Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Msaada wa gypsum designs mbali mbali but ziwe simple
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba wataalam wanisaidie gharama ya finishing nyumba kama hii
0 Reactions
8 Replies
2K Views
SHULE KONGWE 84 ZIMEFANYIWA UKARABATI NA SERIKALI HAPA NCHINI Mhe. Masache Kasaka, Mbunge wa Jimbo la Lupa ameuliza swali Wizara ya TAMISEMI kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Rungwe, Anthony Albert...
1 Reactions
2 Replies
792 Views
NDEJEMBI HAJARIDHISHWA USIMAMIZI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA CHEMBA – DODOMA Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Deo J. Ndejembi (Mb)...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
MBUNGE ABUBAKAR ASENGA AMEIOMBA SERIKALI KUONDOA MGOGORO WA ARDHI KILOMBERO Mbunge wa Jimbo la Kilombero (CCM), Mhe. Abubakar Asenga ameiomba Serikali ikamsaidie kupima ardhi ya wananchi ili...
0 Reactions
0 Replies
891 Views
KIJIJI CHA NYASAUNGU CHADHAMIRIA KUFUNGUA SEKONDARI YAKE JANUARI 2024 Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, ametembelea Kijiji cha Nyasaungu, Kata ya Ifulifu kwa lengo la...
0 Reactions
0 Replies
415 Views
Poleni na mapambano wakuu. Twende kwenye mada, nahitaji kujenga chumba kimoja chenye size tajwa hapo juu. Halafu baadae nitajenga chumba/rest room juu yake. Kinaunganishwa toka kwenye nyumba...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Habari ya usiku ndugu wanajamvi, natumai sote tuko salama na tunaendelea vizuri ujenzi wa taifa. Niende kwenye mada Moja kwa moja. Mimi ni mjasiriamali ambaye kwa kudra za Mwenyezi Mungu...
2 Reactions
34 Replies
6K Views
Juzi niliamua kutembelea kigamboni hadi kimbiji nimepita pale mradi wa nssf dege kwa mbele huko nimeona kumetulia sana sasa wenyeji hebu leteni mchongo wa viwanja vya bei nafuu tuyajenge pesa ipo...
1 Reactions
6 Replies
990 Views
Wakuu Salaam kwenu Kwa mimi nikapanga hivi Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000 cement 50 @ 16,000 = 800,000 Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000 Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M Ufundi. 2,500,000...
16 Reactions
108 Replies
7K Views
Habari wanajamvi, Mwenye ramani ya nyumba yenye vyumba vinne vya kulala yani mater moja na vitatu kawaida, yenye dinning room, sitting room, jiko na store. Ramani za kisasa ndo naiomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Majengo mengi kama sio yote ya gorofa yakiwa kwenye ujenzi Huwa yanavishwa net, Sasa hizi net kazi yake ni ipi hasa?
2 Reactions
14 Replies
2K Views
MBUNGE ALOYCE KWEZI ATAKA AJIRA KWENYE MIRADI ZIZINGATIE VIJANA WA MAENEO YAO Mbunge wa Jimbo la Kaliua Mkoa wa Tabora, Mhe. Aloyce Andrew Kwezi akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya...
0 Reactions
0 Replies
604 Views
SERIKALI YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI WA MIRADI KWA WAKATI Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Jackline Msongozi ameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara kwa wakati bila kusubiri misimu kwa...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
BAJETI YA TRILIONI 3.554 KUBORESHA MIUNDOMBINU NCHINI - WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha zaidi ya shilingi...
2 Reactions
0 Replies
682 Views
Wakuu karibuni tujuzane hatua na maandalizi muhimu ya kufuata wakati wa kuanza ujenzi wa nyumba Nina eneo langu nataka kuanza ujenzi Sasa nimepitia thread nyingi humu zinazoelezea ramani...
3 Reactions
77 Replies
14K Views
Nna Nyumba Magomeni Natafuta Mwekezaji wa Ubia... Nyumba ipo Barabarani kabisa karibu na Stendi ya Magomeni Kanisani, Kanisa la KKKT Magomeni, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni na Majengo mapya ya...
1 Reactions
8 Replies
908 Views
Wakuu naomba msaada kwa wajuzi na watalaam wa tiles.. Ni tiles gani nzuri sana (imara na durable) zinatengenezwa Tanzania? Nahitaji zile bora hata za China na India. Kibanda changu kimefikia...
13 Reactions
35 Replies
10K Views
MIRADI MIPYA YA MAJI JIMBO LA NGARA, KAGERA Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza na...
0 Reactions
1 Replies
668 Views
Back
Top Bottom