Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Nawasalimu wakuu. Naomba kwa wanaofahamu wanieleweshe kuhusu kuweka system ya gas ya kupikia katika jiko. Katika pitapita zangu nikawasikia jamaa wanaongelea kuwa kuna mfumo ambao mtungi wa gas...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Bila kupepesa macho naomba wajuzi wanisaidie kudesign paa la hii nyumba.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamaa yangu tupo naye kazini kitambo sana. Si haba vijicent vipo. Shida kubwa ya jamaa ni ubabe na unyanyasaji sababu ya vijicent. Huwa namwambia asiwe na lugha za kibabe, dharau na unyanyasaji...
25 Reactions
55 Replies
7K Views
Habari wakuu; Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nina nyumba yangu yangu ambayo niliijenga mfululizo (non stop) hadi nahamaia, na sasa imetimia mwaka mmoja. lakini jambo la kushangaza...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,naomba msaada wa kujua kwa uzoefu wenu idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani hii ya nyumba na kama kuna chochote chakuongeza/kupunguza. Fundi maiko wa kitaa atatumika...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wadau wa jukwaa la ujenzi. Mimi ni mama wa watoto wadogo watatu. Ninaishi katika jiji la Dar es Salaam mitaa ya Temeke. Yaani huwa natamani kuwapeleka watoto wangu sehemu ya kucheza...
9 Reactions
47 Replies
3K Views
Wanajf mwaka huu nilifanikiwa kupata kibanda changu cha kuishi, tatizo nilipiga bati mwezi wa 9 mwaka Jana. Leo mvua zinanyesha kwa wingi, ninavujiwa kwenye zile "angles"za miinuko ya mabati Kama...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, nataraji kufanya finishing kwenye kibanda changu nipo hatua ya skimming na rangi sasa iv, nilikua naitaji kueleweshwa kuhusu hatua za hio stage na material bora kwa ajiri ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu... nimejenga fence nishapiga plasta bado rangi ... ambao mushajenga nipeni ushauri rangi ya kupaka ili ukuta uwe na muinekano mzuri na rangi isibambuke...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu Naombeni wataalamu mnisaidie gharama za kuezeka paa hili, roof plan attached
1 Reactions
21 Replies
14K Views
Natumaini wote mko poa Wana Jf.. Nataka kuanza ujenzi ila eneo la kiwanja maji ni changamoto. Naombeni ushauri ninunue simtank au nijenge Kalo ili niweze kuhifadhi maji na ipi hautakuwa na gharama?
5 Reactions
39 Replies
8K Views
Naomba msaada jamani kwa wenye ufahamu,ni kina kipi kinatakiwa kuchimbwa kwa msingi kwa ardhi ya kichanga na iliyo eneo tambalale. KARIBUNI WADAU.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar zenu. Nimefanya leveling mwez January mwaka huu kwenye kiwanja kilichokuwa na mteremko. Kama haitoshi nimemwaga vifusi kadhaa vya udongo ili kusawazisha kiwanja kile kwan hata baada ya...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
kama mada ilivyo, Ninaitaji fundi mzuri wa kuezeka nipo Dar Bunju kama yupo humu nicheck PM tuyajenge
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja. Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure! Tunapatikana...
1 Reactions
0 Replies
518 Views
Wakuu habari zenu. Naombeni msaada nina kisima ninachovuna maji ya mvua, naona kama kinavuja ndani kwa ndani kwani maji hayajai tena, nilijaribu nikatoa maji yote, nikasafisha na kusakafia tena...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina miaka 34, Mke na watoto 2,Mwaka Jana nilikua na shauku ya ujenzi kiwanja nilisha nunua kina tofali kama 4000,Kokoto mende 3, mchanga mende 3, Tank za maji lita 4000. Nikatafuta mtaalam...
10 Reactions
42 Replies
5K Views
Hivi kwenye ujenzi wa nyumba kuna shortcut yoyote ya kusave gharama? Kama zipo ambazo technically hazina athari lets share.
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Natafuta namna ya kurudisha bathtub ambayo imechakaa. Nahitaji kuirudia maana naona imepata kutu. Nliwaza hizi rangi za ku spray za kopo nyeupe.sijui kama zinafaa au kuna ambazo zinapatikana kwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nikikumbuka 2015 kurudi nyuma kule nilikuwa nikinunua nondo 12mm kwa 20,000/- sasa nakuta ni 27,000/- Bando bati za kawaida zile 250,000/- sasa 380,000/-, misumari imepanda jero kwenye kila kilo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…