Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

NIMESHAPATA KIWANJA NINGEPAENDA KUJUA HAPA ITANITOKA SHILINGI NGAPI KUJENGA NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA KAMA HIYO
8 Reactions
64 Replies
23K Views
Wakubwa, habari zenu! Ninaomba kuuliza. Mimi nina mradi wa ujenzi wa nyumba. Nimekuwa nikijichangisha kidogo kidogo na pole pole ujenzi unaenda na utakamilika. Mpaka sasa, nimeshainua boma...
0 Reactions
20 Replies
27K Views
Habari wadau?!! Niko kwenye hatua ya kupaua kakibanda kangu,changamoto niliyopata mara ya mwisho (2016) no kuuziwa mabati ya mgongo mpana a.k.a msauzi yaliyokuja kupauka ndaniya miezi6 tu kutoka...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Habarini wadau, Natafuta tiles za aina hii ziwe na rough surface kwa juu hata ikipata maji isiwe ya kuteleza kirahisi Nahiraji urgently sana nimezunguka maduka mengi ya kariakoo bila mafanikio...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu! Ninakiwanja mkoa wa pwani maeneo karibu na halimashauri, ukubwa wa kiwanja no sq 600, sasa usawa wa magu ni mgumu,ila kujenga kunahitajika......nimeenda kuuliza wadau maeneo...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari JF Natafuta fundi wa kufunga makabati ya jikoni. Yale special ya kupachika tu. Kama unaweza hii kazi tuwasiliane PM.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Mkoa wa Morogoro hasa maeneo ya manispaa, ujenzi umekuwa unagubikwa na fault ya nyumba kuathirika na chumvi inayosabishwa na aina ya madini yalio kwenye ardhi (soil properties resulted...
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Naomba ushauri. Nimechimba shimo na kukutana na maji kwa kina cha futi tisa. Nifanye nini wapendwa? Yaani nimekwama.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Kuna aina mpya ya choo ambacho kimekuja, ambacho hakiitaji uchimbaji wa shimo au maji ya kuflash Pia wataalamu wanadai ni kiboko ya harufu, yaani hauwezi kuhisi harufu ya gogo, Mwenye ujuvi zaidi...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Harufu inatoka kwenye yale mashimo ya nje (septik) inarudi ndani ya nyumba (chooni). Inakera sana, choo kinatoa harufu mbaya hata kama hakijatumika kabisa. Hali hii inasababishwa na nini na je...
3 Reactions
19 Replies
15K Views
Mbunge wa Bukoba Wilfred Lwakatare kwenye mkutano wa Magufuli na Bukoba aliomba Bukoba wapunguziwe vifaa vya ujenzi kama bati na simenti kwa kuwa serikali haiwezi kumjengea kila mwananchi nyumba...
5 Reactions
170 Replies
20K Views
Habari wakuu,nauliza kwa wazoefu je ni gharama kiasi gani kujenga nyumba kubwa ya familia(vyumba 4 vya kulala). Hapo ni zile gharama za kujibana kwelikweli,na tofali ni za block(kubwa). Vilevile...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Ndugu zangu; Kwa desturi yetu sisi watanzania,kumiliki mjengo ni moja kati aya ndoto za watu wengi na pia ni kama kipimo cha kiwango cha ukwasi(Networth).Katika kutafuta maisha wengi wetu...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari za wakati huu wadau, natumaini mpo salama. Naomba kufahamu kwa ukubwa wa kiwanja che nye sqm 473 ninaweza kuje nga nyumba yenye vyumba vingapi na nafasi ikabakia ya kutosha. Ninataraji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Refer heading above, Kuna Hawa jamaa wanaji ita makazi investment Wana project za kuuza plot Kigamboni Kiluvya Chanika Kuna yeyote mwenye abc Kuhusu Hawa jamaa Wapo ki halali mfano mtu akilipa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za wasaa huu ndugu na marafiki. Bado naendelea na mradi kuchora Romai ya nyumba bomba ya kuishi. Ila bado sijamaliza. Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost kila...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Hivi naweza badilisha chuping ambayo ipo kwa nyumba? yaani naifuta kwa skimming? ili nipige rangi kawaida.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba nipatiwe mwongozo jinsi ya upatikanaji wa hati ya shamba na gharama zake mpaka mtu unapata hati kwa kiwanja cha heka moja.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam waungwana! Nina ndugu anataka afanye biashara hii na yeye ni mgeni kwenye hii kazi. Sehemu anapo taka fungua biashara siyo mjini kiasi hicho japo makazi ya watu yapo ni huku mkoa wa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini ndugu, naomba kujua nyuma ya vyumba vitatu, kimoja master jiko store, dinning na public tolet kwa milion 10 naweza kusimamisha boma??? Eneo ni Dar es salaam Mpiji Magohe
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Back
Top Bottom