Husika na mada tajwa.wataaram naomba raman ya bati simple isiwe na magabions gabions mwisho ndio yanavuja vuja naijua mgongo wa tembo ila kama kuna aina nyingine naomba.
Sent using Jamii Forums...
Ijumaa Kareem! Niwasalimu katika mchakato wa katiba mpya! Katiba ya wananchi sio ya chama chakavu..!!!
Mwenyezi Mungu ametufanyia wepesi! InshaAllah..![emoji1545]hatuna cha kumlipa..! Kuna...
Hii tabia inakera sana wakuu, mnatumia njia zipi kuzuia hawa wakurungwa wanaojisaidia kwenye majengo yenu ambayo hayajakamilika?
Iliniuzunisha sana wakuu, nimeingia kwenye pagale langu nakuta...
Habar wakuu,
Tafadhar naomba kufahamishwa kuwa ni maeneo gan mazur kwa Ujenz kwa mtu mwenye kipato cha kati na aina ya tofar zinazotumika katika ujenz na wakaz wa mji huo.
Maeneo mazur kwa...
Nilipata kuongea na mafundi juu ya paa la contemporary, waliniambia ili kupata paa imara ni lazima msingi uwe imara. Unaweka zege juu na unamalizia na lami kama ukipenda. Kuna wanaojenga...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,
wapimaji wa viwanja walipita mahali fulani wakafanya upimaji kwa kuelekezwa na mtu mwingine kuhusu mipaka ya uwanja ilivyokaa,
lakini walielekezwa kimakosa...
Habari Wana jamii forum,
Nimeikuta sehem hii ramani nikaipenda nikaona si vibaya kushare mawazo nanyi kuhusu vitu vifuatavyo;
1. Idadi ya tofali kuanzia msingi mpaka boma
2. Idadi ya trip za...
Jaman nimechora kitu apo lakini sa kijua cost yake n chenga me sio mtaalam sana wa hiv vitu naomba msaada jamn kw raman hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilinyo elezwa apo juu vinatafutwa viti vya asili ka. A hii picha inavyoonekana. Location viwe kanda ya ziwa bei iwekwe hapa mimi ni mgeni wa huu mtandao, staweza kuja inbox 👸😌🙏🙏
Habari za asubuhi wakuu... nimepata mtu anauza kiwanja, viwege, Dar kuepusha majuto na kupoteza hela, naombeni uzoefu wenu kabla ya kujitosa...naomba kujua
Barabara za mtaa huwa zinatakiwa kuwa na...
Wakuu Habari za muda huu?
Miaka kadhaa kidogo kuna mdau alitoa ushuhuda wa namna ambavyo minazi hutumika kupunguza gharama za mbao kwa ajili ya ujenzi. Kwa maana ya kwamba, kuna maeneo sikumbuki...
Mtu anakuja kwako umejenga L na choo anakulazimisha nyumba 3 akiziandika wewe unalipa Kodi ya nyumba tatu huu sio Utanzania hata ya miti mmmm!
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Ninaomba mnieleweshe kuhusu ujenzi wa mashimo ya maji taka (Septic tanks) hapo Jijini Mbeya huwa mnayajengea ndani kwa kutumia nini Kati ya vifuatavyo:
1) Mawe
2) Tofali za kuchoma
3) Tofali za...
Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilivyooneshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.