Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Naomba kujua machimbo ya nondo na saruji. Iwe kiwandani au approved agents. Ninahitaji kujua bei ya mfuko wa saruji 42.5 kwa mifuko zaidi ya 300 Nondo 10mm kwa tani Nondo 12mm kwa tani Nondo 16mm...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
WAZIRÎ ULEGA ATEMA CHECHE TANROADS NA MWANDISHI WETU Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha miradi ya...
1 Reactions
3 Replies
193 Views
Wakuu nimeona ni vyema nikashea na nyie kama kuna mtu atashawishika basi awekeze huko. Hawa jamaa nimewaona mitandaoni na kwenye page ya salim kikeke, wana mradi wao mpya wa uuzaji wa viwanja...
8 Reactions
17 Replies
664 Views
Tuanze na faida kwanza 1. Bei rahisi, uzuri bei zao mchekea sana na kama ukiwa mbishimbishi au mtu wa kukomaa kubargain sana unapata punguzo kubwa kabisa la bei bila kujali ugumu au ukubwa wa...
18 Reactions
44 Replies
2K Views
Hello Wadau. Nipo stage ya kupaua nyumba. Nyumba inadai bati 110, sasa ukigusa huku Alaf na kina Sunshare ni mkasi kweli kweli Nina option mbili mkononi 1. Nipige bati za kawaida tu 2. Nipige...
15 Reactions
251 Replies
33K Views
MUSOMA VIJIJINI INAJITAYARISHA KUFUNGUA SEKONDARI MPYA SITA (6) MWAKANI (2025) Kipaumbele namba moja cha Jimbo la Musoma Vijijini kinatekelezwa kwa kasi ya kuridhisha. Kipaumbele hicho ni: ELIMU...
1 Reactions
2 Replies
177 Views
Habari zenu wajenzi na mafundi wa humu Jf, Naombeni msaada kutoka kwa anaejua shida yangu ni kujua Ukubwa gani unafaa kuwa ukubwa wa Chumba Master na pia chumba bila master kinapaswa kuwa na...
3 Reactions
48 Replies
9K Views
1. Huyu "Ëngineer" wa instagram anafaa kusaidiwa kitaalamu ili ajisajili ERB na kampuni yake isajiliwe BRELA, TRA, OSHA, NEMC ili apate kazi kubwa zaidi. 2. ukimsikiliza vizuri, anaonekana mjuzi...
6 Reactions
61 Replies
3K Views
Habari ya majukumu wakuu... Hiki kifaa nilikiona katika moja ya nyumba za wageni,sikupata nafasi ya kuuliza na kufahamishwa. Hivyo naomba mwenye ufahamu wa hiki kifaa anijuze Natanguliza shukuran
1 Reactions
6 Replies
264 Views
Nilikua kwenye nyumba ya kupanga, nzuri tu. Tatizo mwenye nyumba akapandisha bei kwa asilimia zaidi ya 25, bila taarifa mapema. Nikaona sio shida, nikahama mkataba ulivyoisha. Sasa katika...
93 Reactions
201 Replies
11K Views
Naomba idadi ya bati kulingana na ramani hii.
4 Reactions
25 Replies
8K Views
Eneo lipo Mbutu Kichangani 25km kutoka ferry. Kila kiwanja milioni 10 tu. Maelezo ya ziada yapo kwenye video hapo chini. 0683445266 Mawasiliano
0 Reactions
1 Replies
230 Views
Utaratibu wa kupata kibali cha ujenzi ukoje ?
1 Reactions
9 Replies
495 Views
Kwa wakazi wa Arusha napenda kufahamu wakala wa mabati ya ALAF anapatikana wapi Arusha mjini na je wanauza mabati kwa urefu ninaohitaji au zimeshakatwa katika urefu wa mita tatu? Naomba kufahamishwa.
0 Reactions
2 Replies
260 Views
WANANCHI UYUI WATAKIWA KUITUMIA NA KUITUNZA ZAHANATI Na WAF - Uyui, Tabora Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amewataka wananchi wa kijiji cha Simbodamalu kilichopo katika Halmashauri ya...
0 Reactions
0 Replies
119 Views
Wakuu mikoa inatofautiana kwa vipato vya wakazi wake. Sina shaka kuhusu Dar linapokuja suala la mzunguko wa hela. Tupeane abc za mikoa yenye vipato vilivyosimama (ukiondoa Dar) na kuna hela nzuri...
4 Reactions
39 Replies
1K Views
Tumeandaa design hii ya lodge (guest House) ambayo mchanganuo wake up hapa chini --> Wageni Wamekuwa Wengi, Anzisha Biashara na Uwekezaji wa Lodge (Vyumba 16 self) [emoji383] Mawasiliano...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Kwa huduma ya skimming, kupaka rangi na decoration mbalimbali kwa ubora na gharama nafuu. Mawasiliano: +255 656590393
2 Reactions
7 Replies
384 Views
Habar wakuu nataka kujua Kuna kampuni nataka kufanya nayo kazi ntajuaje hii kampuni imesajiliwa na board ya wakandarasi
0 Reactions
2 Replies
178 Views
Back
Top Bottom