Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Poleni na majukumu wakuu. Nimejenga nyumba yangu iko ktk hatua ya kupaua ila nimeona katika madirisha matatu kumetokea (nyufa nyembamba sana) unakua ni ufa mmoja tu unata juu mwenda chini...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Ni kifaa cha elektroniki cha usalama ambacho kinafungwa kwenye majengo mbalimbali ili kugundua harakati zisizoruhusiwa katika Maeneo haswa baada ya muda wa kazi. Kifaa hiki kinatumika katika...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Bila ubishi wakuu mwonekano wa hii dizaini ya hiki kiramani cha nyumba ni zaidi ya hatari. So pretty, so beautiful, so gorgeous, so cute. Angalia mwenyewe, mkuu.
4 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari. Kuna kibanda cha square metre 371 kimefikia hatua ya kupaua na kuweka bati , je makadirio ya gharama inaweza kuwa shs ngapi? Natangiliza shukrani.
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Wanajukwaa nawasalimu. Natamani kuishi kwenye nyumba ya National Housing hapa DSM. Sijawahi kuishi kwenye hizi nyumba zaidi ya kuona waarabu na wahindi wakiwa ndio wakazi wakubwa. Naomba kujua...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa anayejua Fundi wa kuziba Simtank. Ni tank kubwa la lita 10,000 na limepasuka upande wa chini ubavuni. Kutokea chini kabisa kuja juu kama sm 45 hivi. Najua sehemu ya chini huwa kuna mgandamizo...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kuna kipindi nilikua nataka kujenga nyumba nikawa najaribu kuulizia gharama hapa na pale on how i can make it mpaka finishing nyumba simple ya room 3 Most of my friends ambao walikua wamesha...
34 Reactions
42 Replies
9K Views
Habari za majukumu. Ninaishi sehemu kuna mbu wengi Sana, na malaria ni hatari. Ninatamani kufanyia farmigation nyumba nzima Kwa lengo la kuuwa mbu, mende, mijusi na wadudu wengineo. Naomba...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari za leo wakuu, Kaka mijengo bado naendelea na hobby yangu ya kubuni mijengo mbalimbali kadri akili inavyo nituma. Haka kamjengo kana vyumba viwili tu, na choo ndani kwa ndani. Bado...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Leo nimekuja na mjengo wa vyumba vinne ukiwa kwenye hatua za mwisho mwisho. Unaweza kujionea mwenyewe
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Salaam wanajukwaa. Nahitaji ushauri na uzoefu juu ya jambo hili. Nahitaji kujenga choo kidogo cha kisasa pasipo kutumia tofali kwenye kuta. Chemba ipo tayari na sink zipo tayari, kinachoniwazisha...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Hello everyone, I'm still continuing with my project of house design. And today I've come with the second project which I've made this week as you can see on the photos below. This house has...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Mafundi wa nyumba nadhani mpo poa ndugu zangu. Nina swali muhimu kwenu nalo hili: Kama kujenga msingi wangu natumia tofari za block 1145, je nikitumia mawe nitatumia mawe kiasi gani?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu. Naomba kufahamishwa kama nataka kufanya ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja master kingine cha kawaida, Bafu na choo la public, Jiko, Sebule na dining. Je, niandae shilingi...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Rejea swali hilo wakuu. Mbao ngumu bei mkasi sana, japo wadudu wakipekenya ni hasara zaidi. Mimi huwa nikiona milango imepakwa rangi naamini tu ni mbao za kawaida. Ila unakuta ziko poa na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu salaam kwenu. Naomba kujuzwa gharama na ubora kati ya paving blocks au kokoto kwenye eneo la biashara lenye mita za mraba 40. Kama ni kokoto ni za aina gani na kama ni paving block ni zipi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kama kawaida sekta za ujenzi haisimami. Kazi ni kila siku yaani 24/7. Kwa site engineers hasa barabarani tupeane mbinu za kuminimize cost za ku-run site activities. Pia na jinsi ambavyo tunaweza...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini wapendwa? Mimi ni operator wa excavator pia ni fundi nimefanya kazi kama msaidizi wa operator kwa miaka 3. Nipo tayari kufanyiwa majaribio hadi ndio niajiliwe au nikabiziwe kazi . Labda...
2 Reactions
4 Replies
823 Views
Habari za muda huu wadau Ninaomba kufahamu zaidi kuhusu gharama za kukodisha ghala la kuhifadhi materials ya ujenzi ( Construction materials warehouse house) lenye square meter 400 lili chin ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau! Mwezi huu nilikuwa na plan ya kuendeleza ujenzi lakini nimekwama maana dukani ninaponunua cement mangi kasafiri ghafla😂😂😂😂 Naomba nipewe update cement inavyouzwa huko mitaa yenu...
3 Reactions
43 Replies
6K Views
Back
Top Bottom