Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kama kuna Mtu ana kiwanja ilemela barabara ya malaika kuanzia square mita 1000 na ana kiuza anicheki Tunahitaji kiwanja maeneo hayo.. Kiwe karibu na Barabara ya Lami
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Wadau, Wana Jf Kheri ya Christmas kwenu. Wadau, pichani chini ni nyumba yangu niliyoanza kuijenga mwezi wa Sita inaenda kwa kusuasua ila namshukuru Mungu. Nimekuja kwenu kuomba ushauri wenu...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wadau , kwanza nadhani wengine ndio itakuwa ni mara yao ya kwanza kuona Tofali nyekundi ya block. Nirud kwenye mada jengo limejengwa kwa mchoro wa kupaua kikawaida ila sasa kutokana na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau wenye experience ya brand nzuri ya vyoo, masinki ya jikoni na chooni please naomba msaada kunijuza. Hata Kama unafahamu maduka yanayo uza vifaa ivyo vyenye ubora.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu, Nimeamua kujenga kajumba ka kupangisha watumishi wa serikali hao wanaohamia Dodoma, kiwanja kipo, eneo flat, na mkononi ninazo mil.15, je? kwa ujenzi wa nyumba Dodoma naweza kuifikisha...
4 Reactions
48 Replies
11K Views
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri. Nna kaunjezi kapo kwenye level ya kupaua sasa pesa ya mbao ipo mfuko wa shati ila ya bati itapatikana baada ya kama mwezi na nusu. Mimi nilitaka kuweka...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu, Samahani naomba kufahamu hivi kuna mashine za kufyatulia matofari ya blocks zinazotumia umeme wa single phase? Maana asilimia kubwa vijijini kuna umeme wa single phase, na kama...
1 Reactions
7 Replies
762 Views
Kutokana na changamoto za kifedha, nimeamua kila shilingi moja katika ujenzi lazima nisevu. Badala ya fundi kumpatia kazi yote ya kupiga plasta ,na yeye kutafuta vibarua nimeona napata hasara...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu habari za hapa jamvini? Nitumbukie kwenye mada yenyewe. Ni hivi nilijenga msingi wa nyumba ya vyumba vitatu moja master, sebule, dining, stoo na public toilet katika plot mbili tofauti na...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Wanajamvi naomba kujuzwa duka lenye mabati yenye ubora na bei nafuu Dodoma maana nahitaji bati kama mia mbili (200) nitashukuru kwa msaada
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu poleni na majukumu. Nimejaribu kupitia humu uzi totauti tofauti ila bado sijapata jibu. Naomba kwa anayejua bati nzuri za ALAF Gauge 28 kati Romantile na Versetile ipi nzuri?? Uzingatia huu...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Ni mpangilio tu lakini maliwato yanaweza kuchukua nafasi ndogo yenye mpangilio mzuri. Hii ni sehemu ya faragha hivyo watu wawili au watatu kukutana ni wakati wa kumhudumia mgonjwa. Swahiba mmoja...
23 Reactions
55 Replies
8K Views
Zote hizi ni ghorofa Nyingine imejengwa bila nguzo na bim (column & beam):- uzito wa slab unabebwa na matofari/ukuta Nyigine imejengwa kwa nguzo, bim, na slab (column, beam, slab) na baadaye...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna watu nimesikia wakizungumza kuwa bei ya bati zimepanda leo je kuna ukweli wowote uko?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nina vifaa vimebaki hapa wadau 1. Fiber Moja Kwa shs 3500 TU za Andika. Zimebaki nne. 2. Msasa Mita 1500 TU. 3. Brush mbili Kwa 3000 TU. 4. Gypsum powder BBG mfuko mmoja Kwa 13000 TU. 5. nipples...
1 Reactions
3 Replies
717 Views
Habarini ndugu, naomba niende moja kwa moja kwenye pointi. Naomba nijuzwe ni wapi naweza pata tiles nzuri za dimension zifuatazo na bei zake na iwapo kama naweza kubaliwa kulipa kidogo dogo. 1...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapambanaji mpooo! Naomben kufaham ni kampuni gani nzuri inayo tengeneza bati imara ambazo haziwezi kupauka? Nikipata makampuni tofauti tofauti itakuwa vizuri sana na bei zao kwa bando
2 Reactions
31 Replies
12K Views
Bati gani nzuri za msouth zile zenye mgongo mpana au hizi zenye migongo kama mabati ya kawaida na gharama zake je zikoje? Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna kisima chini kinakusanya maji kutoka kwenye gutters, wakati wa kutumia yanavutwa kwa pump na kujaa kwenye mapipa. M
0 Reactions
5 Replies
812 Views
Hizi ajali zinatokanna na kuwa na mafundi uchwara ambao hawafuati maelezo ya egineers. Kupunguza cement, nondo chini ya kiwango na vitu vingine vingi. Lakini ukijenga Gorofa inabidi uwe na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom