Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari za humu wadau? Msaada wenu tafadhali. Ninahitaji kupiga rafu sakafu, fundi kanambia labour charge ni sh 800,000/ ambapo ataongeza kifusi chini kidogo kunyanyua, maana kilikuwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Natanguliza shukran zangu za dhati nimeanza kufanya usajili brela ila nimekwama kupata sample nzuri ambayo itafiti kwenye memorandum ya biashara ya hardware. Nimejaribu kugoogle ili niokoe muda...
0 Reactions
7 Replies
622 Views
Habari wanajamvi? Nachukua fursa hii ili tuweze kujadili kwa pamoja hoja husika kuhusu wizara husika kwa upande wa mipango miji kwa nchi yetu ya Tanzania." kwanza niipongeze Wizara kwa...
21 Reactions
112 Replies
16K Views
Wakuu niko njia panda kipi kianze je naweza weka gypsum board na mikanda then baadae nikatandaza ile final wiring juu ya dari maana kuna wizi wa hizi nyanya sana
0 Reactions
4 Replies
1K Views
JIMBO LA MOMBA KUNUFAIKA NA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 Mbunge wa Jimbo la Momba Mhe. Condester Mundy Michael Sichalwe amesema Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Watanzania tuna waste materials na space. Nataka niwaambie, hizi paa ndefu maana yake kuna space kubwa kati ya dari na paa ambayo hatuitumii kabisa. Wenzetu wazungu wanaitumia hiyo nafasi kati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salam. Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi. Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je...
23 Reactions
107 Replies
9K Views
JE INAWEZEKANA? Mimi ni mmoja kati ya watu wanaoishi maisha ya upweke kwa muda mrefu hivyo starehe yangu kubwa baada ya shughuli zangu za kila siku ama ninapopata nafasi ya kumpumzika ni kusoma...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wanajukwaa, Naomba kujuwa gharama kufanya fiting ya maji na umeme ya nyumba ya vyumba saba master 2 na publick toilet 2. Naomba kuwasilisha
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za mida hii wakuu Poleni na Majukumu, Poleni pia na maswaibu ya DPworld Nimepata kibarua maeneo ya Posta. Kwa sasa ninaishi Kibaha. Hivyo nataka nihamie sehemu ambayo nitapunguza...
2 Reactions
102 Replies
10K Views
Wakuu hebu someni huu ujumbe kama nilivyoupokea kutoka kampuni moja ya uzalishaji materials za ujenzi... (NABAKI AFRIKA LTD). Dear Customer I trust this message finds you well. As you might be...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kichwa Cha habari kinajieleza ndugu zangu,hapo gharama inaweza kufika kiasi gani??
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Tunafanya kazi kwa uaminifu Kama unaitaji kiwanja Kibaha kwa mfipa(upande wa chuo) Viwanja vilivyopimwa(vyenye Hati) sqm 400 ni million 6.5 Viwanja ambavyo havijapimwa sqm 400 ni million...
0 Reactions
4 Replies
720 Views
Karibuni sana watu wangu wa nguvu hii ni fursa pia kwa wasio kuwa na kazi unaweza kuja kuchukua sample ukipata oda unakuja nakupa mzigo uchague kulipwa kwa mwezi au kwa siku,[emoji106]
0 Reactions
3 Replies
371 Views
Habari, Jamani mnisaidie kitu kwa Wakazi wa hapa Dar es Salaam, anayejua bei ya Mchanga, Kifusi na Kokoto kwa bei ya fuso na canter ili nikienda kuagiza nisiwe mgeni wa hili Si unajua ukienda...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Cement mfuko tunanunua 19500/= Hadi 20,000/=. laki moja unapata mifuko 5 tu. Hali sio nzuri kwa kweli.
0 Reactions
13 Replies
867 Views
Habari wakuu Nipo Iringa mjini, nina kiwanja ndani ya halimashauri, kwa wazoefu eti kibali cha ujenzi kina gharama zipi na process zipi nifuate ili niwe nacho. Na je kinapatikana baada ya muda gani?
0 Reactions
4 Replies
851 Views
Nawasalimu.... - Nimeanza ujenzi, kaa hapa tujenge pamoja Samahani Sana huo Uzi hapo juu Kwa muda Sasa sijarudi na wengi najua mlikua na hamu ya kujua nimefika wapi. Leo sitaweka details za...
52 Reactions
63 Replies
8K Views
Viwanja vinauzwa mbagala kongowe Viwanja vimekatwa mara tatu ukubwa Kwa vipimo ni mita 24 * 19 Kila kimoja Viwanja vyote vipo ndani ya fensi upande mmoja Bei Kwa Kila kiwanja kimoja ni...
1 Reactions
0 Replies
983 Views
Ninataka kuweka Decor katika nyumba yangu. Madukani naambiwa kuna Yapfix na Minart. Moja ni imported na nyingine ni bidhaa yetu ya hapa hapa nyumbani Swali langu kwa wataalamu (mafundi, wateja...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom