Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani. Wapo wananchi...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
Kwema wadau? Nyumba kama hii inaweza cost shilingi ngapi? Nimeipenda sana nataka kuijenga... Anyone who can estimate the cost for building a house like this in Dar es Salaam? With much thanks...
7 Reactions
51 Replies
3K Views
Wakuu naomba kuelimisiwa, Ninafanya makadirio ya ujenzi, sasa eneo la mkanda, linta, ripu na sakafu zinanipa changamoto. Jengo mzunguko wake ni futi 120. Walau nikipata hata kanuni ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu ñina mpango wa kununua kiwanja Dar ukubwa wa sqm 800 katika maeneo kati ya mbezi, kigamboni chanika chamazi bajeti yangu million 10 au kibaha Sehemu gani itakua nzuriii ambayo...
8 Reactions
44 Replies
5K Views
Habari za muda huu wadau, Kuna hii aina ya fence nimeiona mahali ila sijajua inapatikana wapi hapa Dar es Salaam. Mwenye kujua msaada tafadhali. Shukrani
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Dah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa bado hujaanza familia itakua bora sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha...
46 Reactions
163 Replies
15K Views
Habari za asubuhi wazee, Naombeni makadrio ya gharama za fundi kwenye ujenzi wa Msingi, ukuta, mpaka bati kwa wale wazoefu wa hizi kazi.
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu na poleni kwa majukumu, Kuna kitu nimekiskiia na kinafanyika kwenye ujenzi wa nyumba kwa hivyo naomba msaada wenu ili nipate uhakika najua kuna wataalam wengi humu. Kitu...
2 Reactions
1 Replies
967 Views
Tatizo ni nini watalaamu. Nimeezeka kwa bati za Kiboko rangi ya Maruni. Nyumba inavuja. Moyo unauma maana nimejikamua sana kuuzeka hii nyumba.
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu salam zenu, ninampango wa kujenga choo cha nje naomba kujuuzwa ni tofali ngapi zitatumika
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mkoa wa Manyara Mhe. Edward Ole Lekaita amekabidhi Mifuko ya Saruji 600 kwaajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ndani ya Kiteto. ✅ Kata ya Kiperesa amekabidhi Mifuko ya...
1 Reactions
4 Replies
380 Views
Habari za jioni Jukwaa, Naomba msaada wa kuzuia wezi wa nyaya za umeme, mwezi mmoja umepita nimefanya wiring kwenye nyumba yangu na sasa inanibidi nirudie tena hii ni baada ya mwizi wa waya...
5 Reactions
25 Replies
7K Views
Hiji ni choo cha shimo, nje unachimba shimo na unaweka bomba la kusafirishia uchafu. Uchafu unausukuma kwa ndoo ya maji. Ni rahisi kusafisha na uchafu unaoukusanya unaweza kuutupa shambani...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wajenzi? Naomba kuona sample za Milango ya chuma ya mbele.
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari wakuu, Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika. Natanguliza...
6 Reactions
119 Replies
21K Views
Ilani ya CCM ya Mwaka 2020-2025 Ukurusa wa 82 Ibara ya 57 inaeleza kuwa Kwa kutambua umuhimu wa kuendelea kuboresha miundombinu ya usafirishaji na uchukuzi katika kuwezesha shughuli za kiuchumi na...
1 Reactions
1 Replies
364 Views
Msaada gharama ya kuchimba na kujenga shimo la choo ft 10 diameter na kina ft 12 material cost na labour cost NB. Makadirio ya material na labour cost
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama vile ujenzi wa kuficha paa ulivyo mashuhuri sikuhizi, kwa wengi kuficha paa kunaokoa gharama za mabati. Sinza combine ilikua ni muokozi wa gharama za mabati miaka ya 1990. Ujenzi huu...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro Mhe. Norah Waziri Mzeru amekabidhi NONDO NA KOKOTO KWA AJILI YA UJENZI WA NYUMBA YA MTUMISHI WA UWT MKOA WA MOROGORO vyenye thamani ya shilingi milioni moja...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Habari wana JF, Hivi katika kuskim, skimming ipi inakuwa na ubora, ya kutumia wall putty au ya kutumia white cement? Asanteni.
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Back
Top Bottom