Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa TAMISEMI (Elimu), Mhe. Zainab Katimba (Mb), Treasury Square, Jijini Dodoma, ambapo...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Wanajamvi napenda kujua bei ya Tiles Twyford au Goodwill kwa dar es salaam 40×40 25×40 Na skating tiles
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau naomba kwa yeyote anaejua brand nzuri ya vitasa vya mageti ya mlangoni ambavyo ni imara na havina changamoto. Ukiwa na picha na bei zake itapendeza zaidi. Viwe visivyo na mikono, yani kuna...
1 Reactions
4 Replies
298 Views
RAIS SAMIA AAGIZA BARABARA YA SONGEA - NJOMBE - MAKAMBAKO KUANZA KUJENGWA UPYA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Ujenzi kukamilisha...
0 Reactions
5 Replies
445 Views
Habar wakuu nahitaji kiwanja dar cha sqm800 kwa Dar maeneo yapi mazuri yamepangika vizur ambayo sio ushwahilini. Hiwe rahisi kwa mishe ya mjini buget yangu ni 15m
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu kwa Mil 3- 5 naweza pata kiwanja cha makazi kwa maeneo tajwa hapo juu ?
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi. Kwa kasi yanukuaji wa jiji la Dar.es salaam ni dhahiri kwamba Mila basada ya Mila kumi.panaibuka makazi mengine ya kishua ukiachana na Yale ya uswazi anbayo yanakera sana na...
1 Reactions
14 Replies
586 Views
Habari za wakati huu wana jf, Hivi Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga nyumba ya vyumba vitatu, dinning, sebule, kitchen na public toilet?
0 Reactions
13 Replies
288 Views
Wadau msaada Jengo la gorofa mbili la makazi kitako cha nguzo zake kinasukwa ukubwa gani?
0 Reactions
1 Replies
130 Views
Nyumba zilizozungushiwa nyaya za umeme za ulinzi au electric fence zinaonyesha ziko salama sana maana zinadili na njia kuu ya wizi au ujambazi kufanyika. Mara nyingi huduma hii inaambatana na...
12 Reactions
102 Replies
3K Views
4 Reactions
4 Replies
308 Views
Mwana JF Leo nipo hapa kukuoneaha (kukuambia) umuhimu wa kuweka Beam chin kabla kuzika Tank la mafuta. Ukiweka bim inakusaidia Kwa 90% kuwa na uhakika wa Tank lako kutokupanda juu au kuibuka...
5 Reactions
12 Replies
974 Views
Habari zenu Wana JF? Poleni na hongereni Kwa majukum ya kulijenga Taifa na uchumi wetu Kwa ujumla. Leo nipo hapa kuzungumzia jambo Moja tu. Jambo lenyewe ni kumekuwa na malalamiko ya wamiliki wa...
3 Reactions
1 Replies
283 Views
WAZIRI ULEGA ATOA MAELEKEZO UJENZI WA BARABARA YA MBANDE -MSONGOLA (3.8 KM), UKAMILIKE KWA WAKATI NA UBORA. Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, leo Jumamosi tarehe 28 Desemba 2024...
1 Reactions
5 Replies
353 Views
ULEGA AITAKA TEMESA KUJA NA TATHMINI CHANYA UJENZI VIVUKO VIPYA Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA), kufanya tathmini ili kujua athari chanya...
0 Reactions
4 Replies
205 Views
DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI ) LAFIKIA ASILIMIA 96.3, KUKAMILIKA FEBRUARI 2025. Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema Daraja la JP MAGUFULI (Kigongo-Busisi), linalounganisha mkoa wa...
1 Reactions
6 Replies
366 Views
Gharama za kujiunga umeme ukiwa mia 30-120 toka nguzo ilipo ni kiasi gani?
1 Reactions
12 Replies
18K Views
Wakuu je kokoto nyeupe kwaaajili ya beam na lenta nyumba ya vyumba viwili, sebule, jiko na choo zinafaa kwa unjezi maana ni bei nafuu kuliko nyeusi wataalam naomba msaada kama zinafaa nitumie tu...
0 Reactions
3 Replies
303 Views
Habari, naomba kuuliza kwasasa ni cement ipi nzuri kwa ujenzi wa nyumba?.
3 Reactions
38 Replies
10K Views
Habari ya muda huu wadau. Nipo stage ya kuweka tiles, sasa hizi hesabu zinanipa headache. 40×40 - box 65 25×40- box 45 Skirting - box 7 Tiles za tangastone- box 18 Naomba msaada wa kupata...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom