Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari wanajamii forums, Nilikuwa naulizia bei ya kiwanja 20x20 kwa maeneo ya Arusha hasa moshono,maana mdau kaniambia sio chini ya milioni 10,kwa wadau WAZOEFU kiwanja ukubwa huo naweza kukipata...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Nimefikia stage ya kuchimba choo lakini maji yako karibu ft 4. Na ni maji mengi , je nisimamishe ujenzi wa choo mpaka kiangazi au kuna njia mbadala? Mbona sasa nakwama kuhamia kwangu jamani...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Mchanganyiko wa udongo na mchanga hutoa matofali bora sana. Matofali haya huboreshwa kwa kukiwa. Ili kupata matokeo bora matofali haya huwa ni madogo ili kurahisisha uokaji. Abstract...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Salam wakubwa, Mimi ni kijana nimesomea veta ujenzi wa majumba najua kusoma ramani na kuchora pia (hii ya kuchora sio rasmi hua nawafanyia watu wanachokimudu) nishajenga vinyumba vikubwa vikubwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wajumbe. Kuna huu urembo was kisasa ambapo wanachora nguzo na madirisha kwa kutumia cement Kisha ili ikauke haraka wanamwagia VUMBI la cement. Hili VUMBI kama Kuna upepo hupaa na kuganda...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa mahitaji ya ramani kwa gharama nafuu pia ukihitaji schedule of materials ambayo itakusaidia kwenye kufahamu idadi ya materials ya ujenzi wako, contact 0679851483/0754984819. Hii design in two...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo nimekuja na design ya jikoni (kitchen design season I) kama unavyoweza kujionea kwenye hizi picha hapa chini. Nitaendelea na season II, III, IV na kuendelea.
7 Reactions
22 Replies
8K Views
Ndugu Amani na iwe kenu. Kwa wazoefu wa kuuza/ kununua, waashi na wahandisi wa majengo, naomba kujuzwa bei elekekezi kwa vifaa tajwa hapo chini 1. Mfuko wa Cement 2. Nondo (12Mm) 3. Nondo (16 Mm)...
2 Reactions
10 Replies
14K Views
Hello everyone, I'm still continuing with my project of house design. And today I've come with the project which I'm making this week as you can see on the photos below. These photos show the...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari wakuu . Nataka kuanza ujenzi ule wa mdogomdogo atleast by the end of the year niwe nimepaua na kuweka grill kwenye madirisha na milango ya nje. Ramani ina ukubwa wa m 15 x m 14 na ni...
1 Reactions
62 Replies
10K Views
Habari wadau, Binafsi nimeamua mwaka huu nami nimiliki eneo maana naona umri unazidi kuyoyoma sitaki kuja kuwa historia huko mbeleni. Mada ya huu uzi ni hivi nimeenda kuangalia kiwanja tuanze na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Ushauri, maoni yote yanakaribishwa kwa yeyote mwenye mawazo chanya katika kuondoa au kumaliza tatizo la chumvi majumbani kwetu. 1. Mimi ni mkazi wa Dodoma(Ilazo) na kwa bahati mbaya sana nyumba...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Leo nawaletea karamani kapya. Ni ingizo jipya kabisa.
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Habari za leo wakuu, Nimerudi tena, kuomba ushauri kutoka kwa watundu wa designing. Watundu wa design niongeze vitu gani kwenye hii design.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimefikia hapo, Nataka nijichange tena bado wiring, shimo la choo, kuweka mifumo ya maji , na vingine ambayo bado vinaonekana hapo.. naomba kujua kipi kinaanza Kati ya hivyo na nimalizie na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari, Me kijana wa miaka 21 naomba kuuliza nikiwa na Million 25 naweza kujenga nyumba au kijumba cha ukubwa gani? Msaada please Ahsanteni.
2 Reactions
23 Replies
7K Views
Salam kwenu wakuu. UPDATES; Shukrani kwa wote mliochangia na hata waliosoma tu,JF iliwezesha kufahamiana miongoni mwetu na jambo langu limepata ufumbuzi!! Mbarikiwe!! Picha ambatanishi ni boma...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada, Lengo nataka kufungua kampuni ya kusupply vifaa vya ujenzi na baadae mtaji ukiongezeka niongeze kufanya building and construction. Naomba msaada maana nataka kufanya usajili...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
1.Mchanga Tipa 2.Cement 3.kokoto Tipa 4.Tofali inch 5 n 6 5.Mawe 6.Nondo mil 12
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu hamuwezi amini nimejikakamua kujenga nyumba hii kwa bei tajwa hapo juu, kumbe kila kitu ni maamuzi tu.
30 Reactions
169 Replies
32K Views
Back
Top Bottom