Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Nianze kwa kuwatakia salumu nyingi za jioni, na wale wafuasi wa Simba, happy Simba day. Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna nyumba yangu nataka kuiweka madirisha ya aluminium ila bado sijapata...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Ebhana kumbe kifusi kina balaa hivi hapa kichwa kinauna balaa nataka kukwangua udongo kiwanja chote kwenye sehem zilizoinuka inuka Nikimaliza hapo nitaangalia nifanyeje maana nataka kuhamia kwa...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Nataka upcoming architect anichoree ramani simple ya nyumba ya mkoani huko. Vyumba viwili kimoja master sebule, jiko choo cha master na public. Sina budget kubwa. Njoo dm na proposal yako tusaidiane.
0 Reactions
3 Replies
873 Views
Habarini.. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kama nitaweza kupata ramani zinazoonesha ujenzi wa nyumba (unit) za kupangisha pamoja na lodges nitashukuru. Pia kama ni FUNDI mbobevu wa...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari Nimefanya utafiti wa nyumba za kuishi zinazojengwa na vijana wasomi kuanzia degree moja na kuendelea kwa kweli zinafikirisha! Msomi mzima na kazi yake anakutambia amejenga lakini...
17 Reactions
69 Replies
15K Views
Habari ndugu Wana ujenzi, mwaka huu niliweka malengo ya kuweka akiba benki kidogo kidogo kwa ajili ya ujenzi, nilianza kuweka hela ya bati za kawaida, nikafikisha hela ya bati 70 nikaweka hela ya...
4 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari wana JF napendelea kuuliza kuhusu viwanja. Je ni viwanja gani ambayo unaweza kupata hati mana naona kwa sasa uwezi kupewa hati kwa viwanja vya 20kwa 20. Naitaji kununua msaada please
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wana JamiiForums! Ningependa kupata maoni kwa wadau katika kuchagua eneo la kuishi. Kuna ndugu yangu anataka kujenga kabisa, viwanja anasema vipo poa kapata maeneo haya; 1...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
kipindi hiki cha likizo, mimi kama mwalimu ili kupunguza zarau maana tunaonekana walimu ndio watu maskini na hatuna akili nchi hii,so kama kawaida likizo hii nimendelea kufanya biashara zangu za...
8 Reactions
11 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chajieleza, Wandugu, wataalam na wazoefu wa ujenzi naomba mnisaidie, Je ni tofali ngapi za block zinatakiwa kujenga chumba kimoja cha darasa? Kuna fundi aliniambiai inatakiwa...
0 Reactions
18 Replies
14K Views
Fundi wangu wa kupaua hajaweka wall plate wakati anapiga kenchi ..madhara ni yapi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu mmebarikiwa sana na MUNGU. Nimekwenda kuomba kibali cha ujenzi halmashauri nikaambiwa nipeleke ramani. Nachotaka kujenga ni hall la kufanyia ibada. Nimeulizia kwa wachoraji naambiwa bei...
2 Reactions
4 Replies
871 Views
Habari ya jioni wakuu mbalimbali. Naombeni ufafanuzi wa kitaalam kuhusu kutofautiana kwa bei za mabati. Nimetembele viwanda vitatu,yaani sunshare, epic na alaf. Na kila unapoenda kila mmoja...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wadau....Naomba uzoefu na ushauri kuhusu mabati ya Uchumi wa kati kwa kampuni za Alaf, Sunshare na Dragon
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada. Nyumba ya ukubwa wa meta 10 kwa 10 tofali za msingi nitatumia ngapi na tofali za boma nitatumia ngapi? Na bati ngapi?
1 Reactions
0 Replies
422 Views
Ni vyema kupaka oil chafu kwenye kenchi baada ya kupiga bati..!?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari! Naomba ushauri juu ya aina ya tiles, zakuweka kwenye nyumba ya kuishi familia! Aina za tiles za kuweka sebuleni,dining ,vyumbani,jikoni na barazani.Budget ni ya mtanzania wa kawaida...
1 Reactions
17 Replies
14K Views
Wakuuu mmeshawasikia kuhusu udhibiti wa magadiiii kwa kutumia PVA mwanye maelezooo anipe namna ilivyoooo[emoji121][emoji121][emoji121]
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mbao ndefu futi 20. 2 X 4 = 150Pcs 2 X 2 = 130Pcs 1 X 8 = 18Pcs 1 x 10 = 12Pcs BATI = 130 Pcs upana 87 cm (ALAF gage 28 au 30) Kofia = 30 Valley 15 Misumari ya nnchi 4 = 50kg misumari ya nnchi 2.5...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Nyumba yangu ina -Master bed room -Chumba kimoja cha kulala -Jiko (chumba kidogo) -Choo kimoja cha public (bafu na Choo hukohuko) -Sebule na varander yake. Naomba ushauri wenu wakuu? Nizibe...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom