Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Msisitizo kwamba Tutafute hela ni wa kweli. Cheki makazi ya maana kabisa. Sio wewe unaenda kujenga kijijini kwenu huko Singida bado unaenda kubanana karibu na sokoni
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Kwa ukubwa huo wa kiwanja, inaweza ikagharimu shilingi ngapi kuzungusha fensi ya ukuta (Maji ya kutumia kwenye ujenzi yapo ya kutosha)
1 Reactions
39 Replies
11K Views
Tunajenga makazi na kufanya decoration zote ikiwemo gardening design kwa gharama nafuu kwenye ubora mkubwa. TUPIGIE kwa Namba zilizopo kwenye kipeperushi au hizi TUTAKUHUDUMIA. Pia ushauri wa...
2 Reactions
1 Replies
190 Views
Nipo kwenye hatua za kufunik nyumbani hapa Kilimanjaro ila sasa nimekuwa mdogo sana kwenye ujuzi na usahihi wa bati gani itanifaa au ni bora mbali na ALAF. Naomba ushauri kwa wazoefu. Asante
3 Reactions
13 Replies
698 Views
MWONGOZO WA UJENZI NA UENDESHAJI WA VITUO VYA MAFUTA KWA GHARAMA NAFUU: Usanifu na Ujenzi wa Kituo, Usafirishaji wa Mafuta, Jinsi ya Kuongeza Mauzo na Faida Katika kitabu hiki kuna sura 15...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
JENISTA MHAGAMA: UJENZI WA GHALA LA MSD DODOMA LAKAMILIKA KWA ASILIMIA 95 Ujenzi wa ghala la kuhifadhi bidhaa za afya la Bohari ya Dawa Kanda ya Dodoma lenye ukubwa wa mita za mraba 7,200...
1 Reactions
2 Replies
187 Views
Kama unahitaji ramani ya ujenzi na hesabu za makadirio ya ujenzi usisite kunipigia simu KAMA UNAHITAJI. Ramani Hesabu ya ujenzi (BOQ) Garden design Fence na aina zake zote ninatengeneza. Namba...
2 Reactions
1 Replies
187 Views
Kwanini Ujenge kwa kukisia kisikisia? Uanze ujenzi wako bila kujua utahitaji nguvu kiasi gani... Utapata stress 📲 +255 657 685 268 Kujua makadirio Ujenzi inakusudia kujua unahitaji nguvu kiasi...
1 Reactions
1 Replies
331 Views
PONGEZI KWA MHE. SEIF KHAMIS GULAMALI, MBUNGE WA JIMBO LA MANONGA KWA UTEKELEZAJI WA MRADI WA SHULE YA SEKONDARI YA TAMBALALE MILIONI 800 Pongezi kwa Mhe. Seif Khamis Gulamali, Mbunge wa Jimbo la...
0 Reactions
3 Replies
214 Views
Heri za Sikukuu wana jamvi. Mwaka ndio huo umekatika, presha imeanza kupanda na kushuka kwa kuukabili mwaka ujao. Kwa upande wangu ninapla kuukabili mwaka ujao mapema iwezekavyo kwa kazi ya...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Wazee natafuta fundi ujenzi anayeweza kufanya kazi inayoeleweka sio kuja kuharibu kazi maana pesa inatumika nipo serious wazee anayeweza kazi aje pm kazi ipo dar
0 Reactions
11 Replies
362 Views
Wana JF Habari za siku nyingi kidogo wakuu? Sasa mliopo Zanzibar nimewafikia kama una changamoto ya kimazingra katika Petro station ⛽ Yako unataka kituo kivutie wateja wako Kwa madhingira kuwa...
1 Reactions
16 Replies
613 Views
Habari Wana ujenzi, nilikua naomba ufafanuzi kati ya kununua Tofali za block kutoka kiwandani na kupeleka site na kununua Material na kupeleka site na kufyatua pale pale site. Mfano kama nina...
2 Reactions
85 Replies
19K Views
Bado tunatoa huduma ya ujenzi kwa teams ya #mkopo nirahisi na nafuu sana #irbag company reg no 140-016-446 inatoa huduma za ujenzi tu kwa teams ya #mkopo tunajenga unaishi unalipa taratibu mpaka...
3 Reactions
7 Replies
642 Views
Nyumba ya 5 bedrooms Master kubwa 1 Self 3 Single 1 Sitting room, dining & kitchen Study room Laundry Public toilet Store Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama...
6 Reactions
112 Replies
5K Views
Kemikali hizi zinadaiwa kuharibu vijana je hivi ni vitu gani?
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Habari, nauza mbao za mti wa Eucalyptus, kwa majina ya kiswahili unajulikana kama Mlingoti, Mkaratusi, Mti Mbao, Mbao nyekundu. Mbao zina ubora, size zimejaa na bei ni rafiki (ya shambani). Mbao...
2 Reactions
13 Replies
944 Views
Habari wana JamiiForums, Kuna jambo naomba ufahamu kidogo hapa. Ukipita barabara za lami utakuta kuna mchanga umefagiliwa na wasafisha barabara na umewekwa pembezoni mwa barabara (ila ni kwenye...
1 Reactions
25 Replies
668 Views
Habari za wakati huu wana JF Hivi kiwanja cha 290 sq meters kinaweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dinning, choo na bafu?
3 Reactions
36 Replies
821 Views
Watu wa mikoani, hivi ulishawahi kujiuliza kwanini ndugu yako wa Dar anapiga chenga kila ukitaka kumtembelea? Ukiachana na chakula na gharama za Maisha, watu wengi wanaishi makazi duni sana hapa...
18 Reactions
58 Replies
2K Views
Back
Top Bottom