Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

MAKALA YA 10 Karibuni tena katika MAKALA za ujenzi.Leo nataka tuangazie juu ya makosa mbalimbali yanayofanyika katika ujenzi wa majengo . 1.KUNUNUA VIWANJA KATIKA MAENEO HATARISHI Kuna watu...
14 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu mafundi nataka kujua ni kiasi gani naweza kujengewa Ghorofa moja kwa maeneo ya kijijini Nataka kujua bei tu ya ufundi mbali na vifaa vya ujenzi maana kuna sehemu nilipata majibu ya...
2 Reactions
12 Replies
919 Views
Habari za muda Huu wapendwa, Kwa wale wazoefu wa ujenzi naomba kujua inaweza kugharimu mawe tripu ngapi kumaliza ujenzi wa Msingi wa Vyumba viwili, master bedroom moja, Sitting Room, dining, jiko...
2 Reactions
4 Replies
734 Views
JINSI YA KUJENGA NYUMBA YAKO BILA STRESS AU KUVUNJIKA MOYO: VIGEZO VYA KUMCHAGUA FUNDI WA UJENZI MWENYE UZOEFU NA UBORA Mwandishi: MwlRCT UTANGULIZI Je, unajua kwamba uchaguzi wako wa fundi wa...
5 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wakuu, Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs. Naomba ushauri kwa watu wenye...
15 Reactions
89 Replies
8K Views
Wanabodi. Mara nyingi mtu anapokuwa katika harakati za ujenzi, hupata mawazo mbalimbali kutoka kwa wataalamu wa ujenzi (mafundi), hii hupelekea kutokuwa na mueleko sahihi hata katika bajeti yake...
5 Reactions
48 Replies
6K Views
Habarini Nina mradi wa nyumba na ninahitaji ushauri kuhusu beam and block slab. Ningependa kujua: Gharama ya kuweka beam and block slab kwa eneo la takriban mita za mraba 160 Uzoefu wenu na aina...
0 Reactions
0 Replies
286 Views
Hakuna haja ya kuunda tume kwa tatizo ambalo serikali inalifumbia macho na jibu la tatizo hilo wote wanalifahami. Iko hivi; Mfanya biashara + Eneo la biashara kubwa + Mipango Miji + Fundi Maiko =...
2 Reactions
3 Replies
419 Views
Wanabodi Salaam, Kwa wale mafundi wa kupaua nyumba naomba msaada nahitaji kupaua nyumba yangu nimejaribu kuongea na mafundi wawili kila mmoja kanipa hesabu tofauti tena kwa utofauti mkubwa saba...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini Wana Jf na wajenzi wa humu Kama kichwa kinavyo sema nina eneo dogo tu ft 50*40 lenye ardhi ya mchanga mweupe kama ule wa kujengea . Wazo langu ni kujenga vyumba vitatu ,sebure,jiko na...
0 Reactions
3 Replies
351 Views
Naomba mnijuze wanajf na wataalamu wa ujenzi!Mimi kwenye eneo hili sielewi chochote hasa ni kwa kuwa wengine tulizaliwa enzi zile za kutumia silingi bodi!Ninaomna mnielimishe boards nzuri kwa...
0 Reactions
3 Replies
595 Views
Roofing nails zinauzwa katika vipimo vipi? Fundi aliniambia kuwa kg moja ya roofing nails ni Tsh 6,000. Sasa nimenunua box lina kg 13, ndani kuna mifuko midogo 25 yenye misumari 47 na haitimii...
2 Reactions
4 Replies
286 Views
Habari zenu jamani, Napenda kujua gharama za kupiga tiles,Nyumba ipo katika mazingira ya uswahilini. Je, gharama zake zinaweza kuwa kiasi gani chumba kina square mita 9
4 Reactions
63 Replies
56K Views
Katika nyumba; 1. Nini kinasababisha kofia za kushuka na zile za kulala kuvuja? 2. Nini suluhisho lake? Kwakweli ukipiga bodi halafu nyumba ikawa inavuja inakera sana.
1 Reactions
4 Replies
267 Views
Unaweza kuongeza vyumba vya kulala vikawa viwili na kufanya mpangilio wa ladha yako. Choo unaweza kukiweka sehemu ya pantry na sehemu ya choo kuwa chumba cha pili.
7 Reactions
41 Replies
2K Views
Swali kama lilivyo kwenye subject. Hizi zinatengenewza kwa acrylic au fiberglass. Zinakuja vipande vitatu vinaunganishwa kwenye site. Naweza kuzipata wapi Dar?
0 Reactions
0 Replies
317 Views
SMZ IMEDHAMIRIA KUJENGA MAKAAZI BORA KWA WANANCHI-RAIS MWINYI. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuanzia sasa Serikali itawafidia nyumba...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Wakuu nimepata ajira ya kuuza hardware Dar, Kariakoo ila mshahara ni laki 3 kwa mwezi. Nilikuwa naomba kuuliza kwa yeyote mwenye uwelewa na hii kazi ya hardware, huwa ina marupurupu?
1 Reactions
11 Replies
536 Views
Hii ni idea ya ramani ya nyumba. Mdau naomba uipitie utoe maoni yako wapi pa kuboresha. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
295 Views
MBUNGE MAVUNDE AAHIDI KUSHIRIKIANA NA WAISLAMU MAJENGO KUKAMILISHA UJENZI WA MSIKITI ▪️Achangia saruji tani 10 ▪️Awapongeza waumini kwa kujitolea ujenzi wa msikiti ▪️Aahidi kutafuta wadau wa...
0 Reactions
1 Replies
199 Views
Back
Top Bottom