Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Baada tu ya kuunganisha bomba kwenda kwenye Septic tank ,choo kilianza kurudisha harufu ndani, ikinyesha mvua ndio kabisa kinazidi . Fundi aliyetengeneza hapatikan Lakini vyoo vingine...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza hii imekaaje maana kuna nyumba moja naishi lakini kuta zake ni baridi sanaa pamoja na sakafu ya chini (tiles) baridi vilevile kiasi kwamba ktk hicho chumba lazima nivae soksi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Malazi haya huwa yanalipiwa kwa siku, kitanda kinaweza kuwa €20 kwa siku. Huwasaidia sana wasafiri vijana hasa wanafunzi. Kuna huduma ya maliwato, unaoga vizuri na kupata usingizi wako mnono...
1 Reactions
5 Replies
459 Views
Maeneo gani mazuri yenye hewa safi kununua kiwanja Vilivyopimwa kwa ajili ya makazi kwa budget ya 20M?? Maeneo ya karibu na urahisi kufikika gongo la mboto..
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Bati ya ALAF na dragon, ipi bora, na ni ipi ambayo haipauki? Kama kuna anayejua kampunii nyingine, naomba ushauri. Na bei zake
2 Reactions
58 Replies
24K Views
Kichwa cha habari cha husika! Kwenu wataalam Je kuna tinted za kubandika kwene vioo vya majumbani? Binafsi najua zile wanabandika kwene magari
1 Reactions
8 Replies
893 Views
Wakuu! Nimewakusanya hapa nataka tushauriane kuhusu bati bora za kuezeka nyumba. Zipo nyuzi nyingi humu nimepitia kuhusu hii mada. Nafahamu wengi wanashauri kuezeka kwa bati za ALAF. Lakini...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, Nimempata chumba nataka nipake rangi, niweke kapeti na mapambo, naomba ushauri nipake rangi gani? Na kapeti inayofata pamoja na mapambo kwa chumba Cha mwanaume? Asante
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wana jukwaa Lipo jambo la kuwashirikisha ili niweze kupat uwelewa zaid juu ya jambo hilo na pia iwe tija kwa wana jamii wengine kupata tarifa sahih pale watakapo hitaji Kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi paradiso italetwa? Au tutaileteleza wenyewe hapa duniani? Watu wenye kusali hutusisitizia kila mara kwamba paradiso ni mahala pazuri saana 😍 Ni mahali ambapo kuna miti na maua mazuri ya...
2 Reactions
6 Replies
531 Views
Mimi ni mgeni jiji la Dar es salaam nimetokea Mwanza nimehamia Dar es salaam kikazi sasa nimefika kwa rafiki yangu Tabata Chang'ombe na nimetokewa kuvutiwa sana na mazingira ya hapa ningependa...
0 Reactions
1 Replies
647 Views
Ukijaaliwa kupata uwezo jenga kwa kutumia tofali za simenti hizi mnaita blocks maana zinadumu dahari. Mzee wangu alijenga miaka hiyo kwa kutumia hizi tofali za blocks saivi kashastaafu anapeta...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari Wakuu. Nahitaji tofali 4,800 kwa ajili ya kuweka fence ya ukuta wa nyumba, ili kupunguza gharama kidogo nimefikiria kukodisha mtu wa kufyatua kwenye site yangu. Sasa naomba anayefahamu...
8 Reactions
183 Replies
53K Views
Poleni kwa mahangaiko ya hapa na pale. Kama kichwa tajwa hapo juu, naomba mwenye uelewa wa process nzima ya chipping anipe elimu kidogo, pia gharama zake kwa kuta za nyumba yenye Sqm 72, maana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa Naomba kufahamu zaidi kuhusu kuezeka kwa vigae, kutoka kwa wenye uzoefu. Swali la nyongeza: Vile vigae vya Nabaki Afrika ambavyo ni vya bati/stainless steel ila vimepigwa...
1 Reactions
7 Replies
755 Views
Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imewahakikishia wananchi wa Tanga kusudio lake la kuuboresha uwanja wa ndege wa mji huo hususani katika jengo la...
1 Reactions
3 Replies
399 Views
Naomba Kufahamu UBIA wa ujenzi Gorofa huwa unapatikana vipi...!? nipo magomeni natafuta mwekezaji, nyumba ni yangu mwenyewe.
3 Reactions
4 Replies
816 Views
Habari zenu wanajamvi. Nimefanikiwa kujenga nyumba ya flat roof, nyumba ina mitaro darini inayokinga maji ya mvua ila mitaro inaonekana kwa ndani kama mnavyoona ktk hii picha. Mtaro uko kulia...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari, Naomba kujua aliyewahi kutumia mabati ya kampuni hizo ubora wake ukoje, kwa eneo nililopo ndio bati zinazopatikana madukani sasa sijajua naenda wapi, ALAF najua wako bora ila bei yaoo...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Ukihitaji salamu rudi kijijini kwenu, kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku! Wakuu nimekuja kwenu nahitaji ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kutoka kwenu,natambua ya ksmaba humu jukwaani wapo...
1 Reactions
0 Replies
561 Views
Back
Top Bottom