Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Mbunge Martha Mariki - Kukamilika kwa Ujenzi wa Daraja la Msadiya Kutakuza Uchumi Halmashauri ya Mpimbwe. WANANCHI katika Kijiji Cha Chamalendi halmashauri ya Mpibwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa...
0 Reactions
1 Replies
444 Views
Habari ndugu zangu, Naomba kufahamu ukubwa wa nyumba ya bati 32 ina vyumba vingapi na vipimo vya vyumba vinakuaje kwa muundo wakupaua wa mgongo wa tembo? Naomba kuwasilisha. Pia naomba kujua...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Kazi nzuri za Aluminium tuwasiliane maboss zangu tuko mbezi, mikoani tunafika pia kwa mawasiliano zaid tuwasiliane kwa namba 0653467162
1 Reactions
1 Replies
986 Views
Waungwana mambo vipi? Hapo chini nimepata ramani mtandaoni tu na haina vipimo sahihi. Naomba msaada kwa uzoefu wenu katika ujenzi moja wapo kati ya hizi ramani zinaweza kutosha kwenye kiwanja cha...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nitapata wapi material hayo?
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Habari wana JF Juzijuzi tu tumesikia taarifa mbaya ya watu kugongwa na gari wakiw wanafanya mazoezi barabarani. Maoni ya wadau yakawa mengi mbalimbali. Mi nina swali kwa wapangao miji. Kutokana...
2 Reactions
4 Replies
741 Views
Nimeikuta mahali sijaijua ni nini hii au hidden camera? Msaada hapa wakuu.
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Wataalamu wa ujenzi, ni ukubwa gani wa dirisha unatosha kiafya achilia mbali suala la mwonekano wa nyumba. Nimejaribu kuzitazama nyumba za Sudan Khartoum kutokana na hii vita, nimeona nyumba zao...
2 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, niliwahi kulala kwenye hoteli moja jijini mwanza ambayo ni miongoni mwa hoteli kubwa jijini mwanza kitu nilichovutiwa nacho ukiachilia mbali mambo mengine ni kitanda kwani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CHILO: HUDUMA YA MAJI 🚰 💦 SAFI NA SALAMA ITAFIKA KILA PAHALA KATIKA JIMBO LA UZINI Mbunge wa Jimbo la Uzini KHAMIS HAMZA CHILO amewahakikishia Wananchi wa Jimbo la Uzini kua HUDUMA YA MAJI SAFI...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Tunajenga ofisi ya kikundi chetu na tunahitaji kuweka vigae kwenye sakafu. Hapa kwetu udongo ni mwekundu ambao ukipata maji unakuwa tope na unateleza sana. Naomba ushauri wa vigae vya sakafu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini mafundi mlioko Morogoro naomba mje inbox na gharama za kunijenege nyumba ifuatayo kutoka msingi hadi boma. Master 1, vyumba viwili kimojawapo ni self, dining, jiko na store kiwanaj ni...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
MBUNGE DANIEL SILLO ASHIRIKI UZINDUZI WA JENGO KITUO CHA POLISI KATA YA GALLAPO Mbunge wa Babati vijijini na mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Daniel Sillo Julai 18...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Fundi ukimpata kanjanja utajenga hata nyumba iliyopaswa kugharimu milioni 50 iwe milioni 80, ndio maana huwa sishangai mtu anaposema kajenga nyumba kwa milioni 100 wakati nyumba hio hio mwengine...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari za leo, nilikua nahitaji ushauri wenu. Mm pamoja na mdogo wangu tulijenga nyumba kwa kutumia savings zetu kwa ajili ya investment kwenye real estate. Kwa bahati mbaya tulikwama kiuchumi...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Waungwana naomba kujua bei ya jumla ya nondo sasa hivi maana sisi tunaoishi mbali mafundi wanatupiga sana. Natanguliza shukrani. Ndugu zangu naomba msaada wa kujua bei za jumla za nondo Dar
3 Reactions
30 Replies
10K Views
Habari zenu wataalam. Je hii rough estimate ya cost ya ujenzi kuwa sqm ni laki tano ni kweli au wanataka kuniigiza chaka?
2 Reactions
22 Replies
3K Views
MBUNGE DAVID KIHENZILE ACHANGIA MILIONI KUMI UJENZI WA OFISI YA KATA YA IGOWOLE- MUFINDI KUSINI Mbunge wa Mufindi Kusini David Kihenzile amefanya Kikao cha pamoja kilichojumuisha Viongozj wote wa...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Wakuu heshima yenu, Mimi ni kijana ambaye bado nipo kwenye 20s ambaye bado najitafuta kwenye gurudumu hili la maisha. Naomba mnisaidie kunipa makadirio ya gharama za ujenzi muundo L chumba sebule...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Nahitaji kujua gharama ya kununua mashine ya kufyatulia tofali ya umeme bei na wapi zinapatikana kwa Dar es salaam
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…