Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Habarii zenu wakuu, kama kawaida sisi walala hoi, wenye hela za mawazo kila kukicha tunapambana walau kupiga hatua. Nina kauwanja na nina tofali 700 plan ni kupata 2 bedrooms, 1 master...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Salama wanajamvi? Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Wiki nne zilizopita Nilifunga mbao za kench ktk site yangu na kuoda bati alaf ila bati bado hazijatoka nimeambiwa nitegemee zitatoka ndani...
2 Reactions
47 Replies
10K Views
Eti wakuu hivi vitu pamoja na milango, madirisha na umbali hadi darini kwa wastani unakuwa kuwaje. Maana nasikia hadi ngazi zina kipimo chake cha urefu na upana.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jee earth rod ikiwa mbovu au ya miaka mingi bila kubadilishwa inaweza pelekea umeme kupotea mwingi au umeme kuisha kwa haraka Nimeuliza maana kuna mtu alikua anadai umeme unaisha kwa haraka...
2 Reactions
33 Replies
9K Views
Naomba kujua ghrama za kupaua nyumba yenye vyumba vitatu, dining, sebule, jiko, stoo na vyoo vitatu. Naomba kujua wastan wa gharam za ufundi.
3 Reactions
28 Replies
6K Views
Habari za humu jamvini waheshimiwa. Nawapongeza sana kwa uwepo wenu kwenye jukwaa hili muhimu. Mada: Mimi nilifanya tathmini ya gharama za kujenga msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, sebule...
2 Reactions
52 Replies
13K Views
Jamani samahanini natamani kujua ni gharama gani Yani fedha kwa makadilio inayoitajika kuanzisha hospitali
2 Reactions
29 Replies
6K Views
Ndugu zangu! Nyumba ipo eneo ambalo sidhani kama kuna fungikuvu wala bakteria wala unyevu, (hapa najifariji kuwa sihitaji binder) kwa maana nyumba za huko nyingi ni za udongo na ziko poa tu...
2 Reactions
33 Replies
20K Views
Habari za weekend wadau. Nimetokea kupenda design hii ya dali ambayo miti na zege vimetumika kuremba muonekano. Je kwa wataalam ni miti gani inafaa?. Nini hasara na faida ya ujenzi huu (gharama vs...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je, unaweza jenga ghorofa moja kuanzia msingi hadi juu kwa mawe? Eti wakuu inawezekana kufanya hivyo?
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wajumbe mnaofahamu Vitasa vizuri vya kifunga katika milango au pia kama kuna mtu annae fahamu duka wanalo uza vitasa vizuri vya milangoni.
1 Reactions
24 Replies
15K Views
Habari wakuu! Jamani kuna fundi hapa anataka kuniwekea madirisha ya vioo kwenye nyumba yangu lakn bei zake kwa dirisha moja la 5/6 anafanya tsh 32000 je ni bei za kawaida au ntapigwa. Naombeni...
2 Reactions
62 Replies
12K Views
Dalali yoyote ambae yupo tayari kufanya biashara naomba anicheki kwa no;0783 24 2247 Nahitaji chumba chenye sifa zifuatazo: Kiwe ni master room Kiwe maeneo ya Kimara Kiwe ndani ya geti/fensi...
0 Reactions
3 Replies
835 Views
Wadau..ninajenga nyumba mkoani Morogoro ina vipimo vya urefu ni 15 na upana ni 12. Ni nyumba ya vyumba 3 vya kulala (viwili kati ya hivyo ni self contained), kimoja cha kawaida na sitting na...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wanandugu, kwa mafundi naomba kujua gharama zao za ujenzi wa vyumba viwili kuanzia msingi mpaka kufunga mkanda juu.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi. Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki...
11 Reactions
219 Replies
20K Views
Wadau wa JamiiForums habari zenu, Mimi Ni graduate engineer kwenye kozi ujenzi barabara na majengo ngazi ya Diploma, hivyo Ninaomba msaada wa kimawazo Kuna contractor ambaye alinisihii nimsajilie...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habarini za kazi, poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa Naombeni msaada kuhusu aina ya ndondo za kutumia kwenye ufungaji wa lenta, nyumba yangu ni kubwa vyumba vitatu, sitting room, dinning...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wadau, naombeni kujuzwa (majina na namba za simu) za maduka yanayouza vifaa vya umeme kwa ajili ya wiring ya nyumba ya makazi. Nimekuja Dsm nataka kufanya shopping. Natanguliza shukrani. Sent...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom