Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Naomba ramani ya Nyumba yenye sifa hizi. Hela yangu ndogo sana. Iwe na •Masters •Room 2 •Sebule Mwenye ramani mzuri au alishawahi kujenga nyumba kama hii naomba tu share experience hapa za...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Waheshimiwa, Ninapoishi kuna changamoto mbili za umeme; 1) Umeme unaisha haraka sana tofauti na kawaida Kwenye nyumba niliyokuwa naishi awali nilikuwa natumia umeme wa 15,000/- tu kwa mwezi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi ni kweli mashimo haya ya Biodigester hayajai milele. Na suala la harufu kuwa hayarudishi ndani ni kweli au lugha za biashara tu. Mwenye uzoefu ama ni fundi au anatumia kwake atuhabarishe.
1 Reactions
23 Replies
3K Views
MAMENEJA TARURA WAAGIZWA KUSIMAMIA MIRADI KIKAMILIFU Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) amewaagiza Mameneja TARURA wa Mikoa na Wilaya zote nchini zinazotekeleza...
0 Reactions
1 Replies
318 Views
Faida, [emoji298]Nyumba hupendeza [emoji298]kuonekana nadhifu mda wote [emoji91]Rahisi kusafishika [emoji91]Hakuna scratches [emoji91]No bacterial 0757 066208
8 Reactions
56 Replies
13K Views
SERIKALI IKO MBIONI KUJENGA OFISI YA OCD WILAYA YA KALIUA Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Jumanne Sagini akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Bungeni, Mhe. Aloyce Andrew Kwezi...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Naona inapendeza sana mlango wa mbao wa mbele bila grill. Kwa ambao mna uzoefu wa aina hiyo ya mlango mnanishauri nini. Kiusalama ikoje?
14 Reactions
49 Replies
10K Views
Kila ukiingia instagram unauliza fenicha flani mfano. Ni hizi kitchen cabinet. Unawapigia wanakwambia meter laki nane na nusu wengine milioni. Yan mdf hizi hizi za board elfu 80. Na hinges za...
8 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbunge Martha Mariki Achangia Zaidi ya Milioni 6 UWT kusaidia Ujenzi wa Nyumba za Watumishi MBUNGE wa Viti maalumu mkoa wa Katavi Martha Mariki anechangia mifuko 30 ya Simenti na fedha shilingi...
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Hii ni mara yangu ya pili kipitia msoto wa ujenzi.Nilipitia hali hii kwa mara kwanza mwaka 2014. Ni kero sana. Ni kero sana kufanya kazi na mafundi ambao hawako smart. Huyu atakuharibia kazi...
21 Reactions
77 Replies
5K Views
Wasalaam ndugu zangu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, lengo la huu uzi ni kupeana mbinu ni namna gani uliweza kuanza ujenzi. Uzi huu ni kwa wote, hapa namaanisha wale mliyofanikiwa kujenga...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wadau naomba kujua aina gani ya bati za msouth ndio nzuri na imara, zinachelewa kutoa rangi, kama unajua na bei Yake Kwa gauge 30 itapendeza. Nipo mwanza
0 Reactions
3 Replies
2K Views
1. Kununua Uwanja wa Ujenzi wa Tsh Milioni 4 na Laki Saba na Elfu Hamsini ( Tsh 4,750,000/= ) maeneo ya ndani ndani kiasi Kinondo, Mingoyo, Vikawe na Mapinga. 2. Kununua Ramani ya Nyumba Shilingi...
18 Reactions
47 Replies
3K Views
Habarini, Jamani nina kiwanja changu Chalinze na nataka nianze ujenzi. Wenye uzoefu ujenzi wa huko ukoje na upatikanaji wa material pia ukoje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JIMBO LA KITETO: SHULE YA MSINGI KONGWE YA LENGATEI YATENGEWA MILIONI 145,772,640 UJENZI WA MADARASA 6 & MATUNDU 8 YA VYOO Ndugu Wananchi Wenzangu wa Lengatei natambua uchakavu wa Madarasa na...
0 Reactions
1 Replies
421 Views
Madalali mko wapi aisee! kuna raia anataka chumba Cha kuishi maeneo hayo niliyoyataja, na bajeti yake ni 70k, 80k, hadi 100k Mwenye nacho anicheki nimconnect na jamaa
0 Reactions
4 Replies
474 Views
Habari wakuu! Nimerudi tena baada ya kujikusanya na kujipanga sana. Nimefika hatua ya kuweka vigae (tiles). Sasa kuna jambo ambalo nimejaribu kupitia post mbalimbali na kugundua kwamba vigae pia...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Nipo hapa karibia na hardware,na jamaa anapesa Sana na anamiliki hardware mbili hapa mjini,hapa kawaacha wafanyakazi tu,Sasa siku moja nikawa na piga stoli na mfanyakazi mmoja ,katika kongea...
0 Reactions
1 Replies
508 Views
MBUNGE wa Viti maalumu Mkoa wa Katavi Martha Mariki ametoa Shilingi Milioni 2 na Mifuko 30 ya Simenti kwaajili ya Kusaidia Ujenzi wa Nyumba za watumishi wa UWT Wilaya ya Mpanda na UWT mkoa wa...
0 Reactions
0 Replies
429 Views
Kama unaitaji nichek 0743257669
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom