Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari za weekend wakuu. Mwaka jana mwishoni nilikuja na Uzi wa kuomba ushauri ni jinsi gani naweza pata kiwanja. Watu wengi walinipa ushauri mzuri. Nikaona itakua vizuri nikileta mrejesho...
17 Reactions
23 Replies
4K Views
Naomba kujua jina lake na linauzwaje
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu Habari za muda huu? Bila kupoteza muda, niende moja kwa moja. Nilitaka kuweka glue wallpaper hizi kwenye kuta za nyumba yangu sebuleni na chumbani, lakini nikakutana na ushauri wa hii kitu...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu habari ya asubuhi. Moja kwa moja kwenye mada. Nataka kuweka madirisha ya PVC white daraja la juu kabisa.... But kuna baadhi watu waliowahi kuweka hayo madirisha wananiambia hayafai kwenye...
1 Reactions
36 Replies
11K Views
Wakuu naomba kwa mweye uelewa wa namna ya kufanya calculations ili kujua idadi ya paving blocks inayoweza kutumika kulingana na mita za mraba za eneo (area per square meter).
1 Reactions
16 Replies
17K Views
Habari wakuu, naomba process ya kufanya mpaka unapimiwa eneo lako la biashara kufungua kituo cha mafuta, na aina ya makampuni yanayopima maeneo tafadhali.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Niliwahi kumtembelea rafiki yangu, alipewa sehemu ya kujenga nyumba na wazazi wake, eneo halikua kubwa sana lakini ni katikati ya mji. Alijenga ghorofa na juu aliweka vyumba viwili vya kulala...
8 Reactions
6 Replies
3K Views
Nahitaji kufahamu bei na urefu wa senyenge hizi kwa mzingo mmoja: i) Barbed wire ii) Galvanized razor wire
1 Reactions
5 Replies
3K Views
naomba kuuliza kuhusu junsi ya kupata au kukata kibal cha kusafirisha au kupitisha excavator
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JOB TITLE: Telesales Agent Location: Arusha, Tanzania Job Purpose/Mission The Commercial Department plans and executes sales of the EEA products, focusing on achieving national sales targets...
0 Reactions
0 Replies
537 Views
Habarini za asubuhi wa JF, Poleni na Msiba wa Taifa kwa kumpoteza aliyekuwa Rais wetu wa awamu ya Tano Hayatti Dr John Magufuli. Naomba Kufahamishwa jinsi ya kuandika anuani ya makazi kwa...
1 Reactions
4 Replies
8K Views
Habarini wadau, Kama mada ilivyojieleza. Naomba kujua kwa nyumba yenye sebule, dining, jiko, vyumba viwili na master. Kwa makadirio inaweza ikacost shilingi ngapi kuiweka Gypsum. Na ni Gypsam...
0 Reactions
19 Replies
21K Views
SIMPLE TWO BEDROOMS RESIDENTIAL HOUSE DESIGN One master bedroom One plain bedroom Commbined Sitting room and Diming room Open Kitchen veranda( front&kitchen) Plot coverage 15m× 15m=2250sqm For...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Wandugu JF, Aisee kuna plot yangu nilinunua Salasala kilima Hewa miaka 7 iliyopita, kulikuwa kuzuri ila sasa naona baada ya ujenzi wa watu mbali mbali na kulingana na nature ya Hapa ni slope...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za leo wakubwa, Nimeamua kujifunza kupitia jukwaa hili nikiamini katika, jukwaa hili kuna walimu wa hivi vitu na wataalam mbalimbali. Kiukweli nimeamua kujifunza kudizaini nyumba mimi...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau, nimeambiwa eti kuna aina ya kokoto maalum zinazonyonya maji kupeleka ardhini. Je, nani anazijua na zinapatikana wapi? Maana kuna maji ya pavement tumeyatengenezea mfereji lakini mvua...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, Naomba kuuwauliza ndugu zangu, ninategemea kuezeka kakibanda kangu sina pesa ya kutosha kuweza kununua mbao treated hivyo nataka niezekee milunda, naombeni ushauri inafaa kwa ustahimilivu...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Wasalaam, Naomba tu kutoa wito kwa wale wenzangu na mimi tunaojidunduliza ili kujenga nyumba za kuishi na familia zetu kuwa MAKINI sana na WATU tunaowaweka wawe walinzi wa nyumba zetu. Kuna tukio...
38 Reactions
118 Replies
18K Views
Naomba uzoefu wenu juu ya vitu hivyo viwili, katika kuskimu ukuta nini kitumike kati ya hivyo viwili ili kuleta uimara katika kupaka rangi.
0 Reactions
26 Replies
12K Views
Back
Top Bottom