Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari Wana JamiiForums,. Nimewaza juu ya kuwa na thread maalum kuhusiana na vifaa ama material bora vya ujenzi, mahali pa kuvipata, tahadhari n.k Pia tuweze kushirikishana changamoto mbalimbali...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
There is no doubt, we all love good buildings, which is why we sometimes can't help but take a look and even take snap shots whenever we are around a nice building design. As we know, technology...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari za Jumapili? Samahani naomba mawazo ama ushauri ni wapi kwa Tanzania naweza kupata mtalaamu anayeweza kunijengea nyumba ya kawaida ndogo (vyumba 4) kwa kutumia materials kama...
2 Reactions
25 Replies
11K Views
Nasikia kuna matofali mazito mara kuna matofali ya kawaida! Je tofauti zao huwa ipi? Je yanatengenezwa kwa kutumia nini? Je matofali mazito yana ratio gani? Na mepesi je? Je yanatakiwa yawe na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43. Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya...
14 Reactions
300 Replies
32K Views
Habari Wana JF. Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari wana Jf, Nilikuwa nataka nianze ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu jiko sebule na dinning sasa. Swali langu ni kwa nikipi kina bei nafuu kununua matofari ya kuchoma au kufyatua matofari...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nina mpango wa kujenga real estates za kupangisha. Je, kwa nyumba ambayo ni: Single room gharama za ujenzi zaweza kua ngapi? Single room kukiwa na choo ndani(self contained), gharama za ujenzi...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Naomba mwenye uzoefu na mambo ya ujenzi, anisaidie gharama za kujenga msingi tu wa jengo la ghorofa tano plot size ni 20 * 20m.
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Tunatibu na kumaliza kabisa tatizo la fungus kwenye kuta za nyumba na tunakupa garantee hutasikia tena tatizo hilo karibu sana kwa wakazi wa Arusha na Moshi. Tunapatikana Arusha kwa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wadau! Naomba kuuliza bei ya jumla ya vitu vifuatavyo kwa mahitaji ya kufungua duka la vifaa ujenzi. 1. Mabati 2. Nondo 3. Mirunda 4. Binding wire 5. Misumari 6. Mbao na vitu vingine...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Wana JF, Duniani hakuna fundi ujenzi ambao sio waongo, tumekuwa na ugomvi kubwa mpaka kimataifa tukishitakiana na makampuni mbalimbali hadi haya kushindwa kesi au kushinda kesi. Kitaifa mpaka...
10 Reactions
28 Replies
7K Views
Mwenye kujua maduka ya Vifaa Vya Ujenzi ambayo bei zake ni rafiki Sana Kariakoo anipe direction
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Kujenga nyumba ya aina hii sasa kunachukua muda gani ? Na fedha gani. Mkoa wa Tanga.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hii biashara inahisiwa kuwa ni moja kati ya biashara imara na yenye faida kubwa huku ikihitaji mtaji mkubwa ili kuianzisha, Sasa kwa wadau mliopo kwenye hii bishara tushirikishane namna inavyo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu! Nipo DAR Kuna kamkopo Natarajia Kupewa Mwez Wa Pili Mwakani. Wazoefu naomba mnishauri Kama pesa hizo zitatosha na vp upatikanaji wa bidhaa hizo kwa bei ya jumla na mapendekezo yenu...
2 Reactions
95 Replies
49K Views
Nipo mwanza sio mwenyeji sana ila nimefanikiwa kupata kiwanja sehemu. Napenda kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu...!! Hadi inaisha. Mwenye ujuzi tafadhali ntafurahi tukishare...
0 Reactions
35 Replies
18K Views
Moja kwa moja kwenye mada,bei ya vifaa mbalimbali vya ujenzi imeruka kama ifuatavyo. Mikoani bei ya Mfuko mmoja wa saruji(cement) umepanda kutoka 14500 nwezi wa februari hadi 20000 bei ya leo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mh, rais wa JMT tunakuomba uingilie kati bei ya Saruji au cement kama ilivyo zoeleka pamoja na vifaa vingine vya ujenzi. Mh Rais huku Missenyi Mkoani Kagera bei ya vifaa vya ujenzi iko juu sana...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…