Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Waziri Tabia Mwita Aipongeza Tanzania Youth Icon (TAYI) Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita ameupongeza Uongozi wa taasisi ya Tanzania Youth Icon (TAYI) kwa...
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Habari wa ndugu wa jamii forums , nipo hapa kuomba kwa mwenye mabati used yaliyo na hali nzuri awasiliane na mimi Mawasiliano. 0672701329 Nahitaji pc 50 hivi Asante...
1 Reactions
1 Replies
463 Views
Wakuu habari za wakati huu. Niende moja kwa moja kwenye mada. Baada ya Kupambana na Mungu kuniwezesha kupata kiwanja. Natamani sana kwa mwaka ujao Mungu anisaidie nianze ujenzi. Ila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya Maji inayofanywa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoani humo ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
392 Views
SERIKALI YAJENGA DARAJA KUUNGANISHA VIJIJI VINNE MEATU, SIMIYU Serikali Kupitia Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) imetoa kiasi cha shilingi Mil. 197 kwa ajili ya kujenga daraja la...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Msaada tafadhali dawa gani ya kuua hawa viumbe
1 Reactions
7 Replies
919 Views
MBUNGE GEOFFREY MWAMBE AZINDUA ZAHANATI MATAWALE • Imegharimu Milioni 200 • Wananchi wampongeza Mbunge wa Jimbo la Masasi Mjini Mheshimiwa Geoffrey Mwambe, leo amezindua zahanati mpya katika...
0 Reactions
7 Replies
363 Views
Wakuu, Naomba msaada, nafanyaje ili kuzuia hii hali ya nyasi kuota kwenye maungio ya paving blocks ambazo zimekwishawekwa? Kadri mvua zinavyonyesha majani yanastawi sana kwenye maungio inakuwa...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba nipate uzoefu. Ni mipira ipi bora kwa kazi za kumuagilia nyumba wakati wa ujenzi kwa kuzingatia vigezo vufuatavyo: I) Kampuni inayotengeneza (aina ya mipira) ii) Milimita za Mpira...
1 Reactions
4 Replies
520 Views
Huu ni ukweli mchungu,kama bado hujajichanga na kuweza kununua kiwanja kilicho sehemu salama ni bora uendelee kutafuta hela ya kuongezea ili kupata kiwanja eneo salama,watu wengi wameingia hasara...
1 Reactions
3 Replies
512 Views
Serikali kupitia ofisi ya Rais TAMISEMI imeahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 20 ili kuimarisha kivuko cha cha Magole/Mwanagati kilichopo katika kata ya Mzinga Halmashauri ya Ilala mkoani Dar...
0 Reactions
0 Replies
284 Views
Waziri wa ujenzi, Innocent Bashungwa amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kuhakikisha kuwa Wakandarasi wasumbufu na wababaishaji hawapewi kazi za ujenzi wa barabara...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Ningependa kujua makadirio ya bati ya nyumba ya aina hii: Nyumba ina: Upana wa 15.5m Urefu wa 10m Bati za mita tatu Style ya bati sio za kwenda juu kama za siku hizi. Mfano wa urefu na style ni...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba nipate uzoefu. Ni mipira ipi bora kwa kazi za kumuagilia nyumba wakati wa ujenzi kwa kuzingatia vigezo vufuatavyo: I) Kampuni inayotengeneza (aina ya mipira) ii) Milimita za Mpira (unene)...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Habari ndugu zangu. Leo nimekuja kwenu kuomba wajuzi wa mambo ya ujenzi. Nina boma langu limenisotesha kulimaliza mpaka kozi 12. Sasa hatua inayofuata ni kupaua. Hitaji langu ni kujua idadi ya...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimemaliza siku 30 toka nipewe termination lakini hawataki kunilipa hela ya likizo pamoja na nauli ya kunirudishwa walikonitoa nimesaini toka terehe 6 mwezi wa kumi mpaka sasa wananizungusha...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakazi wa vijiji vinne katika Tarafa ya Masasi wilayani Ludewa mkoani Njombe vinaenda kuondokana na changamoto ya kuhatarisha maisha yao kwa kuliwa na Mamba pindi waendapo kuchota maji katika mto...
0 Reactions
0 Replies
403 Views
Habari wanajf kwa ujumla,wakubwa shikamoo,wenzangu na mie mambo vipi poa,wadogo zangu,marahaba.Nimekuwa nikifuatilia sana mambo mbalimbali yanayohusu ujenzi na ushauri unaotolew kwa...
29 Reactions
88 Replies
5K Views
Nina ardhi yangu iko mkoa wa Dar es Salaam haijapimwa bado. Je, process za wizara ya ardhi kukupimia zikoje?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom