Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habarini wanandugu, nataka kuingia kwenye ujenzi ila kwa kuanza na nyumba ndogo kwanza ya chumba kimoja na sebule, kisha nihamie ndo nianze kujenga nyumba kubwa. Plot ipo kigamboni na ni...
7 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna hizi mbao (artificial) zinaitwa MDF boards. Je, unaweza kuzitumia kutengeneza milango ya nyumba/hasa ya vyumbani? Je, katika pitapita zako katika majumba ya watu au katika viwanda vya...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
SERIKALI INAENDELEA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME- NGORONGORO Na Godfrey Mwemezi, Ngorongoro Arusha. Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
0 Replies
312 Views
VIJIJI VYOTE VILIVYOPO WILAYA YA KARATU NA MONDULI KUFIKIWA NA UMEME. Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeendelea na hatua ya kusambaza umeme katika maeneo ya Wilayani Monduli...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
JIMBO LA KITETO - EDWARD OLE LEKAITA TAARIFA MAALUM KUHUSU UJENZI BARABARA ZA LAMI BARABARA KONGWA - KITETO- SIMANJIRO- ARUSHA KM 453 BARABARA HANDENI - KITETO- NCHEMBA - SINGIDA KM 460 Ndugu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
📍 Igunga, Tabora ZIARA YA MBUNGE JIMBONI Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa atafanya Ziara ya Kikazi ya Siku Tatu Jimboni Igunga kuanzia tarehe 19 Mei, 2023 kwa ajili ya; 1...
1 Reactions
1 Replies
335 Views
Wakuu kwema? Naomba mwenye ujuzi au uzoefu nyumba ya rooms nne za kulala ambapo mbili ni self contained pia kuna jiko, sebule, dining na choo cha public. Kwa makisio gharama za kufanya plumbing...
6 Reactions
20 Replies
11K Views
Habar wana jukwaa mimi ni Raia wa kawaida yaani mtafutaji mdogo, nimejichanga nimenunua kiwanja, Nimefyatua Tofali za kuchoma zipo Tayar, Nimenunua bati za kawaida tayar, sasa nataka kijenga...
0 Reactions
1 Replies
594 Views
Habari wajenz /mafundi na wajenz wenzangu , naomba ushurik wenu hapa Nipo katika kujiandaa kuanza ujenzi na nataka nijenge kwanza hatua ya msingi kwanza kutokan na kipato changu naomba makadirio...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Msaada! Inatafutwa Ile Kampuni inayoweka Lami Majumbani km mbadala wa Ruvas. Msaada kwa anaejua ilipo.
4 Reactions
0 Replies
548 Views
Uzi wa mafundi wa majumbani kama umeme, ujenzi, bomba na n.k + wenye nyumba lengo nikupata msaada au kutoa ushauri au unataka fundi Kwa wenye nyumba Mfano: wewe una hitaji fundi wa umeme labda...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimepata kiwanja size ya 20*15 nauliza changamoto ya hv viwanja ni ipi hasa maeneo ya mjini daslam kama Goba, nataka nichukue kimoja , nijenge gheto karbu na mji niwe nawah Mishe zangu mjini...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari ... Nimejenga nyumba nimeimaliza kiasi cha kuweza kuhamia, ila nasumbuliwa na hali ya uvivu sana kwenye kuhamia...wakat mwanzoni nilikua na mzuka wa kujenga na kumaliza ..nakutamani...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
SERIKALI KUENDELEA KUFANYA TATHMINI YA KINA KATIKA MAENEO YALIYOPATA ATHARI ZA MAFURIKO Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali...
0 Reactions
0 Replies
322 Views
Sina uzoefu wowote katika ujenzi naomba msada wenu. Nahitaji ramani ya nyumba iwe na vyumba vitatu ikiwemo masta moja jiko na dining pia kama ntapata fundi mzuri itapendeza, nawasilisha...
1 Reactions
2 Replies
983 Views
YAWEKEZA MILIONI 214 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAPOROMOKO YA ULUGURU Serikali imesema imewekeza fedha kiasi cha shilingi mil. 214.3 kuboresha miundombinu ya barabara katika kivutio cha utalii cha...
0 Reactions
2 Replies
924 Views
JIMBO LA KITETO - TAARIFA MAALUM KWA WANANCHI KUHUSU MIRADI YA HUDUMA ZA MAWASILIANO Ndugu wananchi wenzangu wa Jimbo la Kiteto natambua kuwa wakati natafuta kura tulipata changamoto nyingi...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Habari ya wakati huu wananchi wa JamiiForums, mimi ni mtanzania ninayeishi Canada naomba kufahamu kwasasa ni maeneo gani kwa mkoa wa Dar es salaam geografia yake ni tambarare na hayana watu wengi...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
MBUNGE REHEMA MIGILA AMSHIKIA SHILINGI AWESO MPAKA AJIBU HOJA ZA MAJI KWA KALIUA, ULAMBO NA IGUNGA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Rehema Juma Migila akichangia hoja kwenye Bajeti ya...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
MHE. ATUPELE MWAKIBETE: HAKUNA HASARA UJENZI WA RELI SGR TABORA - KIGOMA SERIKALI kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Fred Mwakibete imefafanua kuwa hakuna hasara yoyote...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Back
Top Bottom