Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kwa miaka ya karibuni kumeibuka Kampuni kadhaa zinazojihusisha na uuzaji wa Viwanja kwa njia ambayo wanamruhusu Mnunuaji kulipia kwa awamu au kidogokidogo. Wengi watakwambia ulipe kiasi fulani...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu kwema ! Kama maada inavyojieleza hapo juu, kuvuja kwa nyumba iwe ya kawaida(mfuto), ghorofa(storey), contemporary n.k. Maoni, ushauri karibuni sana. Kwanza niwe muwazi kabisa nyumba nyingi...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuweka TV ukutani inapendeza sana. Lakini hamna kitu kinakera kama kuona mawaya yananing'inia kutoka chini kwenda juu kwenye TV. Haipendezi kabisa na inaondoa uzuri wote wa eneo hilo. Jinsi ya...
3 Reactions
9 Replies
39K Views
Kwenu wataalam wa ujenzi. Naweza kujenga nguzo za kibaraza kwa matofali ya kulaza, yaani niachana na nguzo za nondo/zege? Juu nitaweka mkanda kama kawaida. Kiutaalamu ina madhara yoyote?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Heading inajieleza, wala sina la kuongezea, wataalam mkuje kutufafanulia
2 Reactions
62 Replies
16K Views
Jamaa kashahamia kwake hapo na kashaachana na mambo ya kodi aisee!
10 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa kweli hii trend mpya ya madirisha ya Aluminium binafsi sijaielewa kabisa. Naona kama hayako classy kulinganisha na ya mbao nzuri kama mninga. Muonekano wake haunivutii kabisa, naona kama ni...
12 Reactions
100 Replies
20K Views
Habari zenu waungwana, napenda kujua na kufahamu, kuna madirisha yale wanayotumia sana maeneo ya vijijini yenye kuwa na baridi sana, napenda kujua gharama ya vioo vyake hua ni vidogo, mfano kioo...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Naomba kujua gharama ya kurudia kupaka rangi nyumba baada ya rangi ya awali kuchakaa. Nyumba ya vyumba 3 vya kulala, sitting& dinning room, na jiko.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama tunajenga Ikulu hiyo hiyo kama ya Dar es Salaam nini maana ya Wasomi wetu hasa wa Ujenzi kuhimizwa zaidi Suala la Ubunifu ili Kupendezesha eneo na hata Mazingira pia? Nayasubiri tu majibu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau kwemaa! Tukiwa tunaelekea kufunga mwaka naomba kuuliza je NI rangi gani nzuri ambayo haipauki unapo paka ktk kuta za nyumba yako Coral Plastcon Billion Binafsi hi billion sioni Kama no...
1 Reactions
15 Replies
8K Views
Habari za mchana wajenzi... Napenda kufaham, ina chukua muda gani kujenga nyumba ya vyumba vitatu kutoka msingi hadi finishing? Hapa ninakuwa na pesa yote inayohitajika. Ni mtu ambaye nimeajiriwa...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Wakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana. Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh...
12 Reactions
37 Replies
7K Views
Jamani nimenunua kiwanja kikubwa tu lakini mm sijajenga na mama yangu hajajenga na hana kiwanja na karibu anastaafu sasa nilikuwa nataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu nikaona baadaye itakuja...
2 Reactions
17 Replies
7K Views
Wanajamii habarini, Samahani naomba kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya room mbili ambayo itakua na choo ndani na ka kibaraza kizuri cha kuvutia.. Atleast yenye muonekano kama pichani
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Tahadhari ni muhimu na watu tuliwaambia,nyumba za hidden roof sio za kupunguza gharama. Ona sasa fundi Maiko kamliza mtu,nyumba inavuja na ukuta unaoza,anaanza upya kufumua. Hakuna kitu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje? Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza...
5 Reactions
62 Replies
11K Views
Uvimo Maktaba. Uvimo Civil Group tukiwa wazoefu na watoa huduma kuanzia Kuchora ramani Kusoma ramani Kujenga kwa au bila ramani Kupaua Plasta Bomba plumbing Uwekaji umeme wa kisasa Rangi Tiles...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom