Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Nimekuwa nikitamani kujenga hizi nyumba lakini changamoto imekuwa ni kuvuja. Watu wengi naona wanapata tabu nyumba kuvuja pembeni, katikati na pale bati zinapochoka. Kwa maeneo ya unyevunyevu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau wa Jamii forums.Nilikuwa naomba kuuliza ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja kikiwa juu kingine chini pamoja na jiko, sebule, dining na choo inaweza kugharimu shilingi ngapi mpaka...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari naomba kuuliza makadirio ya ujenzi wa uzio wa kawaida tu wa matofali kwenye eneo lenye urefu mita 120 na upana mita 80 inaweza kutumia matofali mangapi? Nataka nianze kukusanya tofali...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Naombeni msaada, hivi kujenga Nyumba ya chumba kimoja, sebule na jiko, inaweza tumia kiasi gani? Nipo Dar mimi, kiwanja tayari kipo.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nipo eneo moja wanarasimisha makazi, barabara wanazoziandaa hapa mtaani,zipo za mita 8, mita 6, na mita 4 Swali (1) je, barabara ya mtaa yenye mita 6 upana, ikiwekewa na mitaro gari zinweza...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwenye matangazo mengi, mf. Kupatana, Facebook market n.k, utakuta matangazo mengi ya nyumba zinazouzwa zipo Mbagala Chamazi. Ni kwanini? Hii inatia shaka hata kununua nyumba hizo. Kunani Chamanzi?
6 Reactions
36 Replies
8K Views
Hidden roof houses ni Kama hizi hapa Ni kweli kabisa hidden roofing hupunguza gharama ya mbao kwa zaidi ya 80% na hupunguza pia gharama ya bati kwa zaidi ya 70%. Endapo idadi ya mbao...
21 Reactions
70 Replies
13K Views
Habarini za muda huu, Nina shida na chumba cha kupanga mbagala chamanzi, kiwe nani ya fensi, kiwe na umeme, maji, gypsum, bei ya uchumi wa kati.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KITETO KUNUFAIKA NA MRADI WA UJENZI WA BARABARA SABA ZA LAMI Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mhe. Edward Ole Lekaita, akitoa neno kwa niaba ya wananchi wa Jimbo la Kiteto kwenye Hafla ya Utiaji Saini...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Naomba kujua makadirio ya gharama za kufanya finishing chumba kimoja Vitu vya kufanya Rough Floor Mlango wa mbao Mlango wa Alminium kwa ajili ya toilet Plaster Skimming Blandering Gypsum board...
3 Reactions
6 Replies
5K Views
Hii inaepusha gharama za maji na ukame
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi nina nyumba Chanika jirani yangu anasema nimeingia kwake upana wa nyumba yangu 45 mt lakini nikipima ni 42 mt bado anasema nimejenga kwake. Je, utaratibu upoje wa kupata watu wa ardhi waje...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
IGUNGA KUFUNGWA TAA ZA KUONGOZA MAGARI BARABARANI Clip/Video Majibu ya Serikali kuhusu kufungwa Taa za kuongoza Magari dhidi ya Watembea kwa Miguu na Vyombo vingine vya moto kwenye Mji wa Igunga...
1 Reactions
3 Replies
733 Views
WANAVIJIJI WAPATA MATUMAINI MAKUBWA YA KUANZA KUTUMIA MAJI YA BOMBA Kata nne (4) zenye jumla ya Vijiji 12, za Jimbo la Musoma Vijijini, zina miradi ya kusambaziwa maji ya bomba kutoka Ziwa...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
MBUNGE MARTHA MARIKI - SERIKALI IUNGE MKONO JUHUDI ZA WANANCHI UJENZI WA KITUO CHA POLISI KATIKA WILAYA YA TANGANYIKA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi, Mhe. Martha Festo Mariki katika kipindi...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
MBUNGE BUPE MWAKANG'ATA AITAKA SERIKALI KUTUMIA ZIWA TANGANYIKA KUSAMBAZA MAJI MKOA WA RUKWA "Je, lini Mradi wa Maji Kata za Kaengesa na Sumbawanga Vijijini utakamilika?" - Mhe. Bupe Nelson...
0 Reactions
0 Replies
299 Views
Habari za kutwa nzima ya wale wana jamvi wote nawasalimu kwa jina la Jammhuri ya Muungano. Nimeandika uzi kadhaa kuhusu bati nikiomba ushauri ili niweze kununua kile ambacho kina ubora hasa baada...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwenye ujenzi bhna kuna mambo ukikosea utakuja kujilaumu sana baadae. Hizi mbao mnazoambiwa ni treated ni wizi mtupu, Mbao za pine pia ni laini sana, mafundi wanazipenda sababu ya urahisi wa...
8 Reactions
53 Replies
8K Views
Wakuu nataka kuwa moja kati ya wanaJF wenye nyumba kali. Hii ni idea ya kunipeleka huko. Hii ndio nyumba ya kudumu ya mkuu wenu itakayowekwa kwenye kiwanja cha mita za mraba 2,000. Inatakiwa kuwa...
24 Reactions
159 Replies
8K Views
Habar wapendwa Niko mkoan nilikua naomba ushaur mwez wa Tisa nimepanga kuanza ujenzi wa hiyo nyumba nina 3M. Nitatumia tofali za kuchoma mwanzo mwisho je nitafikia hatua gan Kwa kiasi hicho Cha...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom