Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema atawapima mameneja wa Wakala wa barabara nchini (TANROADS ), kwa uwezo wa kutatua changamoto wakati wa dharura ili kuhakikisha barabara zote nchini...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
SHULE YA CCM MBEYA YAMUOMBA RAIS SAMIA TZS 40 MILIONI KUKAMILISHA UJENZI WA MAABARA Uongozi wa Shule ya Sekondari Ivumwe, inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
1 Replies
94 Views
Hbr wana jamvi/wajenz tukiw Tamati kbs mwa mwak 2024 . Nmejivuta ndan ya miak 3/4 katk ununuaji wa kiwanj na kuanz ujenz , Hatua niliyopo sasa nimekamilsha msingi wa room 3 sebule (•room mbili...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
RAIS MWINYI: SEKTA YA UJENZI IMETEKELEZA MIRADI MINGI NCHINI Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amefahamisha kuwa Sekta ya Ujenzi ni miongoni mwa Sekta...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
WAZIRI ULEGA AMBANANISHA MKANDARASI BARABARA YA TUNGAMAA - MKANGE, MKANDARASI AOMBA RADHI AJIPANGE UPYA. Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Habari ndugu wana Jamii Forums, Nipo kwenye mchakato wa kumtafuta msanifu majengo anichoree ramani ya nyumba ya kuishi familia ghorofa moja ndogo simple isiyo na makorokoro mengi maana kiwanja ni...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Binafsi nimejiwekea kukipa muda kila kitu; kuweka akiba ya maneno wakati mwingine ni muhimu sana. As far as I know; Israel and Iran they know each other. Iran haiidharau Israel kama sisi tunavyo...
0 Reactions
1 Replies
123 Views
Habari ndugu zangu, poleni na majukumu ya hapa na pale, naombeni ushauri wenu, kwa sasa nipo kwenye ili jiji la chalamila jua na mvua vyote ni vyangu. Katika tafakuri zangu za maisha nimepata...
3 Reactions
11 Replies
582 Views
Nyumba Ina master bedrooms 2 cinema room kitchen dining , lounge na Stor kwa ground na floor ya juu Ina 3 master bedrooms office na stares kadhaa naomba wenyekua na expérience na ujenzi...
2 Reactions
8 Replies
785 Views
Habarini wakuu. Niende moja kwa moja kwenye topic. Wakuu nina nyumba yangu ipo hatua ya finishing ina square meter 206. Nyumba iko Moshi. Kwa vile sipo karibu nikamuomba fundi anipe makadirio...
8 Reactions
95 Replies
34K Views
Fundi wa umeme amenipa hizi gharama. Hapo nilishavuta umeme na kufunga baadhi ya socket, na taa za nje. Je, zina uhalisia kwa nyumba ya vyumba vinne?
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna feelings flani hivi ameiziiing Eti wakuu?
6 Reactions
53 Replies
2K Views
WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO KWA MKANDARASI KUHARAKISHA UJENZI BARABARA YA KIGAMBONI Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amefanya ziara katika wilaya ya Kigamboni kujionea maendeleo ya miradi ya...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
Habari zenu.Mungu akijaalia nimepanga kabla huu mwaka haujaisha niwe na kiwanja naendelea kusave save huku nikiisubiri December nifanye jambo langu. Sasa kinachonitatiza ninapataje kiwanja kizuri...
5 Reactions
61 Replies
5K Views
WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO YA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA KIPANDE CHA UBUNGO HADI KIMARA KUEPUSHA MSONGAMANO Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, ametoa maelekezo ya haraka kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA USIKU MIRADI YA BRT, AAGIZA IKAMILIKE KABLA YA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA. Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kushtukiza usiku wa...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Wakuu Mwenye Raman ya Ki gorofa naomba anitumie.. Ki gorofa flani hivi Cha kishkaji Low budget Kwa mm ninae jitafuta .. nimepanga 2025 nianze ujenzi lakini sio nyumba ya chini plan ni ki...
4 Reactions
22 Replies
823 Views
Wakuu habarini Ninatatizao la ukuta wangu mara kwa mara unabanduka banduka rangi, Kama picha inavyo iyona hapo, tatizo liliianza kwamba niliinunuwa nyumba tayari ishapigwa plasta, , nikaamua...
0 Reactions
2 Replies
262 Views
JINSI YA KUFANYA MAKADIRIO YA GHARAMA ZA UJENZI WA NYUMBA Habari wana Ujenzi! Watu wengi wanapata changamoto ya kufahamu makadirio ya material wanayo hitaji katika ujenzi wa nyumba ama majengo...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Habarini ndugu zangu, Naomba kujua makisio ya gharama ya msingi na first floor kwa square meter. Naelewa gharama ya msingi inatofautiana na mambo mengi,ila kwa sasa nataka kujua makisio tu ya...
2 Reactions
7 Replies
449 Views
Back
Top Bottom