. Tokea 2023 Waziri Mwigulu amekuwa akiongelea zoezi la...
3 Reactions
3 Replies
713 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Daktari Samia Suluhu Hasssan ameibua shangwe na kuteka hisia za watanzania wengi sana, baada ya Rais wetu mpendwa...
11 Reactions
144 Replies
3K Views
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza. Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu...
11 Reactions
34 Replies
1K Views
Tukikumbuka ahadi za wanasiasa na siasa zao uhsusani kipindi hiki cha uchaguzi tunamalizia ni watu wale wale na mambo yale yale. Nakumbuka wakati ule waziri kama sikosei Bashungwa alipiga mpaka...
1 Reactions
2 Replies
153 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Hii ndio makala ya leo swali la wito kwa Watanzania wenzangu, jee jjifunze kujikubali kuwa...
54 Reactions
206 Replies
12K Views
Ukisikiliza kauli za viongozi wanaotakiwa kuwatetea wananchi (wabunge) hawako tayari kusema uhalisia wa wananchi wao maana watagombana na chama chao Ukiangalia vijana wahitimu wa vyuo vikuu...
6 Reactions
11 Replies
329 Views
Najiuliza tu, trilioni karibu nne! Kasi ya treni ilitafutwa ili mikoani wapeleke nini Dar, ambacho awali kilikuwa kinachelewa kufika?
9 Reactions
82 Replies
2K Views
Back
Top Bottom