Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habari ya muda huu wakuu? Nina kajumba kangu ambako nilikuwa nimemaliza kupaua jana. Nilipanga jumatatu nikafate mabati ili nije kumalizia lakini naona leo mvua inanyesha, jambo ambalo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kujua led strip light au wengine wanaita snake light Zina wat ngapi kwa meter moja.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama. Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku...
31 Reactions
224 Replies
37K Views
1 Reactions
5 Replies
469 Views
Amani iwe nanyi. Natafuta mtaalam wa kuchora ramani anayeishi Dodoma. Kuna eneo nataka kujenga vyumba vichache kwa akili ya biashara. Kwa mwenye sifa hizo tuchekiane inbox.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau wa ujenzi,naomba ufafanuzi juu ya tiles/vigae,ni criteria zipi/au kipimo gani/tunaangalia nini na nini kujua tiles hii ni bora? Hapa nazungumzia tiles za sakafuni especially za...
3 Reactions
24 Replies
10K Views
Wakuu habari. Tumezoea kuona maeneo mengi nchini wakitumia aina mbalimbali za matofari katika shughuli nzima za ujenzi..kuanzia matofari ya tope yale ya kuchoma na pia matofari ya simenti au...
12 Reactions
38 Replies
6K Views
Eti wakuu, bongo kuna wataalamu wa kujenga na mawe namna hii, wakatoa nyumba imara? Pia naomba kujua faida na hasara za nyumba ya mawe. Gharama zake zikoje?
8 Reactions
41 Replies
8K Views
Hapa nazungumzia ile mianzi migumu, sina hakika na jina ( Bamboo) Nimekuta ujenzi unaendelea. Nashindwa kuweka picha.
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Mafundi na wataalamu wote wa ujenzi mliomo humu JF, Naombeni MSAADA juu ya MAKADIRIO ya ujenzi wa eneo lenye urefu wa mita 31na upana wa mita 26. Upande wa Saruji, mchanga na kokoto kwa ajili...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Uzi una picha Naombeni mnieleweshe matumizi ya hiki kidude, nimekikuta kimepigwa bolt ukutani ndani chooni ila sijajua ni cha nini. Asanteni
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari wakuu. Mwenye vipimo vya hii ramani naomba
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini waja JF, Wote tunajua vitu ni bei juu kwa sasa, mfano, mchele, ngano, mafuta, petrol, sabuni, gharama za usafiri, vifaa vya ujenzi, nk Lakini fundi bei yake palepale, tell me why. Kwa...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimezunguka kote Tanzania. Kila nikipita hospital na shuleni nakuta mabati mengi yana kutu. Ninavyojua majengo ya serikali hutumia gauge 28. Inakuwaje yapate kutu wakati gauge 30 za mwaka uleule...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina 5,500,000 tu. Kiwanja ninacho. Sitaki tena kulipa Kodi mie. Nitafanikiwa kweli vyumba vitatu vya kulala na sebule? Vitatu Kwa Sababu Nina watoto wa kiume na kike. Au nijenge kibanda cha...
9 Reactions
62 Replies
12K Views
Habarini wakuu, naomba kama kuna mwenye uzoefu anipe makadirio ya gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vi 3 (chumba kimoja self na viwili vya kawaida), sitting, dinning, jiko, (choo na bafu...
4 Reactions
169 Replies
191K Views
Wataalam wa Ujenzi naomba kujua utofauti wa EPS Panels na EPS Cement Sandwhich Pannels. EPS panels nimeona zimeanza kutumika kujengea Tanzania na kampuni ya Mega Panels Tanzania. Kati ya...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Unakuta mtu uko city centre kulingana na ubora wa nyumba yako anatokea mpangaji anakwambia sijui mbona kwa OMARY anapangisha chumba 50000 na vina umeme na maji wewe tu ndo unapangisha 60000. kwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
It can be cleaned with water and you don’t need running water to use it. After cleaning with water you can wipe the surface with antibacterial wipes.
1 Reactions
3 Replies
752 Views
INTER LOCK BLOCK Ukipenda ujenzi wa tofari hizi na firnishing utazipata kwa 650 kila tofari moja ikiwa imekufikia site kwako kwa bei hiyohhiyohiyo 0676774956 call+whatssap
1 Reactions
1 Replies
504 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…