Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari naitwa James Ni fundi wa kujenga chemba za kisasa za kuvutia karibu 0743257669 Tupo banana ukonga
0 Reactions
6 Replies
181 Views
1 >> Mwekezaji anatafutwa kwa ajili ya Kujenga au Kukarabati ( itakavyompendeza na tutakavyokubaliana) Kuendesha na Kusimamia. 2 >> Nyumba ipo Mkoa: Kilimanjaro, Wilaya: Moshi Mjini, Barabara...
0 Reactions
2 Replies
298 Views
BARABARA YA USAGARA - MWANZA MJINI KM 25 KUJENGWA KWA NJIA NNE Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inachukua hatua za haraka kushughulikia msongamano wa...
1 Reactions
3 Replies
251 Views
Habari za muda ndugu zangu natumai mnaendelea vzr katika kupigania pato la taifa Naomba kujua gharama za kuskimm chumba kimoja tu kwa ndani...tafadhar nataka niandae bajet yng,,natanguliza...
4 Reactions
20 Replies
7K Views
Viongozi nilikuwa naomba kama kunayeyote yule anajuwa sehemu kunachumba self kimoja mkoa wa shinyanga maeneo ya Ngokolo au majengo mapya. Chumba kiwe na tiles, maji,umeme, na kipo ndani ya uzio wa...
1 Reactions
4 Replies
145 Views
Karibu sana wateja wetu, sisi tunafanya kazi za ujenzi, finishing za makazi, Pamoja na UTENGENEZAJI wa Garden za KISASA. Gharama zetu ni sawa na bure, usikubali kuambiwa Bali chukua hatua ukitaka...
2 Reactions
3 Replies
182 Views
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amewataka wananchi wanaojishughulisha na uvuvi maeneo ya Kigamboni kutunza mazingira na kutotupa nyavu katika njia inayopita vivuko ili viweze kutoa huduma ya...
0 Reactions
6 Replies
378 Views
Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu Structure, design and building economic.
3 Reactions
100 Replies
7K Views
Mashine unayoiona hapo itakupa suluhisho lakudumu nautasahau kabisa kuhusu tatizo hilo. Kwa maelezo njoo inbox. 0743815045
0 Reactions
6 Replies
267 Views
Wana-JF Salaam! Ninaomba kujuzwa mahitaji na makadirio ya kufanya skimming na kupiga rangi nyumba ya vyumba vitatu vya kulala sitting na dinning room, jiko na stoo na choo/bafu public. Kimsingi...
0 Reactions
15 Replies
47K Views
SEKONDARI MPYA YA KIJIJINI BUTATA YAKARIBIA KUFUNGULIWA Serikali yetu inajenga sekondari mpya tatu (3) ndani ya Jimbo letu la Musoma Vijijini, na kila ujenzi/mradi umepewa Tsh milioni 584 (Tsh...
1 Reactions
2 Replies
181 Views
ULEGA AKAGUA VIVUKO, ATAKA MABORESHO YA HUDUMA YAZINGATIWE Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekagua vivuko viwili kati ya sita (6) vilivyowasili katika eneo la Magogoni kwa ajili ya kutoa...
0 Reactions
2 Replies
154 Views
Habari za majukumu wanajukwaa? Naimani Mwaka huu umeanza vizuri na matarajio yangu kwenye mwaka huu ni lazima nitoke nje ya mipaka ya Tanzania kwa namna yoyote ile iwe isiwe. Kabla ya yote...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Karibu Polaris Building Material! Tunapatikana Mbezi Beach Africana na Tabata Matumbi. Pia tunatuma bidhaa mikoani. Mabati kuanzia TSh 20,500. Kwa mawasiliano zaidi tucheck PM
2 Reactions
11 Replies
322 Views
Hii ni nyumba ya ya vyumba 3 vya kulala Mbao za 2/2 mbao 130 Mbao za 2/4 mbao 150 Misumali kg 45 ya inch 4 Mbao za fisherboard 18 Rangi sado 1 Kofia 26 Valley 18 Misumali ya bati pakt 30. Bati...
4 Reactions
10 Replies
521 Views
Nyumba niliyonayo ni ya urithi, nilipewa ikiwa imemalizika vitu vingi, nilihamia tu ? Nami nataka nijenge nyumba ambayo pengine naweza pia kuirithisha huko mbele. Sina ujuzi wala uzoefu wowote...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Karibu tuelimishane mambo kadhaa muhimu kabla ya kufanya ujenzi MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA UJENZI NOTE: Kufuata taratibu za kitaalamu katika UJENZI kunaweza kusaidia kupunguza gharama za...
4 Reactions
7 Replies
771 Views
Habari, Leo nimeona niwaelimishe ndugu zangu namna ya kujua idadi ya tofali zinazohitajika katika ujenzi wa nyumba. Katika somo hili, tutatumia ramani ya chumba kidogo cha mita 3 kwa mita 3...
29 Reactions
44 Replies
16K Views
Waungwana, amani na iwe kwenu. Bila kupepesa macho, naamini hapa ni sehemu sahihi kwa ajili ya hili suala linalonitatiza. Ntajitahidi nieleze kwa ufupi. Nipo katika hatua za mwisho za kufanya...
0 Reactions
6 Replies
550 Views
Back
Top Bottom