Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Ndugu yangu kwenye ujenzi moja ya kitu muhili ni Plaster. Hapa nitakuonesha picha jinsi ambavyo tunaweza kufanya za viwango. Utatupata kwa 0766111212
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa mtu anaeweza kunikadiria ujenzi wa nyumba ya ramani hyo hapo juu bila finishing inaweza gharimu shilingi ngapi?
2 Reactions
5 Replies
736 Views
Wakuu salama Mwenye uzoefu wa maeneo ya kata ya MSONGOLA wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam aniambie juu upatikanaji wa viwanja na bei zake zipo vipi. Naamini humu jukwaani kuna watu wana...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Hii ramani kali sana, nimeipenda ni nyumba ya vyumba viwili, nimeitoa huko Twitter kwa mnigeria, mwenyewe anadai anaweza kukujengea nyumba kama hiyo ya kwa Naira milioni 5 tu ambapo hiyo ni sawa...
26 Reactions
124 Replies
9K Views
Haya mods njoo uandike na mada nzima kama ulivyoedit kichwa cha habari kila saa
9 Reactions
236 Replies
15K Views
MBUNGE EDWARD LEKAITA AKAGUA MIRADI YA MILIONI 390 KATIKA KATA YA KIPERESA, KITETO Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita ameendelea na ziara yake katika maeneo mbalimbali ya Jimboni...
0 Reactions
0 Replies
314 Views
Wakuu habari za majukumu, bila kupoteza mda ningependa wale wataalamu wa ujenzi wanisaidie kufanya makadirio ya kuzungushia uzio wa kiwanja changu, kiwanja changu kina size ya 45m x 25m na naplan...
5 Reactions
38 Replies
5K Views
Jaman naomba mnisaidie kunijuza bei za mabati ya alaf versatile gauge30
3 Reactions
23 Replies
26K Views
Naomba msaada wa vipimo vya hii ramani
2 Reactions
4 Replies
969 Views
Hofu imetutawala kiasi cha kuweka nondo madirishani, ili wezi na wahalifu wasifikie usalama wako na mali zako. Nondo hizi huwa kero wakati hatari ikiwa ndani ya nyumba. Mhalifu anaweza kuingilia...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Kuna jamaa yangu kaniomba kiasi fulani cha fedha kwa malipo ya moja ya nyumba zake ambazo moja iko Mgeni Nani na nyingine iko Mbezi Maramba Mawili.Zote ni nzuri za kisasa na...
3 Reactions
80 Replies
6K Views
Habari zenu, Nataka nianze kujenga ila mdogomdogo. Kuna ramani nitaituma hapo ndio nataka nyumba yangu iwe hivyo ila nitaanza na chumba kimoja kimoja mpaka inaisha. Lengo langu ni kujenga...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Najua pesa Mara nyingi Ndo inaamua uishi maisha ya aina gani Lakini tukienda kwenye mada Mimi naona kuzungushia nyumba ukuta ni kukwepa majukumu au kazi Mungu aliyotuletea Nyumba zenye mageti...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau wa JF habari za majukumu. Wadau naomba ushauri, kwa sasa nimechoka kupanga na kulipa Tsh. laki 6 per year kama kodi ya chumba. Nipo Mwanza, nina cash Tsh. 13M tu naweza pata plot ya Tsh...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu nauliza kwa mliojenga tayari, Ulitumia Tofali ngapi kujenga msingi tu wa nyumba yenye vyumba 3 ikiwa na jiko dining na public toilet! Na je gharama gani inafaa kumlipa fundi kwa ujenzi wa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, Ni matumaini yangu mpo bukhery. Naombeni msaada wenu hapa kwenye haka karamani. Target yangu ilikua ni kutumia tofali range ya 3200-3600 .... Sasa nimeambiwa tofali 4300 kichwa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Pia naoma kujuzwa urefu na upana wake, pamoja na uimara wake
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wale mabingwa wa uezekaji paa, wanaojua kuweka mlalo mzuri wa kupendezesha nyumba,kwa mabati ya muundo wa vigae, tuwekeeni sample, ikiwezekana na bei ili wateja tujichange kwa kazi.
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu habari. Nimesikia vibaya au vipi kwamba kwenye bajeti iliyopitishwa bungeni hivi leo kwa kishindo Kila kilo ya sementi itatozwa ushuru shillingi mia mbili. Sasa kilo hamsini itauzwa...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Naitaji sehemu ya kupanga ipi nzr kwa kuishi mke wangu na mtoto mdogo 1 Kati ya sehem hizi Buhongwa Nyegezi Natta Nyakato Au capri point kodi ina range Bei gani?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom