Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kinachofurahisha mijini ni kuwa nyumba za nyasi na matope zinapotea au kumalizika kabisa. Kila mjengaji hujitahidi kutumia matofali ya saruji, madirisha yanayoingiza hewa. Tatizo ni kuwa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Tanzania tunakwama wapi hapa ni Barcelona,Spain
3 Reactions
3 Replies
844 Views
Naomba kufahamu faida za kujenga nyumba kando mwa barabara???
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Build to rent ni mikopo kwa wajasiliamali wa kupangisha nyumba. Hitaji la nyumba mijini ni kubwa sana. Chumba chenye ceiling board, ndani ya nyumba yenye umeme na maji kinafika 70-90,000 mjini...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba kuelimishwa hapa, ni nini kinafanya nyumba kuonekana ndefu? Nimepata utata Sana, baada ya kulinganisha nyumba mbili ambazo zimejengwa kwa kozi 11 hadi lenta lakini moja inaonekana ndefu na...
2 Reactions
51 Replies
13K Views
Habari Wana ujenzi! Natumaini mko salama. Nimekuwa nikipita katika baadhi ya mikoa kadhaa ambayo Ina Miamba mikubwa ya Mawe mfano Mwanza, singida, Dodoma etc na kushudia wakiitumia Miamba hio...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nitumie dawa gani kuwaua au ku-repel mijusi? I'm serious on this guys. sipendi kuiona mijusi kwenye kibanda changu. Mwenye uzoefu tafadhari.
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Nimeanzisha ujenzi vyumba vya wapangaj nyumba ipo L, fundi wangu kanishaur kama nondo ni bei nitumie wire kufunga lenta ya msingi ...je kwa watalaam ninnaweza tumia wire kwa msingi alafu lenta ya...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Siku ya jana hiki kitu kili-pop out kwenye akili yangu nikaona ni zooooooom kwa ukaribu zaidi kudhibitisha ukweli wa hiki kitu. Nili-google picha za nyumba za makazi za wenzetu kwa kweli sikuona...
13 Reactions
79 Replies
8K Views
Habari ya mihangaiko ya hapa na pale wakuu.. poleni na kadha ya kupanda bei kwa vitu nchini unaochangiwa na kupanda kwa bei za mafuta.. niende moja kwa moja kwenye point naomba msaada wa kujuaa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari Wana jamii. Nahitaji MWALIMU WA PLUMBING kwa mda wa ziada. Mimi nipo Dar es Salaam kwa mawasiliano 0757950516 namba ipo whatsapp
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wa JF Poleni na majukumu Naomba kujuzwa kwa yeyote anayefahamu,hivi mtu binafsi anaweza kumiliki hizi nyumba za biashara kama frame kutoka NHC na kupangishia wengine kama mmiliki moja kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naulizia hatua za kufuata kununua kiwanja kwa mtu. Naomba ushauri nisije kuingizwa mjini Nawasilisha wakuu
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Je, milioni tatu naweza kupata kibanda cha kuishi nimechoka kupanga, huwa nalipa 100k kwa mwezi naona kama nikipata kibanda cha kuishi nitapunguza matumizi?
6 Reactions
81 Replies
15K Views
Poleni na majukumu wana JF ni imani yangu Mungu anaendelea kutupigania. Naomba kujua umuhimu wa Valley kwenye Nyumba, pia nitashukuru kama naweza kupata picha ya Nyumba yenye Valley. Nawatakia...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwanaume akifikisha miaka 45 hadi 50 hapo kibongo bongo walio wengi ndo angalau huwa yuko vizur kimaisha na hii ni kutokana na changamoto za maisha tunazokutana nazo kwenye maisha katika kujipanga...
11 Reactions
142 Replies
9K Views
Mafundi na wazoefu wa ujenzi, Naomba mnisaidie mwongozo juu ya kutumia milunda kwenye suala zima la kupaua, Ubora au Udhaifu wake upoje ikilinganshwa na kutumia mbao?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom