Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameshiriki Misa Takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Paulo na kuongoza harambee ya kumalizia ujenzi wa jengo la ofisi za Jimbo Katoliki la Bunda ambapo jumla...
2 Reactions
1 Replies
195 Views
Habari zenu wakuu, Kuna changamoto imekuwa inajitokeza nyumbani naomba mawazo yenu! Home kuna tank la litre 5000 ila limekuwa likiisha maji hata kama maji hayajatumiwa! Unakuta tank tunajaza...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Assume 1. kiwanja kipo 2. Bati migongo midogo za rangi. 3. Madirisha.matano ya wastani 4. Vyumba 3 vitatu vya kulala moja master dining na sebule. Karibu kwa ushauri
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada, Nauliza ni lazima upate kibali cha ujenzi ndipo uanze kujenga ? Na hiko kibali kinapatikana wapi, Gharama yake kiasi gani, umuhimu wa hiko kibali, Naomba maelekezo...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nahitaji kuwa na muhuri wa Architect ambao naumiliki mimi mwenyewe ni hatua zipi nifuate ili niweze kupata Muhuri wa Archotct?
0 Reactions
5 Replies
285 Views
Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu. Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati. Afanyeje ili isivuje? N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili...
2 Reactions
98 Replies
18K Views
Habari zenu wana jf,kutokana na bomoabomoa zinazoendelea kupisha ujenzi wa barabara nimejikuta naambulia bati na vitu vingine kama milango na madirisha. Ninawaza kutumia bati zilezile pamoja na...
1 Reactions
56 Replies
21K Views
Nimekuwa mhanga kwenye hayo mazingira, baada ya kufanya 'wiring' na umeme kuungwa kwenye jengo, ili ujenzi wa kumalizia (finishing) uende vizuri; wakatokea wahuni wakakata nondo za dirisha na...
5 Reactions
6 Replies
604 Views
Ilinde gari yako kwa kuipark sehemu salama pia hizi car parking shades huleta muonekano mpya wa nyumba yako au ofisi yako tupigie kwa namba 0687897026/0767583628
2 Reactions
11 Replies
524 Views
Habari zenu wakuu, nimekabidhi kazi kama inavyoonekana hapo. Ni kabati za jikoni, hapo bado finishing tu ila kazi yangu nimemaliza. Pia napiga plasta, kujenga, na ramani nachora pia kulingana na...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakubwa, Naombeni ushauri wenu kuna hili jambo linanitatiza. Nina FEDHA kiasi cha 25 mill. Lengo langu ni kujenga nyumba - kwa ajili ya kupangisha tu, maana tayari nina makazi ya kuishi. Nawaza...
3 Reactions
13 Replies
673 Views
Natembea kuelekea Buguruni eneo la Binti Madenge. Hapa nakutana na wafanyabiashara wanaouza mbao na wengine wakifanya kazi ya kuingiza mbao ndani ya mapipa. Navutiwa na kazi ile, nikitaka kujua ni...
14 Reactions
117 Replies
9K Views
Nilichimba shimo la choo kipindi cha kiangazi lilikua fresh tu na likafunikwa juu, tatizo imeanza kipindi cha masika maji yanatokea chini na shimo linajaa maji. Wataalam tusaidiane hapo nitumie...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
DHAMIRA YA SERIKALI NI KUJENGA BARABARA YA NDALA - MWAWAZA KWA KIWANGO CHA LAMI "Barabara inayotoka Ndala kwenda Mwawaza Manispaa ya Shinyanga palipo na Hospitali ya Rufaa ipo kwenye Ilani ya CCM...
0 Reactions
0 Replies
184 Views
Nyumba ya 9m x 8m. Bati ya migongo mipana, vyumba 2 vya kulala, finishing ya mtanzania wa kawaida inaweza gharimu wastani wa kiasi gani kujenga? Karibuni wakuu, maeneo ni kanda ya ziwa
2 Reactions
3 Replies
503 Views
Wakuu habari zenu na poleni na harakati za kupambana na maisha, Naombeni msaada wenu kwa wale wazoefu katika sekta ya ujenzi kuhusu mabati ya Kiboko. Jana nimeenda kwa wakala nimekuta yanauzwa...
2 Reactions
17 Replies
12K Views
Tusaidiane faida na changamoto za kuweka milango ya aluminium kwenye nyumba ya kuishi kama mbadala wa milango ya mbao milangoni?
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari members, Naomba kufahamu kias Cha material ya kufunika choo (slab),. Nilishachimba SHIMO la square Kwa vipimo vya futi 5 Kwa 5 na kimo ni futi 12. Hapa naomba kujua nondo ni ngapi, kokoto...
0 Reactions
10 Replies
655 Views
Habari zenu wana JF, nina ombi kwa walio na utalamu wa ujenzi, nina ndugu yangu yuko nje ya nchi amejikusanya amepata pesa kiasi anataka kujenga lodge (guest house) ya vyumba 20 vyote self...
4 Reactions
44 Replies
7K Views
SEBASTIAN KAPUFI ATAKA KASI IONGEZEKE UJENZI WA SKIMU YA UMWAGILIAJI MPANDA "Je, Serikali inasema nini kuhusu kasi ndogo ya mradi wa Umwagiliaji Kata ya Mwamkulu Mpanda" - Mhe. Sebastian Simon...
0 Reactions
2 Replies
178 Views
Back
Top Bottom