Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Assalaam alaykum wana JF Mimi ni mgeni nilikuwa nahitaji msaada wenu wenzangu je ili nijenge nyumba ambayo inaendana na yakisasa Je, naweza kutumia gharama isiyo pungua bei gani na inayozidi...
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Naomba kujua ujenz wa room 3(kimoja masta) na public toilet moja na jiko ndan, eneo sq20 kwa 15. Dar es Salaam
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF Kuna nyumba inauzwa milioni 45 maeneo ya Kivule, ina sebule, dinning, jiko, vyumba vitatu vya kulala na kimoja master. tiles kote, madirisha ya aluminium, gril, matanki ya...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau naomba tujuzane mbinu za kupata bati za kampuni bora kabisa ili tuokoane kwa hasara tunazozipata mara kwa mara. Maana kuna utitiri wa viwanda vya mabati jambo ambalo limepelekea tunapaua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kipi kinafaa kuanza kati ya plasta au kuweka frame za Milango kwanza? Lengo ni kupata frame ambayo itajaa kwenye kuta vizuri. Naogopa nikianza kuweka frame ataweka ukubwa Sawa na kuta za Milango...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu habari za mwaka huu wa 2022! Niende moja kwa moja kwenye mada. Nimeshajenga msingi tu. Nyumba ina vyumba vitatu kimoja master, choo Cha public kipo ndani pia, sebule, jiko, stoo, dining...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Tafadhali, naomba msaada wa kujua bei ya ngozo tajwa hapo juu kwa watu wanakaa sehemu za Kijichi na kuendelea mbele. Nataka kuzinunua na cement, pamoja na kokoto kama wajua bei au unauza...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Jana niliafikiana na fundi kazi ya kutengeneza geti. Akanipa mchanganuo wa vifaa, ambapo miongoni mwa mahitaji ni square pipes 11 za inch. 1.5. Fundi alinitajia bei ya Sh. 27,000/- kwa kila moja...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Nataka kufahamu simba dumu feki na simba dumu orijino utofauti wake upo wapi?
2 Reactions
0 Replies
929 Views
Wataalamu nisaidieni katika hili maana mafundi wengine wanasema ripu ya mkono bao ni nzuri kuliko ya kutumia galamara nawasilisha
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu naombeni msaada wa mawazo Nina mpango wa kujenga kighorofa kimoja. Jinsi niyakavyo ni kujenga chini jiko halafu kwa juu yake nataka kuweka chumba cha master yaan chumba na choo...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za muda wakuu, Naomba kupata mchanganuo wa gharama, kwa mwenye uzoefu. Kiwanja kina ukubwa wa 1050sqm, je ni wire kiasi gani(na ghalama yake) na nguzo kias gani, zinawez kutosha...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wazoefu wa ujenzi, Nipeni makadirio ya gharama inayostahili kwa labour charge ya Kufunga gyspum boards na mikanda yake, Kuskim gyspum na ukuta, Na Kupaka rangi, Kwa chumba cha futi 11×11.
0 Reactions
1 Replies
832 Views
Wakuu, Jirani yangu ameniambia kuwa geti langu la futi 10 linaweza kupelekea gari kugonga nguzo wakati wa kuingia au kutoka. Hii ni kweli? Kwa sasa sina gari, Ila naomba mnipe uzoefu kabla...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari,,, naomba msaada wakujua kwanini gypsum inachanika baada ya kufungwa.? kwa mafundi ambao wanajua naomben msaada wa mawazo
2 Reactions
7 Replies
1K Views
[emoji536]
1 Reactions
3 Replies
553 Views
Habari za wakati huu wakuu Kwa waliowahi kutumia au wanaojua juu ya mabati tajwa hapo juu. Vipi kuhusu ubora hasa kwa upande wa kupauka Natanguliza shukrani.
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Na je, una gharama nafuu, uko certified!?. Njoo tuyajenge kuna kazi ya ghorofa moja Bunju Moga wiki ijayo kazi inatakiwa ianze. Kila kitu kipo tayari, material, labour fees, permits, vitendea...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Juzi nililikua site kwangu Buhongwa Mwanza kiwanja kilipimwa viwanja viwili najiandaa na ujenzi nimeshasogeza baadhi ya material kama tofari na mawe kama trip 8 iv sasa jamaa mmoja alieniletea...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom