Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kama nataka kujenga nyumba ya vyumba3 sebre, dining na jiko inaweza kunigarimu Bei gan had kufikia kupiga Bati Iwe ni maeneo ya mjini
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za jioni wanaforum. Naomba msaada wa anaejua suluhisho la mchwa nyumba Iko kwenye kichanga lakini mchwa ni wengi Sana ndani kumepigwa tairizi lakini bado tafadhari ndugu zangu anaejua dawa...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
Kutokana na uhuni unaofanywa na mafundi ujenzi, wizi na ubora wa chini wa kazi serikali ianze kutoa leseni kwa mafundi ili tuweze kuwa hold accountable pale wanapohalibu kazi kwa makusudi au...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mafundi wa Tanzania bado wanasafari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa mafundi wa nje . Mashundi wetu wanapenda sana short cut na kona … ukiwapa mwanya kidogo tu wanakuibia vifaa vya ujenzi ...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Amani iwe juu yenu wakuu.. Kwanza natoa shukrani kwenye hili jukwaa maana limenipa faida katika kufikiri mambo. Tuje kwenye mada sasa... Mimi naomba kupewa bei ya mshine za kuchanganya rangi za...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Naomba msaada Wana JM kuhusu tofauti ya white wall put na white siment matumizi yake yanaendana katika ufanyaji kazi au kipi ni kizuri zaidi katika finishing ya juma. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kumekuwa na ujenzi wa aina tofauti tofauti hasa ujenzi wa ( shimo ) katika ujenzi ambao nimejenga kama jinsi unavyoonekana hapo kwenye picha na video. Itanichukua muda kuchimba shimo lingine, hapo...
4 Reactions
28 Replies
5K Views
Natamani kuanzisha mradi wangu niufanye kwa miaka mitano. Maoni yenu ni muhimu sana wakuu
11 Reactions
64 Replies
9K Views
Habari JF, Sambamba na kichwa cha habari hapo juu, nina boma la chumba kimoja, nahitaji bati kumi ili niweze kuezeka, so yeyote mwenye bati kumi aniuzie kama zilibaki kwenye ujenzi au anazo tu...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
VACANCY Amref Health Africa –Tanzania is an independent, non-profit, non-governmental organization (NGO) whose mission is “to improve the health of people by partnering with and empowering...
0 Reactions
1 Replies
665 Views
Habari wataalamu? Naomba kuuliza kama ninaweza kuezeka kwa zege kibanda ambacho kimejengwa kama ifuatavyo: 1. Ukubwa wa kibanda ni futi 9 kwa10 . 2. Kimejengwa kwa tofali za bloko nchi 5 kwa 9...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari naomba tujuzane kuhusu gharama za material zinazotumika kutengeneza gril kama hizi.
1 Reactions
30 Replies
10K Views
Ninahitahi ramani ya guest house, vyumba 10-+ yenye jiko, dining na bar. Vyumba self contained na tutavuna maji ya mvua hivyo kuwe na nafasi ya kuchimba kisima kirefu.
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Makisio ya gharama ya haka kakibanda jaman.Hapo kuna style mbili tofaut za hyo floor plan zote tujue makisio yake
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau Naulizia wauzaji wa hizi Bomba kwa ajili ya kuweka kwenye kingo za ngazi( staircase) au kwenye balcony Nimetafuta nimekosa hivyo naomba msaada kujua naweza kuzipata wapi
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari, Natafuta chumba single self cha kupanga Mwanza maeneo ya Airport road au njia ya Nyasaka. Kisiwe mbali na kituo cha daladala. Kisizidi Tsh. 80,000/=
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau kwema? been a while nimekua msomaji tu humu ila leo nimeona nitafute msaada wa kiuzoefu huko nyumbani Currently naishi mbali na Tanzania na nilikua najaribu kufanya overview ya bei...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakuu nimechoka kupanga nataka nijenge ghetto la haraka nianzie maisha. Naombeni msaada wa tathmini ya gharama. Nimechora kwa mkono tu maana sijapata uwwzo wa kumtafuta architecture. Ahsanteni
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Naomba kujua idadi ya bati na mbao kwa hii nyumba. Ukubwa 30×36.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom