Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Wananchi wote wa Dar Es Salaam na Vitongoji vya jirani, Wanaalikwa kwenye tamasha la ujenzi litakalofanyika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe tarehe 31 Mwezi huu wa Tatu 2018. N keshokutwa siku...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habar wadah uzi huu ni kwa wajuzi na mafundi wa ujenzi wa nyumba, Mimi nmefanikiwa kujenga kabanda kangu ka vyumba SITA natamani kabanda kangu haka nikaezeke kwa VIGAE naomba kujua kwa vyumba...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Mabati ya simba dumu yasiyo na rangi ya gauge 28 kwa bei nzuri yanahitajika.
0 Reactions
4 Replies
579 Views
Salam. Kwa wale wanao ishi Kyela kwa sasa, naomba kujua mahesabu madogo kuhusu ujenzi wa nyumba wilayani hapo kwa mtu mwenye kiwanja tayari. 1. Nyumba ya vyumba 5 yenye vyoo ndani kwa ndani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunakukaribisha Kwa Dhati Kuja Kwetu Tukufanyie Ubunifu Wa Nyumba Yako Kuanzia Ramani, Ubunifu Wa Muonekano Wa Nje Hadi Ndani Unaweza Kujiuliza Kwanini Uamue Sisi Tukufanyie Ubunifu? Jibu ni...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Nataka kujenga nyumba ya uani/nyuma je nahitaji kuwa na kibali cha ujenzi?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wanajamvi habari zenu wakubwa. Naomba msaada wa raman ya nyumba yaan mchoro ambao utakuwa umeonesha master,sitting,deaning,vyumba 2 vya kulala iwe na public moja. Naomba kuwasilisha msaada Najua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Taasisi nyingi za fedha zikiwepe benki hazitoi "grace period" hasa kwa wakopaji wadogo kwa shughuli za ujenzi wa nyumba za biashara mfano kupangisha kwa ajili ya malazi. Kiwanja ninacho...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, nina malengo ya kumiliki Ardhi nchini Rwanda, je ninatakiwa kufata taratibu zipi? Mimi sio Raia wa Rwanda
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar zenu wadau wa GT. Nina milion 3 nipo Morogoro nampango wakujenga nyumba nzuri ya kisasa ila kwa taratibu. Nyumba hiyo naomba Raman nzuri kwa mwenye nayo. Idea niliyonayo ni kujenga Msingi wa...
0 Reactions
43 Replies
36K Views
Serikali itusaidie sisi wananchi wa kipato cha chini tunapoelekea tunashindwa hata kujenga, bei za vifaa vya ujenzi inapaa kila uchao, yaani leo hii bei ya mfuko wa cement ni elfu 17 hapa kibaha...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Cement kwa sasa haikamatiki na inaendelea kuapanda bei tuko busy kuangalia kuungwa mkono za juhudi za wanaohama vyama ila hata vyombo vya habari "front fade" zimejaa umbea ila maisha ya watu wako...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Napenda wataalamu watupe ushauri ili kuondoa woga wa watu kuhusu ujenzi wa nyumba ya ghorofa Moja,gharama kubwa ziko hatua gani,mahitaji muhimu ni nini,na kuna vibali aina gani vinatakiwa, Na...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Mimi nina mpango wa kuanzisha ujenzi wa nyumba yenye walau gorofa tatu ya kuishi naomba msaada wa taratibu za kufuata kabla ya kuanza ujenzi
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari, naomba kujua taratibu za ujenzi wa nyumba mjini kwa sasa upoje ? Ikiwa ni pamoja na kujua taratibu za vibali vya ujenzi. Msaada wadau!!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wenzangu...kwa wale wazoefu na wanaojuwa naomba kujuzwa juu ya mtaji kias gani cha chini mtu aweze kufungua super market au hard ware..inahitajika shiling ngap? .je mtaji...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa ufupi Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi pamoja na wananchi waliohojiwa umeonyesha kupanda kwa bei ya saruji na vifaa vingine vya ujenzi kama mabati na nondo, hali inayoongeza gharama za...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimesikitishwa sana na Bei vifaa vya Ujenzi Kupanda maradufu Cement iliyokuwa Elfu 16,000 mwezi Jana Sasa ni 18,000/= Nondo iliyokuwa 13,000/= sasa ni 17,000/= Bati iliyokuwa 16,000/=sasa ni...
1 Reactions
40 Replies
11K Views
Kupitia mtandao wa twitter kuna madai ya kupanda kwa vifaa vya ujenzi: Cement,nondo,bati, n.k. Madai haya yanatokana na swali alilouliza Zitto juu ya bei hizo kupanda ambapo baadhi ya watu...
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Bei ya cement tulinunua kwa Tsh 10000/=@bags hadi dec mwaka 2017, nashitushwa sahivi imefikia 13500/= hadi 14000/= KURIKONI? Bei ya nondo size 12mm tulinunua Kwa 13000/Pc 40ft sahivi imefikia...
9 Reactions
69 Replies
8K Views
Back
Top Bottom