Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Mambo vipi wakuu! Kulingana na hali ya sasa naomba mchanganuo wa ujenzi wa nyumba hii.Chumba cha kulala kiwe kimoja na sitting room basi na ukubwa ni 6*8.Ukiondoa tofali zipo tayar karibuni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisadie garama ya bati Geji 30 kwa hapa Dar es Salaam na Kibaha.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau Kuna hii aina mpya ya upigaji chupingi inayong'ara ngara inakuwaje.?? Gharama zake zipoje kwa Square meter.?? Mahitaji (materials) zinazohitajika . mwenye sample itapendeza akiweka...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Salaam wanajukwaa, Ningependa msaada tafadhali kuhusu mada husika hapo juu. Nawasilisha.
0 Reactions
70 Replies
30K Views
Habar zenu wapendwa. Mimi kama kijana mwenzenu ningependa kama itawezekana nimiliki nyumba ata chumba na sebure hapa Dar es salam sehemu yeyote kiwanja siyo tabu. Kwa yeyote mwenye uzoefu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Wana jamvi, Kwanza niwashukuru JF kwa kuanzisha jukwaa muhimu kama hili, mimi jamani kila nikiangalia post za humu naona zinazungumzwa nyumba ninazo ziona mijini na mara chache huku...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Msaada kwenu ndugu maana saizi sielewi pia uwezo kujenga bila kibali upo lakini shida sitaki kuvunja utaratibu. MSAADA KWENU
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Wadau heshima yenu. Kwa ufupi mwakani nataka nianze ujenzi ila bado napata ukakasi kuhusu haya yafuatayo. 1. Nitumie tofali za kuchoma (hapa nimepanga kujengea tope joint zikiwa ndogo saanaaa kwa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu ndungu zangu, Ninauwezo wa kuweka akiba ya Laki 4 kila mwezi. Nina kiwanja changu cha m 27 kwa 20 pale Mbezi ya Kimara. Maswali yangu ni yafuatayo : 1) Je, naweza kujenga nyumba ya...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Wakuu naomba mnijuze kuhusu hizi kodi za ardhi zinalipiwa wapi kwa sasa maana nikiingia kwenye website ya WIZARA Wana mfumo wa kulipia na huko HALMASHAURI wana utaratibu wao?
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu, Hili ni bandiko la manung'uniko kuhusu Mkurabita upimaji viwanja na mchakato wa kupata hati. Wananchi wengi waliojengwa au kuuziwa viwanja kwenye maeneo ambayo yalikuwa bado kupimwa na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mteja anaitaji elimu kwanza ya bidhaa au uduma kabla haja ihitaji. Hapa ni maalumu kwa mafundi wote kutoa elimu,ushauri na mbinu za maswala mbalimbali ya ujenzi wa nyumba kuanzia msingi mpaka...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Kujenga nyumba yako mpya kunahitaji umakini mkubwa sana na wakati mwingine unahitaji kushiriki mwenyewe moja kwa moja katika nyanja zote za mchakato wa kujenga nyumba ili uhakikishe kuwa na mwisho...
6 Reactions
13 Replies
12K Views
Naomba Makadirio ya ujenzi wa ghorofa 2 ya kuishi
4 Reactions
24 Replies
13K Views
Hamjambo wakuu, Moja kwa moja kwenye mada, Wakati nikisubiri zile milioni 3 zangu zijae ili nijenge, nimepata wazo jingine la ujenzi rahisi kabisa. Ujenzi huu unahusisha mawe na mesh (nyavu)...
5 Reactions
51 Replies
19K Views
Habari ya Jumapili wapendwa Naomba ushauri kama kuna wajuzi wa kurekebisha paa la nyumba iliyopauliwa vibaya na kupelekea baadhi ya maeneo kuvuja. Nawakilisha🙏
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Naombeni msaada wa ujenzi, eti unaweza kupiga plasta kwenye ukuta kwa kutumia white cement na ikawa umepiga ndege wawili kwa wakati mmoja yaani gharama za plasta ya kawaida na ya ku-skim baadae?
0 Reactions
24 Replies
11K Views
Habari wanabodi! Moja kwa moja kwenye mada hapo juu. Nadhani tatizo hili mtakuwa pia mmeliona kwa baadhi yenu! Nyumba ilipigwa plaster ya gypsum ambapo kama ilivyozoeleka na mafundi wengi gypsum...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Leo nawapa mbinu za kupunguza garama ya Gypsum bord.. UZI,[emoji116] •Piga hesabu unaitaji Bord ngapi. Mfano unaitaji 50pc. Nunua 20 kwanza mwambie fundi gypsum ziwekwe sehemu zinazoingia nzima...
17 Reactions
14 Replies
5K Views
Back
Top Bottom