Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Naomben mnisaidie rough estimation ya gharama ya fundi kumlipa. Sijawahi kujenga nataka nianze kijenga mafundi huwa mnawalipaje mfano mm fundi nataka aanzie msingi hadi boma, je kwa nyumba ya...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Jioni unakaa na birika yako ya chai ukipunga upepo. Tatizo ni safari za chooni kama unakunywa bia.
21 Reactions
29 Replies
5K Views
Nimeangalia Matokeo ya sensa nimeona Licha ya Kigamboni kuwa Dar ila Ina watu Wachache na wengi pia hawahamii tofauti na Mkuranga.. Sasa sijajua shida ni ipi ila nataka kuuliza,ni wapi Kati ya...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nawasalimu ndugu zangu wanajukwaa. Poleni kwa majukumu, naomba kufahamishwa ni wapi nitapata hizi taa kwa Dar es Salaam.
0 Reactions
3 Replies
647 Views
Panapo majaliwa mwaka huu nataka nianze ujenzi mkoani kwetu . Namjengea mama yangu kama zawadi ya shukurani kwake kwa malezi mazuri . Sina pesa nyingi ya kujenga kwa mkupuo ila ujenzi wangu...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Nyumba hizi nyingi zipo Ilala miji ya zamani, Kigogo, Mburahati, Vingunguti, Mbagala, Keko n.k Utofauti unakuja kwenye kupaua na idadi ya vyumba tu ila ramani ni moja.
9 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wapendwa humu Kama kawaida ya jamii forum watu mbalimbali tumeweza kukutanishwa huku tukiwa na fani mbalimbali. Lengo la uzi huu ni kupata fundi ambae anaweza nipa gharama za awali ujenzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba Makadirio ya gharama ya plaster(CEMENT MIFUKO MINGAPI)nyumba ina vyumba vitatu kimoja self, public toilet, sebule, dining na jiko.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wengi tunajenga kwa kujinyima na kudunduliza. So tunahitaji measures za sisi kutogharamika na kutofanya vya ziada. Ila kuna jamaa mmoja akiwa amekaa kwenye kochi la shemeji yake anandaa comment...
11 Reactions
10 Replies
2K Views
Ujenzi wa sasa ni gharama, Ukitaka ujenge haraka, jenga nyumba ndogo. Ili iishe haraka, uhamie. Tumetembelea maeneo mengi. Nimeona, wengi waliojenga majumba makubwa, wameishia njiani. Endapo...
5 Reactions
23 Replies
6K Views
WAZIRI MHAGAMA AWATAKA WAKANDARASI UJENZI WA MJI WA SERIKALI MTUMBA KUONGEZA KASI Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama...
2 Reactions
0 Replies
720 Views
Wadau kama kuna mtu anajua wanapoiza lithium battery smoke detector anijuze nikanunue.
0 Reactions
1 Replies
295 Views
MAKANDARASI WATAKIWA KUZINGATIA TAALUMA Makandarasi wa ndani wametakiwa kutumia wataalam wenye sifa katika kutekeleza shughuli zao, ili kuifanya miradi inayotekelezwa kuwa na viwango na kudumu...
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Naomba maelekezo ya star delta starter na michoro yake
1 Reactions
1 Replies
406 Views
Habari wanandugu, Mimi ni mkazi wa gongo la mboto (mongola ndege), maisha yalikuwa safii tu bila usumbufu wowote ila sasa kuna kiwanja cha jirani hapa wamefungua kanisa. Ni ibada sawa hakuna...
1 Reactions
13 Replies
926 Views
Habari za leo wajenzi. Samahani, navutiwa au niseme nimevutiwa sana na ujenzi wa nyumba za kupangisha, zile zinazokaa nyingi kias ndani ya eneo moja. Naomba kuuliza itanicost garama kiasi gani...
6 Reactions
18 Replies
3K Views
Miaka ya nyuma kusafisha ukuta ( skim) watu walitumia chokaa , wapo wanaoendelea kutumia chokaa japo wanaonekana wamepitwa na wakati,🎚️baada ya chokaa zimekuja materia nyingi nyingi. Nimetumia...
7 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari wakuu? Nimerudi tene kijana wenu niliechoshwa na sarakasi za wenye nyumba na wapangaji wenzangu, By the way naomba kujuzwa kati ya hizo RAMANI 2 nilizo'attach hapa ni ipi naweza...
13 Reactions
110 Replies
11K Views
Habari, kutokana na mada za watu tofauti wakiomba kufahamishwa kuusu aina gani ya AC wafunge nimeona nije na hii mada itakayo weza kutoa muongozo kwa yule mtu ambaye anahitaji kufunga AC kwenye...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu habari za muda wana jf ,moja kwa moja kwenye mada Naombeni ushauri wa muundo mzuri wa furniture nzuri ya kuwekea jiko la gas,vyombo,na sehemu ya kuwekea viungo...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom