Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA SIMIYU NDG. SHEMSA MOHAMED ASHIRIKI HARAMBEE KANISA LA KKKT NA KUCHANGIA MILIONI 33.2 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Mohamed...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
WAZIRI ULEGA AKAGUA MIRADI YA BRT, AAGIZA KAZI IFANYIKE USIKU NA MCHANA. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Balozi, Mhandisi, Aisha Amour kuwasimamia...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Habari, Kama kuna fundi humu ,au mtu anajua fundi mwenye ujuzi wa kubandika hizi tiles za plastic za garage, Site iko Dar es salaam. Anichek PM.
0 Reactions
1 Replies
201 Views
Wazoefu wa ujenzi naombeni msaada wa makadirio ya huu mjengo
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Wadau wa ujenzi hasa mafundi na mainjinia wa ujenzi huyu jamaa ktk kupiga ripu kaanza na wire meshi eti inazuia nyumba kuchanika (nyufa). Je hiki kitu ni kweli na nisahihi kufanya hivi.
2 Reactions
6 Replies
565 Views
Habari za sa hizi wadau, Nipo katika ujenzi. Napata shida kupata mlango mzuri wa grill/ chuma. Dable door. Wadau naomba mwenye picha atupie
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Watu wengi tunafail ku accomplish ndoto zetu za kujenga au tunajenga na kushindwa kumaliza kwasababu tu ya kukosa plan nzuri ya gharama katika ujenzi Stratergical way ya ku-win financial problem...
2 Reactions
3 Replies
443 Views
Habari ndugu zangu wa JF, Uzi maalum wa picha aina mbali mbali za vyoo kitchen sink majakuzi vyoo mabeseni bath..Pia material mapya yanayo ingia sokoni aina mbali mbali za cock n.k Pia unaweza...
16 Reactions
527 Replies
40K Views
Wakuu kama kichwa Cha habari kinavyosema ni sahihi kujenga juu ya beacon ya halmashauribiliyowekwa Kwa ajili ya barabara ya mtaa maana Kuna jirani yangu anajenga hivi maana naona kama anatafuta...
4 Reactions
14 Replies
834 Views
Wakuu bati zangu zimeanza kupauka ndani ya miaka 5 toka nipaue Aina yake ni zile za migongo mipana. Je Kuna rangi nikipaka itadumu kwa kitambo kirefu? Naomba kuwasilisha
5 Reactions
73 Replies
3K Views
WAZIRI ULEGA AKUTANA NA WAKUU WA TAASISI WIZARA YA UJENZI. Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega amekutana na kufanya mazungumzo na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi katika Ofisi...
0 Reactions
1 Replies
189 Views
Ndugu zangu hongereni kwa majukumu ya kujenga uchumi wenu kwa manufaa ya familia zenu bora. Mimi naomba mnipe USHAURI wa sehemu gani nzuri na affordable ya kweza kupata eneo zuri la kujenga...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
𝘜𝘷𝘪𝘮𝘰 𝘵𝘶𝘮𝘦𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘸𝘢𝘣𝘰𝘣𝘦𝘻𝘪 𝘬𝘸𝘢 𝘔𝘢𝘮𝘣𝘰 𝘺𝘢 𝘶𝘫𝘦𝘯𝘻𝘪 𝘯𝘢 𝘧𝘪𝘯𝘪𝘴𝘩𝘪𝘯𝘨 𝘢𝘪𝘯𝘢 𝘻𝘰𝘵𝘦. Wasiliana nasi kwa 0692806544
1 Reactions
2 Replies
221 Views
UHURU NA KAZI: UANZISHWAJI WA "MTIRO HIGH SCHOOL" KIJIJINI BUSEKERA Jimbo la Musoma Vijijini limeamua kuongeza idadi ya "High Schools" hasa za masomo ya sayansi kwa kujenga na kuboresha...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Wakuu nisiwachoshe naomba nijikite kwenye mada. Nina kibanda changu Cha vyumba vinne kimoji ni self, public toilet, sebule, dinning, jiko na stoo na Niko kwenye hatua ya finishing. Naomba nipate...
2 Reactions
32 Replies
8K Views
Nani kwaeka mfumo huu wanasema WA kisasa WA shimo la Choo? Nimeona gharama NI nzuri sio kubwa kulinganisha na kuchimba lile la kizamani la kujenga na vipande vya tofali. Je mfumo huu mpya Una...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, kama unahitaji kuwekea eneo lako uzio (fensi) Basi karibu nikufanyie kazi yako kwa bei sawa na bure. 0624254690
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari Zenu Wakuu, Kama kichwa cha habari kisemavyo natafuta marine board used ili. Niweze nunua nikajengee ukuta kwa zege kwenye kibanda changu. Site iko Goba Karibia na Joys Eslava. Many...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amewatoa hofu Waheshimiwa Wabunge kuhusu mpango wa Serikali wa utekelezaji wa miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa utaratibu wa uhandisi...
0 Reactions
3 Replies
652 Views
📖MHADHARA WA 16: Baada ya kununua kiwanja...... Ukibahatika tena kupata vihela kidogo ni bora kuanza kujenga CHUMBA + SEBULE + CHOO. Kama hela zako ni za msimu au hela za kulenga kwa manati...
22 Reactions
46 Replies
3K Views
Back
Top Bottom