Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Unaweza kufa na nyumba ukaacha hapo, otherwise jenga bila haraka, kwa awamu na taratibu uta enjoy Ukifikia level vitu vya kingereza uwiiiiii ni stress juu ya stress hasa kama unafosi nyumba...
66 Reactions
278 Replies
34K Views
Nina kiwanja cha upana feet 18 na urefu feet 22 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu sebule dining room na kitchen room Choo bafu ndani na nje?
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Kiasi gani cha fedha kinahitajika hapa, kukamilisha ujenzi nyumba kama hii
0 Reactions
7 Replies
506 Views
Niliwahi kupokea kejeli miaka kadhaa nyuma baada ya kununua eneo maporini, niliwashirikisha baadhi ya ndugu na marafiki twendeni kuna viwanja vinauzwa na almashauri. Kejeli zao, nani akaishi...
4 Reactions
8 Replies
637 Views
MHE. KATIMBA - KAMILISHENI MIRADI KWA WAKATI KUHARAKISHA TIJA KWA WANANCHI Naibu Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba (Mb) amemtaka Mkandarasi na Mtaalamu Mshauri anayetekeleza Mkataba...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Wakuu salamu zenu. Awali ya yote nitoe shukrani zangu za dhati kwa wana JF wote hasa jukwaa la ujenzi na makazi. Niliomba kuelekezwa mahali pazuri pa kuishi Dar nikitokea mkoani. Nashukuru...
0 Reactions
6 Replies
330 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta fundi welding mwenye uzoefu wa kutengeneza Spiral staircase. Material kwa maana ya chuma, welding sticks, grinder discs kulingana na size grinder...
0 Reactions
6 Replies
402 Views
Jumuiya ya Wahasibu Wakuu wa nchi za Afrika wametakiwa kuandaa mapendekezo yanayohusu umuhimu wa mifumo madhubuti ya usimamizi wa fedha za umma inayoweza kukabiliana na changamoto zinazojitokeza...
0 Reactions
1 Replies
212 Views
Habari zenu wana JF! Baada ya kuwaza sana kuhusu hivi viwanja vya mikopo vinavyouzwa, vyenye ukubwa wa Futi 50 Kwa 40 kama je, vinatosha kujenga nyumba? Kwangu Mimi nimeona itatosha endapo pale...
1 Reactions
5 Replies
661 Views
Je, ni sahihi kulipia kibali kwaajili ya marekebisho ya kupaka rangi nyingine nyumba yangu? Nimeikuta huku Songea mkoa wa Ruvuma, ikiwa mwenye nyumba anataka kurekebisha rangi au kubomoa na...
0 Reactions
5 Replies
488 Views
Huku kuna mijumba ya hela nyingi sana. Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi? Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa” Visit Mbweni
34 Reactions
149 Replies
8K Views
TENGERU HOUSE Habari zenu. Nikiwa mdau wa ubunifu na usanifu majengo, nimeona niwashirikishe kwa ufupi namna mimi na baadhi ya wasanifu majengo tunavyofikia utekelezaji wa majengo na bidhaa...
25 Reactions
96 Replies
8K Views
Natanguliza shukran wakuu, bila shaka wazima wa afya, straight to the point, ni mgen kwa maswala ya ujenzi ndo maana nataka nikijenge hiki kwa phases kinipe experience kabla sjajipanga kwa ajili...
2 Reactions
4 Replies
452 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametambulisha na kuwakabidhi Wakandarasi Wazawa kutoka Kampuni ya Salum Motors na Jonta Investment kwa Wananchi watakaoanza ujenzi wa madaraja makubwa manne ya...
0 Reactions
0 Replies
161 Views
Mbinu mbalimbali zinazoweza kutumika kupunguza /kuokoa gharama zisizo za lazima katika ujenzi. 1)MBADALA WA TANK LA KUHIFADHIA MAJI. Naanza na hii ,maeneo yetu mengi maji yanatoka kwa mgao wa...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Great thinkers. Nimekuwa nikiangalia mtindo wetu wa kuezeka haya mahekalu naona kama unaongeza gharama zisizokuwa za lazima kwa mfano. 1. Nyumba yenye konakona nyingi matokeo yake mbao...
3 Reactions
15 Replies
802 Views
wadau wa ujenzi msaada kwa waliowahi kutumia mabati ya kampuni ya SUNBANK na SUN SHARE kwenye swala la uimara na ubora wake yapoje?
0 Reactions
3 Replies
362 Views
Habari za leo wana JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kufahamu makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa ya vyumba 3 (Kimoja master na viwili vya kawaida), sebule...
9 Reactions
67 Replies
4K Views
Katika mambo huwa yananishangaza na kunifikirisha sehemu mbalimbali za nchi hii ni uwepo wa majengo mengi ya nyumba za watu walionza kujenga kubaki bila kumaliziwa(mapagala) kwa muda mrefu sana na...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
Huyu bwana akiwa huko aliko aliamua kujenga nyumbani. Aliomba ndugu ammtafutie kiwanja na kufanya inanla ya pesa. Baada ya malipo kukamilika hata mimi ninashangaa kuwa hakuona ukubwa wa kiwanja...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom