Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Ukiunguza maharage inabidi uhame nyumba.
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar kwenu wadau. Naomba mwenye kujua wanapotoa mafunzo ya jipsyum/ sum mfano zile fito na urembo mwingine utokanao. Nimejaribu kutafuta VETA na SIDO kote hamna. Mwenye kujua tafadhali. Shukran
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Mimi nipo huku mkoani kwa sasa, nahitaji kuvuta umeme kwenye nyumba ya mzee huko Mwanza (Ilemela) lakini nimepata mkanganyiko kidogo. Kwa taarifa alizonipa ni kuwa, kuvuta umeme ni laki tatu na...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wakuu naombeni Sana mnisaidie kiwanja tayari ninacho Sasa nimepiga hesabu ya kujenga nyumba sio chini ya million tano Na Mimi Nina million mbili hapa nataka ninunue container nili modify liwe...
6 Reactions
38 Replies
7K Views
Najaribu kujiuliza maeneo ambayo watu wamemaliza kujenga viwanja vyao lakini pia wamejenga fences au uzio je wakifagia ,wakati mwingine wamekula matunda wanahitaji kutupa wanambinu gani mbadala wa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Je nitumie mbinu gani kupunguza Gharama ya kutengeneza kalavati Kivuko cha kuingia nyumbani Kuna mtaro huwa unapitisha mafuriko
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawasalimu wanajamvi. Nimejenga nyumba yangu mitaa ya Goba Dar es salaam, yenye ukubwa wa sqm 340, Pesa zenyewe nimeungaunga kweli ujenzi ulianza tangu 2015 mpaka sasa ndio nataka kupaua...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari wadau wa JamiiForums, Leo naomba Msaada wenu juu ya Elimu ya kiwanja ambacho hakijapimwa. Je, inawezekana kiwanja hicho kikazuiliwa na serikali kisitumike? Na vip imeshawahi kutokea...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wakuu! Kama mada inavyosomeka hapo juu,wamiliki wa nyumba za biashara pamoja na watu walioko kwenye fani mbalimbali za ufundi wakiongozwa na mafundi ujenzi ni makundi yanayopata vipato vya...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari ya asbuhi wana jukwaa na wadau wote. Naomba tuelimishane kuhusu tofali za ujenzi za cement manake hua naona kuna tofali za urefu, upana na unene tofauti tunapokua tunajenga nyumba zetu...
3 Reactions
9 Replies
8K Views
Habarini za muda, kwa wajuzi wa kujenga ni kipindi au muda mwezi gani hali ya hewa ni nzuri kufanya ujenzi (January, February, March, April, may, June, July, August, September, October, November...
1 Reactions
54 Replies
8K Views
kuna mtu amenidokeza kwamba dirisha ya aluminum standard size ni 80,000Tsh na si vinginevyo. Je, kuna ukweli wowote.
0 Reactions
10 Replies
17K Views
Wakuu nimemwita fundi wa kuweka sink kwenye vyoo viwili lakini amechafua kwa kuweka cement na hivyo sink zote zimepoteza ule weupe wake sasa mwenye uelewa wa kuondoa huu uchafu kwenye haya masink...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Wanajamvi nawasalimu kwa moyo wa upendo kabisa. Life limenipiga vibaya hapa mjini Tanga na isitoshe bado ni mgeni mgeni Sasa naona kabisa kazi ambayo haina mlolongo mwingi ni kupiga kazi za...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za muda Wakuu, Kuna nyumba nimetokea kuzipenda, nimeona Kama gharama ni ndogo. Ni nyumba ambazo zimejengwa bati kwa juu hazionekani. Kuna maswali najiuliza naomba majibu: Je, kweli hizo...
7 Reactions
88 Replies
23K Views
Kuna kiwanja kimeshajengwa nyumba kipo nusu bondeni nusu mlimani. Ardhi yake haiko sawa anatafutwa fundi mtaalamu wa kulevel ardhi ili paonekane pamependeza na mvua isiharibu baadhi ya kingo za...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimetia nia kujenga nyumba ya kufunika kwa zege. Lakini kwanza kuna mambo nataka kufamu kutoka kwenu: Je, kufunika kwa zege na kupaua kwa bati lisiloonekana, gharama zake zikoje kwa kulinganisha...
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari naomba kujua cemrnts namba 42.5 R camel inaweza toa tofari mingapi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajanzi habari za asubuhi. Ni matumain yangu kuwa wote mko salama kwa wale wagonjwa nawapa pole sana na mwenyezi Mungu atawaponya,sambamba na kauli tata za waziri jafo tuwe wavumilivu. Naomba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau wa ujenzi na makazi! Kichwa cha habari kinajieleza kwa ufasaha, kama una utaalam wa kutengeneza garden, nicheki, tufanye biashara ya makubaliano. Pana sehem yenye makazi ndio watu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom